< 2 Kroniku 32 >

1 Hagi Hesekia'ma agu'areti'ma huno Ra Anumzamofo kema antahino maka eri'zama eri vagama neregeno'a, Asiria kini ne' Senakeripi'a Juda vahera hara eme huzmanteno, hanavenentake vihu kegina me'nea kumatamina zamaheno hanareno kegava huzmanteku hu'ne.
Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
2 Hagi Hesekai'ma keama Senakeripi'ma Jerusalemi rankuma'ma ankanireno ha'ma huzmantenaku'ma egeno'a,
Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
3 megiati'ma Jerusalemi rankumapima enefrea tima rurega humitre antahintahi retro higeno, koroma osu hanave sondia vahe'amozane, ugota eri'za vahe'amo'za aza hu'za megiama me'nea tine, tinkeria renkanire'naze.
aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
4 Ana'ma nehazageno'a, tusi'a vahe'mo'za eme atru hu'za osi tintamine, ranra tintaminema maka anama'afima me'neana rurega ome humitre eme humi atre nehu'za amanage hu'naze, Asiria kini vahe'mo'za rama'a tina me'nenige'za eme nesagi renkaniresune.
Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
5 Ana nehuno Hesekai'a Jerusalemi rankuma keginamo'ma havizama hu'neama'a eri so'e nehuno, kuma'ma kegavama hu zaza nona ana agofetu negino, ana have keginamofo amefira mago have kegina nehuno, Deviti kumapima mopamo'ma uraminerega tukeheno mopa kateno ante aviteno evu'ne. Ana nehuno ha'ma hu'zantamine, hankoraminena rama'a tro hu'ne.
Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
6 Hagi sondia vahete kva vahera Jerusalemi rankumamofo kafante atruma nehazafi Hesekai'a zamazeri atru huno zamazeri hankaveti naneke amanage huno zamasami'ne,
Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
7 korora osuta hankavetita otiho. Asiria kini ne'ene rama'a sondia vahe'araminkura korora huta tamahirahikura osiho. Na'ankure tagri kazigama mani'nea ne'mofo hankavemo'a, agri kazigama mani'naza vahe'mofo hankavea razampi agatere'ne.
“Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
8 Asiria kini ne'mofo kazigama mani'naza sondia vahera amne vahetfanke mani'naze. Hianagi Ra Anumzana tagri Anumzamo tagri kaziga mani'neankino, taza huno ha' vahetia hara huzmantegahie. Hagi Juda kini ne' Hesekai'ma hiankema sondia vahe'mo'zama nentahi'za hankave eri'naze.
walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
9 Hagi mago'a kna evutegeno, Asiria kini ne' Senakeripi'a sondia vahe'ane vuno Lakisi kumate vahe'ene hara ome nehuno, Juda kini ne' Hesekaiantegane maka Juda vahetmima Jerusalemi kumapima nemaniza vahetmintega amanage huno kea atrezmante'ne,
Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
10 Nagra Asiria kini ne' Senakeripi'na amanage hu'na tamantahigoe, tamagra nazante tamenarentinti hu'neta, Jerusalemi kumama avazagi kaginoana, ontahegahie huta mani'nazo?
“Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
11 Tamagri kini ne' Hesekaia'a huno, Ra Anumzana tagri Anumzamo'a Asiria kini ne' azampintira tamaguvazigahie huno neramasmie. Hianagi reramavatga nehiankita, nezanku'ene tinku'enena frigahaze.
Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
12 Hagi Hesekai'a agonafima mono'ma nehaza kumatamina eri haviza nehuno, kresramanama nevaza itaramina taganavazi netreno, Juda vahe'motane Jerusalemi vahe'mota magoke Kresramana vu itareke ofa eme Kresramana nevuta, monora hiho hu'ne.
Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
13 Hagi mago'a kumate vahetaminte'ma ko'ma nagehe'mo'zama hu'naza zane, nagrama menima nehua zana tamagra ontahi'nazo? Hagi ana vahetmina anumzazmimo'za zamaza hu'za nagri hanavefintira zamagura vazi'nazafi?
Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
14 Hagi magore huno ana havi anumzamo'za nagri nazampintira zamagura ovazi'naze. Hagi inankna huno nagri nazampintira, tamagri Anumzamo'a tamagura vazigahie?
Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
15 E'ina hu'negu atrenkeno Hesekaia'a amanara huno reramavatga osino. Hagi agri kerera tamentintia osiho, na'ankure magore huno mago kumate vahera anumzazmimo'a nagri nazampinti'ene, nafahe'mokizmi zamazampintira zamagura ovazi'ne. E'ina hu'neankino tamagri Anumzamo'a nagri nazampintira tamagura ovazigahie.
Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
16 Anagema nehige'za, Senakeripi eri'za vahe'mo'za Ra Anumzamofone eri'za ne'a Hesekainena ke ha'rezanante'naze.
Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
17 Ana nehuno Senakeripi'a mago'a avonkreno Ra Anumzana Israeli vahe Anumzamofona kiza zokago kea amanage huno hu havizana huno hufenkamitre'ne, Mago'a kumate vahe anumzamo'za zamazama osu'nazaza huno, Hesekaia Anumzamo'a nagri nazampintira tamagura ovazigahie.
Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
18 Anagema huteno'a, Jerusalemi rankumamofo have kegina agofetuma mani'naza vahe'tmima Senakeripi eri'za vahe'mo'za zamazeri koro hu'za, ana rankuma'ma zamahe'za hanarenakura, Hibru vahe kefinti ranke hu'za kezati'zami'naze.
Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
19 Ana vahe'mo'za mago'a kumate vahe'mo'zama zamazanteti'ma tro'ma hu'naza havi anumzantaminku'ma hu'nazankna ke Jerusalemi kumate nemaniza vahe'mo'zama mono'ma hunentaza Anumzamofonkura hu'naze.
Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
20 Hagi anankema nentahikea, kini ne' Hezekai'a ene kasnampa ne' Emosi nemofo Aisaia'enena zanazama hanigura Ra Anumzamofontega nunamuna hu'na'e.
Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
21 Ana'ma hakeno'a, Ra Anumzamo'a mago ankero huntegeno, maka sondia vahetamine, sondia vahete ugagota kva vahetmina Asiria kini nemofo seli nonkumapintira zamahe hana hu'ne. Ana higeno Sinakeripi'a agazegu nehuno atreno mopa'arega vuno havi anumzama'amofo nompima unefregeno'a, mago'a ne' mofavre naga'amo'za bainati kazinteti eme ahe fri'naze.
Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
22 Ana higeno Asiria kini ne' Senakerepi azampinti'ene, mago'a ha' vahetmimofo zamazampintira Hesekaiane, Jerusalemi kumapima nemaniza vahetmina Ra Anumzamo'a zamagu nevazino, maka'zama hazazampina kegava huzmantege'za fru hu'za mani'naze.
Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
23 Ana higeno rama'a vahe'mo'za Ra Anumzamofontega musezana eri'za Jerusalemi kumatera ne-eza, zago'amo marerisa muse zana Juda kini ne' Hesekaiana eri'za eme ami'naze. Ana'ma hutege'za mika kumate vahe'mo'za Hesekaiana ra agi amiza husga hunte'naze.
Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
24 Hagi ana knafina Hesekaia'a kri erino fri'za hu'ne. Hagi ana'ma nehuno'a, Hesekaia'a Ra Anumzamofontega nunamu higeno, kri'amo'ma vagamarenogura Ra Anumzamo'a mago avame'za eri averi hu'ne.
Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
25 Hianagi Hesekai'a avufga ra nehuno, Ra Anumzamo'ma knare'ma hunteno azama hia zankura, musena huonte'ne. E'ina higeno Ra Anumzamo'a agri'ene Juda vahetminku'ene, Jerusalemi kumate'ma nemaniza vahetminkura tusi arimpa ahezmante'ne.
Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
26 Ana hu'neanagi Hesekaia'ene Jerusalemi kumate'ma nemaniza vahe'mo'zanena zamagu'a anteramiza manizageno, Hesekaia'ma kinima mani'nea kna'afina Ra Anumzamo'a arimpa ahe ozmante'ne.
Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
27 Hesekaia'a tusi zagofeno ne' mani'nege'za vahe'mo'za husga hunte'naze. Hagi Hesekaia'a silvama, golima zago'amo'ma marerisa haveramima, mnanentake zama, hankoramima, mago'a zago'amo marerisa zantaminema antesia nona ki'ne.
Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
28 Hagi hozafi ne'zantamina, witima, wainima, olivi masavema, antenia nona negino, bulimakao afutamine, sipisipi afutaminema ante'nia keginane nontaminena tro huntetere hu'ne.
Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
29 Ana nehuno rankumatmi tro huno sipisipi afutamine, bulimakao afutaminena zamante'ne. Na'ankure Ra Anumzamo'a Hesekaina tusi afu kevune, zagofenone amigeno tusi zagofeno ne' mani'negu anara hu'ne.
Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
30 Hagi Hesekai'a Kihoni tina mopa agu'a avreno Deviti rankumamofona zage fre kaziga e'ne. Hagi Hesekai'a maka zama hia zamo'a knare zanke hu'ne.
Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
31 Hagi Babiloni kumate kva vahe'mo'zama antahizama Anumzamo'ma Juda kumate'ma kaguvazama hiankema nentahiza, mago'a vahe huzmantazage'za ana kaguvazanku Hesekaia eme antahige'za kenaku e'naze. Hagi Anumzamo'a Hesekaiana agu'a reheno kenaku agrira atreneno ke'ne.
Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
32 Hesekaia'ma kinima mani'neno hu'nea zantmimofo agenkea kasnampa ne' Amosi nemofo Aisaia'ma, Judane Israeli kini vahetmimofo zamagenkema krente'nea avontafepi krente'ne.
Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
33 Hagi Hesekai'ma frige'za, Deviti naga'mofo matipi agonafi asente'naze. Hagi anama asente'nazana maka Juda vahetamine, Jerusalemi kumapima nemaniza vahe'mo'za marerisa vahe'ma asenezamantaza'za hu'za asente'naze. Ana hazageno, Manase nefa nona erino kinia mani'ne.
Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.

< 2 Kroniku 32 >