< 1 Kva 16 >
1 Hagi Ra Anumzamo'a kini ne' Ba'asante'ma fore'ma hania zamofo nanekea, kasnampa ne' Hanani nemofo Jehuna anage huno asami'ne,
Neno la BWANA lilimjia Yehu mwana wa Hanani kinyume cha Baasha, likisema,
2 Nagra kugusopafinti kavre'na Israeli vahe'ni'a kegava huo hu'noanagi, kagra Jeroboamu'ma hu'nea avu'ava avaririnka Israeli vahera zamazeri kumipi nezmantrenka, Nagrira nazeri narimpa hane.
Ingawa Nilikuinua kutoka kwenye mavumbi na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli, Lakini umetembea katika njia za Yeroboamu na umewafanya watu wangu Israeli kufanya dhambi, ili kunikasirisha dhidi ya dhambi zao.
3 E'ina hanku Nagra Nebati nemofo Jeroboamu nagate'ma huzmante'noaza hu'na Ba'asagane maka nagaka'anena zamahe hana hugahue.
Tazama, Nitamfagia kabisa Baasha na familia yake na nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati.
4 Hagi Ba'asampiti'ma fore'ma hanaza vahera rankuma agu'afima fri'nageno'a, kramo'za negahaze. Hagi megi'ama fri'nazana vahera namaramimo'za negahaze.
Mbwa watamla yeyote ambaye anatoka kwa Baasha wanaofia mjini, na ndege wa angani watamla yeyote anayaefia shambani.”
5 Hagi Ba'asa'ma kinima mani'neno'ma hu'nea zantamine, hanave zantamima tro'ma hu'nea zamofo agenkea Israeli kini vahetmimofo agenkema krenentaza avontafepi krente'ne.
Lakini kwa mambo mengine yanayohusiana na Baasha, aliyofanya, na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
6 Hagi Ba'asa'ma frigeno'a Tirza kumate asentazageno, nemofo Ela agri nona erino kinia mani'ne.
Baasha akalala na mababu zake na akazikwa Tirza, na Ela mwanae akawa mfalme mahali pake.
7 Hagi Ra Anumzamo'ma Ba'asane naga'anema hazenke zamisia zamofo nanekea kasnampa ne' Hanani nemofo Jehunte hunte'ne. Na'ankure maka havi avu'ava'ma nehuno, maka'zama tro'ma hu'neazamo Ra Anumzamofona azeri arimpa ahegeno, Jeroboamu naga'ma zamahe fananema hu'neaza huno Ba'asa nagara zamahe fri vagare'ne.
Kwa kupitia nabii Yehu mwana wa Hanani neno la BWANA likaja kinyume na Baasha na familia yake, wote kwa sababu ya maovu yote aliyofanya machoni pa BWANA, akamghadhabisha kwa kazi ya mikono yake, kama familia ya Yeroboamu, na kwa sababu alikuwa ameiua familia yote ya Yeroboamu.
8 Hagi kini ne' Asa'ma 26si'a kafuma Juda vahe kinima nemanigeno'a, Ba'asa nemofo Ela'a Israeli vahe kinia efore hu'ne. Hagi Ela'a tare kafu Tirza kumatera kinia mani'neno, Israeli vahera kegava hu'ne.
Katika mwaka wa kumi na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akaanza kutawala juu ya Israeli kule Tirza; akatawala kwa miaka miwili.
9 Hianagi karisi eri'za vano nehaza sondia vahera amu'nompinti refko huno kva nehia ne' Zimri'a Ela ahenaku kankamunku hake'ne. Hagi mago zupa Ela'a Tirza kumate mani'neno, noma'ama kegava nehia ne' Arza nompi aka ti neneno neginagi nehigeno,
Mtumishi wake Zimri, mkuu wa nusu ya magari yake akatengeneza hila dhidi yake. Wakati huo Ela alikuwa Tirza, akinywa na kulewa kwenye nyumba ya Arza, ambaye alikuwa mkuu wa watumishi wa nyumbani huko Tirza.
10 Zimri'a eno eme ahe fri'ne. Hagi kini ne' Asa'a 27ni'a kafu Juda vahe kinia nemanigeno, Zimri'a Elana ahe nefrino, agri nona erino Israeli vahe kinia mani'ne.
Zimri akaiingia ndani, akamshambulia na kumwua, katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, naye akawa mfalme mahali pake.
11 Hagi Zimri'ma anama kinima nemanino'a, maka Ba'asa nagapinti'ma fore'ma hu'nea vahera zamahe hana nehuno magore huno ne' mofavrea ozamatre'ne. Ana nehuno maka keonke zaga'ane, rone'araminena magore huno ozamatreno zamahe hana hu'ne.
Zimri alipoaanza kutawala, mara tu baada ya kukaa kwenye kiti cha enzi, akawaua wanafamilia wote wa Baasha. Hakumwacha mtoto hata mmoja wa kiume, hakuna hata wa ndugu yake wala wa rafiki zake.
12 Hagi Ra Anumzamo'a Ba'asama hazenkema ami kema kasnampa ne' Jehuma asami'nea kante anteno, maka Ba'asa nagapinti'ma fore'ma hu'naza vahetmina zamahe hana hu'ne.
Kwa hiyo Zimri aliingamiza familia yote ya Baasha, kama alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA, ambalo lilinenwa kinyume na Baasha na nabii Yehu,
13 Na'ankure Ba'asa'ene nemofo Ela'enena kumi nehuke, Israeli vahe'enena zamazeri kumipima nezmantreke, kaza osu havi anumzana tro hunte'neke, mono'ma hunta'azamo'a Ra Anumzamofona azeri arimpa ahe'na'e.
kwa dhambi zote za Baasha na za Ela mwanae ambazo walizifanya, ambazo kwazo waliisababisha Israeli kufanya dhambi, kiasi c ha kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Israeli, kuzikasilikia sanamu zao.
14 Hagi Ela'ma kinima mani'negeno'ma fore'ma hu'nea zantamine, maka zama agrama hu'nea zamofo agenkea Israeli kini vahetmimofo agenkema krente'naza avontafepi krente'naze.
Kwa mambo mengine yanayohusiana na Ela, yote ambayo alifanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
15 Hagi kini ne' Asa'ma 27ni'a kafuma Juda vahe kinima nemanigeno, Zimri'a Israeli vahe kinia 7ni'a zagegnafi Tirza kumatera mani'ne. Hagi Israeli sondia vahe'mo'za Filistia vahe kumara Gibetonia avazagigagi'naze.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri alitawala kwa siku saba tu kule Tirza. Jeshi likafanya kambi kule Gibethoni, ambao ni mji wa Wafilisti.
16 Hagi ana kuma'ma avazagigagi'naza sondia vahe'mo'za Zimri'ma Elama ahea nanekema nentahiza, sondia vahete kva ne' Omrina ana zupage Israeli vahe kinia azeri oti'naze.
Lile jeshi lililokuwa limeweka kambi kule lilisikika lilksema, “Zimri amepanga njama na amemwua mfalme.” Kwa hiyo siku hiyo hapo kambini, Israeli yote ikamtangaza Omri, mkuu wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli.
17 Hagi ana'ma hutazageno'a, Omri'a Israeli sondia vahera Gibetoni kumateti zamavareno marerino Israeli vahe rankumapi Tirzama mani'naza vahera hara ome huzmante'ne.
Omri akapanda kutoka Gibethoni na Israeli yote pamoja naye, nao wakauhusuru Tirza.
18 Hagi Zimri'ma keama ha'ma eme hu'za ana kuma'ma emerizageno'a, kini ne'mofo nompi ufreno ha'ma hanigeno fraki'naza noma hunaraginte'nefi umaniteno, ana nona teve tagintegeno nereno agri'enena terasge'ne.
Kwa hiyoZimri alipoona kuwa mji umetekwa, akaingia kwenye ngome na akaivamia ikulu ya mfalme na kulichoma moto jengo lote pamoja na yeye; kwa hiyo akafa kwa moto.
19 Na'ankure Jeroboamu'ma kumi'ma nehuno, Israeli vahe'ma zamazeri kumipima zmante'neaza huno, agra Ra Anumzamofo avurera kefo avu'ava nehuno, Israeli vahera zamazeri kumipi zamatre'ne.
Hii ilikuwa ni kwa sababu ya dhambi alizofanya kwa kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi ambazo alifanya, kiasi cha kuifanya Israeli wafanye dhambi.
20 Hagi Zimri'ma kinima mani'neno'ma hu'nea zantmimofo agenkene, Elama ahenea agenkea Israeli kini vahetmimofo agenkema krenentea avontafepi krente'naze.
Pia kwa mambo mengiine yanayomhusu Zimri, na fitina yake aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
21 Hagi ana'ma hazageno'a, Israeli vahe'mo'za tarefi atane'za magokaziga Ginati nemofo Tibni kinia azeri otizageno, mago kagiza Omri avariri'naze.
Sasa watu wa Israeli walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili. Nusu ya watu walimfuata Tibni mwana wa Ginathi, wakamfanya kuwa mfalme, na Nusu walimfufata Omri.
22 Hianagi Omrima avaririza hanaveti'za Ginati nemofo Tibnima avariri'naza vahera hara huzmagatere'za, Tibnina ahe nefriza Omrina kinia azeri oti'naze.
Lakini watu waliomfuata Omri walikuwa na nguvu kuliko wale waliomfuata Tibni mwana wa Ginathi. Kwa hiyo Tibni akafa, na Omri akawa mfalme.
23 Hagi kini ne' Asa'ma 31ni'a kafu Juda vahe kinima nemanigeno'a, Omri'a Israeli vahe kinia 12fu'a kafufi mani'ne. Hianagi 6si'a kafufi Tirza kumatera Israeli vahe kinia mani'ne.
Omri alianza kutawala juu ya Israeli katika mwaka wa thelathini na moja wa Asa mfalme wa Yuda, naye akatawala miaka kumi na miwili. Alitawala akiwa Tirza kwa miaka sita.
24 Hagi Sameria agona mopamofo nefa Semantetira, Omri'a 70 kilo hu'nea silva zagoreti ana mopa mizaseno rankuma tro huteno, ana mopa agafa ne' agire asamareno, Samarie huno ana kumamofo agi'a ante'ne.
Akakinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa kilo 68 za fedha. Akajenga mji juu ya mlima na ule mji akauita Samaria, kwa sababu ya jina la Shemeri, mmiliki wa awali wa kile kilima.
25 Hagi ko'ma maniza e'naza kini vahetmina Omri'a zamagatereno, rama'a kefo avu'ava Ra Anumzamofo avurera hu'ne.
Omri akafanya maovu mbele ya BWANA na akafanya yaliyo maovu zaidi kuliko wale waliokuwa kabla yake.
26 Na'ankure Nebati nemofo Jeroboamu'ma Israeli vahe'ma zamazeri kumipima nezamanteno Ra Anumzana Israeli vahe Anumzamofoma azeri arimpama ahe'nea avu'ava avaririno, Omri'a kaza osu havi anumzantmina tro hunte'neno mono'ma huntea zamo Ra Anumzamofona azeri rimpahe'ne.
Kwa kuwa alitembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake ambazo kwa hizo aliwaongoza Waisraeli kufanya dhambi, ili kumkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli, ili kuwa na hasira juu ya sanamu zao za ubatili.
27 Hagi Omri'ma kinima mani'nea knafima fore'ma hu'nea zantamina Israeli kini vahe'mokizmi zamagi zamagenkema krenentaza avontafepi krente'naze.
Kwa mambo mengine yanayomhusu Omri ambayo alfanya, na nguvu zake alizoonyesha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
28 Hagi Omri'a frigeno Sameria asentazageno, nemofo Ahapu agri nona erino kinia mani'ne.
Kwa hiyo Omri akalala na mababu zake na akazikwa Samaria na Ahabu mwanae akawa mfalme mahali pake.
29 Hagi Kini ne' Asa'ma 38'a kafuma Juda vahe kinima nemanigeno'a, Omri nemofo Ahapu Israeli vahe kinia efore huno mani'ne. Hagi Omri nemofo Ahapu'a 22'a kafu Sameria kumatera kinia mani'neno Israeli vahera kegava hu'ne.
Katika mwaka wa thelathiini na nane wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akaanza kutawala juu ya Israeli. Ahabu mwana wa Omri akatawala Israeli kule Samaria kwa miaka ishirini na mbili.
30 Hagi ko'ma maniza e'naza kini vahetmina zamagatereno, Omri nemofo Ahapu'a rama'a kefo avu'ava Ra Anumzamofo avurera hu'ne.
Ahabu mwana wa Omri akafanya yaliyo maovu mbele ya BWANA, zaidi ya wote waliokuwa kabla yake.
31 Hagi Ahapu'a knare navu'nava nehue huno antahi amne nehuno, Nebati nemofo Jeroboamu'ma hu'nea kefo avu'avara agatereno, Saidoni kini ne' Etba'ali mofa' Jesebelina ara omenerino, Bali havi anumzamofonte monora hunte'ne.
Ikawa kidogo tu Ahabu ayaendee makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa hiyo akamwoa Yezebeli binti wa Ethibaali, mfalme wa Wasidoni; akaenda akamwabudu baali na akamsujudia.
32 Hagi Ahapu'a Sameria kumatera Bali havi anumzamofo mono no kino, agu'afina kresramna vu ita tro hunte'ne.
Akamjengea madhabahu Baali, ambayo alikuwa ameijenga kule Samaria.
33 Hagi anantera Asera a' havi anumzamofo amema'ama me' zafarami retru rentetere hu'ne. Hagi e'ina'ma hia zamo'a, ko'ma maniza e'naza kini vahetmimo'zama hu'naza kefo avu'avara agatereno, rama'a kefo avu'ava huno Ra Anumzana Israeli vahe Anumzamofona azeri arimpa ahe'ne.
Ahabu akatengeneza Ashera. Ahabu akafanya maovu zaidi kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Isareli, akamkasirisha kuliko wafalme wote wa Israeli waliokuwa kabla yake.
34 Hagi Ahapu'ma kinima mani'nea knafi, Beteli kumateti ne' Hieli'a Jeriko kumara ete eri agafa huno ki'ne. Hagi Ra Anumzamo'ma Nuni nemofo Josuama asami'nea kante anteno, ana kuma'ma eri agafa huno negigeno'a, ese mofavre'a Abiramu'a fri'ne. Hagi ana kumama kivagareno, ana kumamofo rankafama hagenentegeno'a, henka mofavre'a Segupu'a fri'ne. (Josua 6:26)
Katika siku zake Hieli Mbetheli aliijenga tena Yeriko. Akaijenga misingi ya mji kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, naye akayajenga malango ya mji kwa kufiwa na mwanae mdogo Segebu, na walifanya hivi kwa sababu walitii neno la BWANA, ambalo alikuwa amelinena kwa kinywa cha Joshua mwana wa Nuni.