< 2 Kroniku 22 >
1 Hanki Jerusalemi kumate'ma nemani'za vahe'mo'za Jehoramuna amite'na mofavre'a Ahasiana kinia azeri otizageno, nefa Jehoramu nona erino kinia mani'ne. Na'ankure Arabia vahe'mo'za ha'ma eme huzmante'za maka Ahasi afuhe'ina zamahe vagare'naze. E'ina higeno Jehoramu nemofo Ahasi'a Juda vahe kini manino kegava huzmante'ne.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
2 Hagi Ahasia'a 22tu'a kafu hu'neno kinia efore hu'neankino, magoke kafu Jerusalemi kumatera kinia mani'ne. Hagi nerera agi'a Ataliakino negeho'a Israeli kini ne' Omri'e.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 Hagi Ahapu nagamo'ma hu'naza avu'ava Ahasia'a avariri'ne. Na'ankure nerera'a antahintahi amigeno kefo avu'ava hu'ne.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 Ahasia'a Ahapu naga'mo'zama hu'nazaza huno Ra Anumzamofo avufina kefo avu'ava hu'ne. Na'ankure Ahasia'a nefa'ma fritegeno'a Ahapu nagapinti vahetmimo'za antahintahia ami'zageno havi avu'avara hu'ne.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 Ahasia'a ana vahe'mokizmi ke antahino Israeli kini ne' Ahapu nemofo Jehoramu avaririno Siria vahe kini ne' Hazaeli ha' ome hunte'naku Ramot-Gileati kumate vigeno, ana hapi Siria vahe'mo'za Joramuna ahe kuzafa antazageno,
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 ete rukrahe huno eno namuma'ama teganinogura Jezrili kumate emani'ne. Hagi Juda kini ne' Jehoramu nemofo Ahasia'a Ahapu nemofo Joramu kenaku Jezrili kumate urami'ne. Na'ankure Joramuna hapinti ahe kuzafa antazageno umase'negeno'e.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 Hianagi Anumzamo'a Ahasiana azeri haviza hunaku higeno, Joramuna ome kenakura vu'ne. Na'ankure anante'ma nevuno'a Jehoramu'ene vuno Ra Anumzamo'ma Ahapu nagama zamahe hana hinogu'ma Nimsi nemofo Jehu'ma masavema frente'nea ne' ome ke'naku vu'na'e.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 Hagi Jehu'ma Ahapu naga'ma zamazeri havizama nehireti'ma Juda kva vahetamine, Ahasia afuhe'ima ome tutagiha'ma hunezmanteno'a, ana maka zamahe fri'ne.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Ana nehuno Ahasianku nehakege'za, mago'a vahe'mo'za Sameria kumateti Ahasia'a frakinege'za ome ke'za avre'za Jehuna eme amizageno, ahe fri'ne. Ana hige'za Ahasiana kerifi asente'naze. Na'ankure negeho Jehosafati'a agu'areti huno Ra Anumzamofona amagera ante'ne. Ana hazageno Ahasia nagapina hanavetino mani'neno Ahasia noma erino kinima maniga vahera omani'ne.
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 Hagi Atalia'ama antahiama nemofo Ahasia'ma fria nanekema nentahino'a, maka Juda nagapinti'ma kinima maniga vahetamina zamahe hana hu'ne.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 Hagi Ahasia nemofo Joasina ahenaku neageno, kini ne'mofo mofa Jehosabeti'a ana mofavrea oku'a avreno nemasefinka ome frakino ante'negeno mago a'mo kegava hu'ne. Hagi Jehosabeti'a kini ne' Jehoramu mofakino pristi ne' Jehoaida nenaro'e. Hagi Jehosabeti'a Ahasiana nesarokino Atalia'ma Joasima ahe fri'zanku avreno ome frakinte'negeno Atali'a ana mofavrea ahe ofrine.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 Hagi Atalia'ma Juda mopama kegavama hu'negeno'a, 6si'a kafufi Ra Anumzamofo mono nompi Joasina avre frakine'za kegava hazageno mani'ne.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.