< 1 Samue 6 >
1 Hagi 7ni'a ikampi Filistia vahe'mokizmi mopafina Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisimo'a me'ne.
Basi sanduku la BWANA lilikaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba.
2 Filistia vahe'mo'za pristi vahe'ene avune vahe'zamia kehazage'za age'za amanage hu'za zamantahige'naze. Inankna huta Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisia atre'nunkeno kuma arega vugahie?
Ndipo Wafilisti wakawaita makuhani na waganga; wakawaambia, “Tulifanyie nini sanduku la BWANA? Twambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha sanduku katika nchi yake.”
3 Hazageza ana pristi vahe'ene avune vahe'mo'za zamasami'za, Israeli vahe'mokizmi Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisia amnea atresage'za eri'za ovugahazanki, kumi ofama huzantamine eri'neta erita viho. Hagi anama hanageno ana knazamo'ma vagaresigeta, ama knazana Anumzamo neramie huta antahigahaze.
Makuhani na waganga wakasema, “Kama mtalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilipeleke bila zawadi; kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia. Hapo ndipo mtapona, na mtajua ni kwanini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu.”
4 Hagi ana kenona zamire zamantahige'za, inankna zantimi kumi ofa eri'neta vugahune? hu'za hazage'za, golireti 5fu'a usagenkna namu tro nehuta, 5fu'a kfa golireti tro huta erita viho. Na'ankure anahu knazamo'a tamagri'ene 5fu'a kini vahetaminte'enena efore hu'ne.
Ndipo wakawauliza, “Sadaka ya hatia itakuwa nini kwamba tunampelekea?” Wakawajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu, Idadi hiyo ya watano ni sawa na idadi ya viongozi wa Wafilisti. Kwa sababu tauni ya aina moja iliwashambulia ninyi na viongozi wenu.
5 Hagi mopatami tamazeri haviza hu'negu 5fu'a usgenkna namuna golireti tro nehuta, ne'zama neno erivagarea kafaramina 5fu'a golireti tro huta Israeli vahe'mofo Anumzamofoma ami'nageno'ma ra agima erisuno'a, azama rusuteno tamagri'ene anumzatamine mopatamia azeri havizama nehiazana osugahie.
Kwa hiyo, nilazima mtengeneze mifano ya majipu yenu, na mifano ya panya wenu ambayo huiharibu nchi, na mpeni utukufu Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu.
6 Hagi nahigeta Isipi vahe'mo'zane Ferozama hu'nazaza huta tamagu'a azeri hankavenetize. Zamagra Israeli vahe'ma zamazerizana Anumzamo'a antahintahi zami'a zamazeri savri huno knazana zamige'za zamatrazage'za vu'naze. E'ina hu'negu tamagra e'izanku nentahita amefira huomiho.
Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? Hicho ni kipindi ambacho Mungu wa Israeli aliwashughilikia sana; Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka?
7 Hagi menina kasefa karisi retro nehuta, anenta'ma antekema amima nemisia tare bulimakao afutrema kora zanagumpina agare namara zafa erinteno reonte'nesia suzantre zanavreta zanarente tragotenteta anenta'a ramina zamavareta kegina agu'afi ome zamatreho.
Basi sasa, andaeni mkokoteni mpya pamoja na ng'ombe wawili wake wanaonyonyesha, ambao hawajawahi kufungwa nira. Wafungeni ng'ombe hao kwenye mkokoteni, lakini warudisheni wale ndama wao nyumbani.
8 Hagi ana karisifi Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisia eri nenteta kumi'ma apasente ofe hutama golireti'ma kfane usagenkna namuma tro hu'naza zantamina mago vogisifi anteta erinenteta, ana bulimakaontrena zamatrenkene ana karisia avazuhuke vi'o.
Kisha lichukueni sanduku la BWANA na kuliweka ndani ya mkokoteni. Wekeni ndani ya kasha yale maumbo ya dhahabu mnayompelekea ambyo ni sadaka ya hatia kando yake. Ndipo mlipeleke lipate kuondoka.
9 Hagi kva hu'neta negenkeno ana bulimakaomokema Bet-Semesi mopa kazigama vanigeta, e'i Ra Anumzamo ama knazana neramie huta antahigahune. Hagi ana'ma osina, agraragisa fore nehie huta antahigahune.
Kisha muwe makini; kama litapanda kwenda kwa njia hadi nchini mwake hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa BWANA ndiye aliyetenda pigo hili kubwa. Lakini kama halitakwenda, ndipo tutajua kwamba siyo mkono wake uliotupatia mateso; badala yake tutajua kuwa yaliyotupata ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.
10 Hagi ana vahe'mo'zama ana kema nentahi'za tare a' bulimakaontrena zanavre'za karisire renente'za, anentazani'a zamavare'za bulimakao kegina agu'afi ome atre'naze.
Watu hao wakafanya kama walivyoambiwa, walichukuwa ng'ombe wawili wanaonyonyesha, wakawafunga kwenye mkokoteni, na kuwabakiza ndama wao nyumbani.
11 Hagi Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisine anama golireti'ma tro hu'naza kafane usagenkna namunema ante'naza vogisia karisifi erinte'naze.
Wakaliweka sanduku la BWANA juu ya mkokoteni, pamoja na lile kasha lililobeba panya wa dhahabu na yale maumbo ya majipu yao.
12 Hagi ana bulimakaomokea kana atre'ne vugantigama osu Bet-Semesima me'nea kazigama vu'nea kante vufatgo hu'ne nevu'ne krafa hume vu'na'e. Hagi anama huke nevakeno'a Filistia kva vahe'mo'za zanavariri'za Bet-Semesi mopa atupare ome zanatre'naze.
Hao ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi. Walikwenda kwa kuifuata nija moja kuu, wakiteremka walipokuwa wakienda, na hwakugeuka upande wa kushoto au kulia. Viongozi wa Wafilisti walifuata kwa nyuma hadi mpaka wa Beth Shemeshi.
13 Hagi ana knazupa Bet-Semesi vahe'mo'za hoza agupofi witi hoza nehamare'za kesga hu'za huhagerafi huvempage vogisima nege'za, tusi'a muse hu'naze.
Nao watu wa Beth Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao katika bonde. Waliponyanyua macho yao juu na kuliona sanduku, wakafurahi.
14 Hagi ana bulimakaomokea Josua hozafi Bet-Semesi ehanatike ra have me'nea asoparega emani'na'e. Hagi ana karisia taganavazi'za Ra Anumzante kresramana vunte teve eri'za, ana tare bulimakaontrena znahe'za Ra Anumzamofonte kresramana vu'naze.
Huo mkokoteni ulifikia ndani ya shamba la Yoshua wa Beth Shemeshi na ukasimama hapo. Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo, wakatayarisha kuni kutokana na mkokoteni huo, na wakawatoa ng'ombe hao kama sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA.
15 Hagi pristi vahe'mo'za Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisine, golireti'ma tro'ma hu'naza kfane usagenkna namunema ante'naza vogisia eri'za ra have agofetu ante'naze. Ana hute'za ana zupa Bet-Semesi vahe'mo'za Ra Anumzamofontega kre fanane hu ofa nehu'za mago'a ofanena kresramna vu'naze.
Walawi walilitelemsha sanduku la BWANA chini pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, wakaweka vitu hivyo juu ya hilo jiwe kubwa. Watu wa Beth Shemeshi walitoa sadaka za kuteketezwa na kutoa dhabihu kwa BWANA siku iyo hiyo.
16 Hagi 5fu'a Filistia kva vahe'mo'za anazama hazazana kete'za ete ana zupage kuma'zamirega Ekroni vu'naze.
Hao viongozi watano wa Wafilisti walipoona hayo, walirejea Ekroni siku iyo hiyo.
17 Hagi Filistia vahe'mo'za mago mago kumazamire Gazagi, Asdotigi, Askelonigi, Gatigi Ekronigi hu'za zamente zamente golireti usgenkna namuna tro hu'za Ra Anumzamofontega kumizmima apasezmante ofa ante'naze.
Haya ndiyo majipu ya dhahabu ambayo Wafilisti walirudisha kama sadaka ya hatia kwa BWANA: moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
18 Hagi 5fu'a golireti'ma kfa tro'ma hu'za ante'nazana 5fu'a kva vahe'mo'zama kegava hu'naza rankumatamima Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisima antazageno'ma me'nea kumataminte huhampri'za tro hunte'naze. Hagi ra havema Josua hozafima me'nea havemo anazama fore'ma hu'nea zamofo avame'zana me'neankino meninena me'ne.
Idadi ya wale panya wa dhahabu ilikuwa sawa na ile ya idadi ya miji yote ya Wafilisti inayomilikiwa na viongozi watano, kwa miji iliyojengewa maboma na vijiji vya mashambani. Lile jiwe kubwa, ambalo kando yake waliweka sanduku la BWANA, lipo kama ushuhuda hadi leo katika shamba la Yoshua Mbeth- Shemeshi.
19 Hianagi Ra Anumzamo'a 70'a Bet-Semesi vahera zamahe'ne. Na'ankure Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisimofo agu'afinka ke'naza zante anara hige'za 50 tauseni'a vahe'mo'za rama'a vahe'ma fri'naza zanku tusi zamasunku hu'za zavira ate'naze.
BWANA akawashambulia baadhi ya watu wa Bethi Shemeshi kwa sababu walichungulia ndani ya sanduku lake. Aliwaua watu sabini. Watu wakaomboleza, kwa sababu BWANA aliwapa watu pigo kubwa mno.
20 Hagi Bet-Semesi vahe'mo'za amanage hu'naze, iza ruotgema hu'nea Ra Anumzamofo avurera otigahie nehu'za, iga ama huhagerafi huvempage vogisia atre'nunkeno vugahie.
Watu wa Bethi Shemeshi wakasema, “Ni nani mwenye uwezo wa kushindana na BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na atampandia nani akitoka kwetu.”” Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na ni kwa nani ambako sanduku litaenda likitoka hapa.”
21 Anage nehu'za ke erino vu vahera huzmantage'za vu'za Kiriat Jearimi vahera amanage hu'za ome zmasami'naze. Hago Filistia vahe'mo'za Ra Anumzamofo huhagerafi huvempage vogisia eri'za eme atrazanki emerita kumatamirega viho, hu'za kea atre zamante'naze.
Wakawatuma wajumbe kwenda kwa wenyeji wa Kiriath Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamelirudisha sanduku la BWANA; teremkeni na mkalipeleke kwenu.”