< 1 Samue 26 >

1 Hagi mago zupa Soli'a Gibea kumate mani'nege'za, Sifi kumate vahe'mo'za eme asami'za, Deviti'a Hakila agonafi Jesmonima avugosama hunte'nea kaziga frakino mani'ne.
Hao Wazifu wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kinachotazamana na Yeshimoni?”
2 Hazageno Soli'a 3 tauseni'a hanave Israeli sondia vahe zamavareno, Sifi ka'ma kokampi Devitinku hakenaku vu'ne.
Hivyo Sauli akashuka kwenda katika Jangwa la Zifu, akiwa na watu wake 3,000 wa Israeli waliochaguliwa, kumsaka Daudi huko.
3 Hagi Soli'a Jesmoni tava'onte Hakila agonafi seli nonku'ma ome kino mani'ne. Hianagi Deviti'a ka'ma kopi mani'neno, Soli'ma agriku'ma hakeno eazamofo kea nentahino,
Sauli akapiga kambi yake kando ya barabara juu ya kilima cha Hakila kinachotazamana na Yeshimoni, lakini Daudi alikuwa anaishi huko jangwani. Alipoona kuwa Sauli amemfuata huko,
4 mago'a afure vahe huzamantege'za, Soli'ma emani'nenigura ome ke'naze.
Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.
5 Hagi anantetira Deviti'a otino Soli'ma seli nonkuma eme anteno mani'nerega vu'ne. Hagi Soli'ene sondia vahete kva ne'a Neri nemofo Abnakea Sondia vahe'mo'za masegagizageno amu'nompi masenakeno, Deviti'a ana kenagera rerakaureno ome zanage'ne.
Ndipo Daudi akaondoka, akaenda hadi mahali Sauli alikuwa amepiga kambi. Akaona mahali Sauli na Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi, walipokuwa wamelala. Sauli alikuwa amelala ndani ya kambi, jeshi likiwa limemzunguka.
6 Hagi Deviti'a Hiti ne' Ahimelekine, Zeruia nemofo Joapu nefu Abisaikizni zanantahigeno, Iza navega hanige'na Soli'ma seli noma eme kino'ma mani'nerega uramigahue. Anage higeno Abisai'a huno, Nagra kagrane uramigahue.
Basi Daudi akamuuliza Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, nduguye Yoabu, akisema, “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kambini kwa Sauli?” Abishai akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe.”
7 Higeno Deviti'ene Abisaikea ana kenagera Soli'ma seli nonku'ma anteno mani'nefi ufre'na'e. Anampima ufrene ome ka'ana, Soli'a kuma amu'nompi karugru keve'a asenirega retru renenteno, masenegeno, Abna'ene mago'a sondia vahe'mo'zanena Solina mase kagi ante'nage'za ome ke'na'e.
Hivyo Daudi na Abishai wakaenda kwenye jeshi wakati wa usiku, tazama Sauli, alikuwa amelala ndani ya kambi na mkuki wake umekitwa ardhini karibu na kichwa chake. Abneri na askari walikuwa wamelala kumzunguka Sauli.
8 Hagi Abisai'a Devitina asamino, Menina Anumzamo'a ha' vaheka'a kazampi avrenteanki, natrege'na krugru kevereti magoke zupa reharuharu hu'na mopare rekamarenta'neno.
Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako. Sasa niruhusu nimchome mpaka ardhini kwa pigo moja la mkuki wangu; sitamchoma mara mbili.”
9 Hianagi Deviti'a Abisaina asamino, Ohenka atro. Na'ankure Ra Anumzamofonte'ma masavema frenteno huhamprinte'nea vahe'ma ahesuta'a, hazenkefi manigahue.
Lakini Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize! Ni nani awezaye kutia mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana na asiwe na hatia?”
10 Deviti'a mago'ane huno, Ra Anumzamo Agra'a ahe frise. Hagi ozafama resuno frige, hapi uraminige'za ahe frige hugahaze.
Daudi akasema, “Hakika kama vile Bwana aishivyo, Bwana mwenyewe atampiga; au wakati wake utafika, naye atakufa, au atakwenda vitani na kuangamia.
11 Hianagi Ra Anumzamofonte'ma masavema frenteno huhamprinte'nea nera ahefrio huno hu izora huonante'ne. Hagi menina Soli keve'ane tintafema'ane aseniregama me'neana erigeta amafintira atiramita va'maneno.
Lakini Mungu na apishie mbali nisije nikainua mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana. Sasa chukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyo karibu na kichwa chake, tuondoke.”
12 Hagi Soli asenirega me'nea kevene, tintafema'anena Deviti'a erigeke vu'na'e. Hagi anama ha'azana mago vahe'mo'e huno keno antahino osu'ne. Na'ankure Ra Anumzamo'a ana miko vahera zamazeri zamavutoko hige'za, mase himre'nazageke anara hu'na'e.
Hivyo Daudi akachukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyokuwa karibu na kichwa cha Sauli, nao wakaondoka. Hakuna yeyote aliyeona au kufahamu habari hii, wala hakuna hata mmoja aliyeamka usingizini. Wote walikuwa wamelala, kwa sababu Bwana alikuwa amewatia kwenye usingizi mzito.
13 Hagi Deviti'a vuno mago agona kantu kaziga me'nea agonare afete ome oti'ne.
Kisha Daudi akavuka upande mwingine na kusimama juu ya kilima mahali palipokuwa na nafasi pana kati yao.
14 Ananteti Deviti'a Abnane sondia vahe'anena kezana atizamino, Abnaga antufina mani'nano, higeno Abna'a huno, Kagra izaga kini nemofonkura kezankea nehane.
Daudi akalipigia kelele jeshi na Abneri mwana wa Neri, akisema, “Je, Abneri, hutanijibu?” Abneri akajibu, “Nani wewe umwitaye mfalme?”
15 Higeno Deviti'a huno, Abnaga kagri'ma kagatere'nea harafa vahera Israeli agu'afina iza mani'ne? Na'a higenka kini nera kegava huontankeno, ahenaku'ma nehia vahe'mo'a ahe'zana hu'ne?
Daudi akasema, “Wewe si ni mtu shujaa? Ni nani aliye kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukumlinda mfalme bwana wako? Mtu mmoja alikuja kumwangamiza mfalme, bwana wako.
16 Kagra knare kavukavara osane. Na'ankure kagrane sondia vahekanena Ra Anumzamofonte'ma masavema frenteno huhamprinte'nea vahe'ma kegava huontazankita tamagra frigahaze. Hagi kini ne'mofo aseniregama me'nea keve'ane tintafema'a iga me'nefi keho?
Ulichokifanya si kizuri. Kwa hakika kama aishivyo Bwana, wewe na watu wako mnastahili kufa, kwa sababu hamkumlinda bwana wenu, mpakwa mafuta wa Bwana. Tazameni hapo mlipo. Uko wapi mkuki wa mfalme na gudulia la maji ambavyo vilikuwa karibu na kichwa chake?”
17 Higeno Soli'ma Deviti ageru'ma nentahino'a kezatino, nenamofoga Devitiga nehano. Higeno Deviti'a kenona huno, ranimoka, kini nera nagri nageru nentahine.
Sauli akatambua sauti ya Daudi, na kusema, “Je, hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akajibu, “Naam, hiyo ndiyo, bwana wangu mfalme.”
18 Deviti'a Solina asamino, Na'ante ranimoka eri'za vahekamo'na narotago nehane? Na'a nagra hugante'noe? Nagra na'a havizana hu'noe?
Pia akaongeza, “Kwa nini bwana wangu anamfuatia mtumishi wake? Nimefanya nini, nalo kosa langu ni lipi nililolifanya niwe na hatia?
19 Hagi kininimoka eri'za vahekamo'na hanua nanekea antahinamio, kagrima Ra Anumzamo'ma kazeri oti'nigenkama ha'ma renenante'nankeno'a, ofama hananana antahigamigahie. Hianagi vahe'mo'ma kazeri otisigenkama ama anazama nehanankeno'a, Ra Anumzamo'a kazusi huzmantegahie. Na'ankure Ra Anumzamo'ma erisintima haregahane hu'nea mopafintira naratogo nehu'za, ru anumzante mono ome hunto hu'za hu'naze.
Sasa mfalme bwana wangu na asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama Bwana amekuchochea dhidi yangu, basi yeye na aipokee sadaka yangu. Lakini hata hivyo, kama ni wanadamu waliofanya hivyo, walaaniwe mbele za Bwana! Wao sasa wamenifukuza kutoka sehemu yangu katika urithi wa Bwana wangu wakisema, ‘Nenda ukatumikie miungu mingine.’
20 Hagi atregeno koranimo'a, Ra Anumzamofo tava'ontetira atreno ru mopafina tagi oramino. Hagi Israeli vahe kinimoka, kagra na'ante hinimagu hakeankna hunka nagrikura nehakenka, agonafi namagu hakeanknara nehane?
Basi usiache damu yangu imwagike kwenye ardhi mbali na uso wa Bwana. Mfalme wa Israeli ametoka kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware katika milima.”
21 Anante Soli'a huno, Nagra kumi huanki nenamofo Divitiga mago'ane kagrira kazeri havizana osugahuanki ete eno. Na'ankure ko nahantesinagi, nagrira antahinaminka onahenka natre'nane. Nagra tamage hu'na neginagi'za hu'na havi avu'ava zantfa hu'noe.
Ndipo Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Rudi, Daudi mwanangu. Kwa kuwa uliyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani leo, sitajaribu kukudhuru tena. Hakika nimetenda kama mpumbavu na nimekosa sana.”
22 Hagi Deviti'a huno, kini ne'moka kevea ama me'neanki, mago nehaza ne' huntegeno eme erino.
Daudi akajibu, “Mkuki wa mfalme uko hapa. Mmoja wa vijana wako na avuke kuuchukua.
23 Hagi fatgo zamavu'zmava nehu'za, kazigazi hu'za ke'ama amage'ma nentaza vahera, Ra Anumzamo'a ana zamavu'zamavatera mi'zana nezamie. Hagi menina Ra Anumzamo'a kagrira nazampi kavrenteanagi, kahe ofri'noe. Na'ankure Ra Anumzamo masave freganteno kazeri oti'ne.
Bwana humlipa kila mtu kwa ajili ya haki yake na uaminifu wake. Bwana alikutia katika mikono yangu leo, lakini sikuinua mkono wangu juu ya mpakwa mafuta wa Bwana.
24 Hagi menina kagri'ma antahigami'na onkahorera, Ra Anumzamo'a antahinamino onaheno, miko hazenke zampintira naza hugahie.
Kwa hakika kama vile maisha yako yalivyokuwa ya thamani kwangu leo, vivyo hivyo maisha yangu na yawe na thamani kwa Bwana na kuniokoa kutoka taabu zote.”
25 Anante Soli'a Devitinku huno, Mofavrenimoka, Ra Anumzamo'a asomu hugante'nigenka ranraza nehunka, hara agateregahane. Anage huteke Deviti'a neviana, Soli'a kuma'arega ete vu'ne.
Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Mwanangu Daudi na ubarikiwe; utafanya mambo makubwa na hakika utashinda.” Basi Daudi akaenda zake, naye Sauli akarudi nyumbani.

< 1 Samue 26 >