< 1 Kroniku 27 >

1 Hagi ama'i vahe zamagia, Israeli vahetamimofo nagate, nagate'ma kegava hutere hu'naza vahetamine, 1 tauseni'a sondia vahete'ene, 100'a sondia vahetaminte'ma kegava hu'naza vahetamine, kini ne'mofo eri'zama erinentaza vahetamine. Hagi ana vahetmina 24tauseni'a vahe refko huntetere hu'neankino mago kevumo'a mago ikampi eri'zana eritere hu'naze.
Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
2 Hagi ese ikante'ma ese kevufima mani'naza vahe'ma eri'zama erisaza vahetmimofo kva nera Zabdieli nemofo Jasobiamu'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
3 Hagi Jasobiamu'a Perezi nagapinti fore hu'neankino, maka sondia kva vahe'taminte kegava hu'ne. Hagi agra maka ese ikampina eri'zana erigahie.
Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 Hagi namba 2 ikante'ma eri'zama erisaza vahe'ma refkoma huntea kevurera, Ahohiti nagapinti ne' Dodai kegava higeno Mikloti anante kva nera mani'ne. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
5 Hagi namba 3 ikante'ma refko'ma hunte'nea vahe kevure'ma kegavama hu'nea kva nera, ugagota pristi ne' Jehoiada nemofo Benaia mani'ne. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
6 Hagi Devitina 30'a hankavenentake sondia vahepina Benaia'a mago'zimimokino, agra ugota huno kegava huzmante'ne. Hagi Agri'ma refko'ma humiza kevurera nemofo Amizabadi nampa 2 kva nera mani'neno kegava huzmante'ne.
Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
7 Hagi namba 4 ikante'ma nampa 4 kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Joapu nagna'amo Asaheli kegava hu'ne. Hagi agri noma henka erino kegavama hu'neana, nemofo Zebadia ana vahera kegava higeno, ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
8 Hagi namba 5fu ikantema, nampa 5fu kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Izrahi nagapinti ne' Samhuti'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
9 Hagi namba 6si ikante'ma nampa 6si kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Tekoa kumateti ne' Ikesi nemofo Ira'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
10 Hagi namba 7ni ikante'ma nampa 7ni kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Peloni kumateti, Efraemi nagapinti ne' Helezi'e. Hagi ana kevufina 24 tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
11 Hagi namba 8ti ikante'ma nampa 8ti kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Husa kumateti, Zera nagapinti ne' Sibekai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
12 Hagi namba 9ni ikante'ma nampa 9ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Anatoti kumateti, Benzameni nagapinti ne' Abiezeri'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe' mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
13 Hagi namba 10ni ikante'ma nampa 10ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Netofa kumateti, Zera nagapinti ne' Maharai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe' mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
14 Hagi namba 11ni ikante'ma 11ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Piratoni kumateti, Efraemi nagapinti ne' Benaia'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
15 Hagi namba 12 ikante'ma 12fu kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Netofa kumateti, Otnieli nagapinti ne' Heldai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
16 Hagi Israeli vahetamimofoma mago'mago nagate'ma ugotama hu'za kegavama hu'naza vahetamina ama'ne, Zikri nemofo Eliezeri'a Rubeni nagate kva manigeno, Simioni nagatera Ma'aka nemofo Sefataia kva mani'ne.
Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
17 Kemueli nemofo Hasabia Livae naga'mofontera kva manino kegava huzmantegeno, Aroni naga'mofontera Sadoki kva manino kegava huzmante'ne.
Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
18 Hagi Deviti negana Elihu Juda nagamofo kva manigeno, Maekoli nemofo Omri Isaka naga kva mani'ne.
Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
19 Hagi Obadaia nemofo Ismaia Zebuluni nagate kva mani'geno, Azerieli nemofo Jeremoti Naftali nagate kva manino kegava huzmante'ne.
Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
20 Hagi Azazaia nemofo Hosea Efraemi nagate kva manigeno, Manase nagama amunompinti'ma refkoma hu'nea nagara Pedaia nemofo Joeli kvazmia mani'ne.
Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
21 Hagi Zekaraia nemofo Ido Manase naga'ma amu'nompintima refko hu'za Giliatima nemaniza nagara kegava huzmante'ne. Hagi Ja'asieli nemofo Abna Benzameni nagamofo kva mani'ne.
Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
22 Hagi Jerohamu nemofo Azareli Dani naga kva mani'ne. Hagi ama'i Israeli vahe'mokizmima ugota huzmante'naza vahetami mani'naze.
Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
23 Hagi kafu'amo'ma 20reti'ma erami'nea vahera Deviti'a ohampri'ne. Na'ankure Ra Anumzamo'a huvempa huno Israeli vahera azeri rama'a hanugeno monafi ofugna hugahie, huno hu'ne.
Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
24 Hagi Zeruia nemofo Joapu'a agafa huno vahera hampri'neanagi, ana eri'zana eri vagaore'ne. Hagi e'i ana zankura Anumzamo'a Israeli vahera tusi arimpa ahezmante'ne. E'ina higeno anama hampria nambana kini ne' Deviti'ma eri'zama eri'nea agenkema krente'nea avontafepina kre onte'naze.
Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
25 Hagi Adieli nemofo Azmaveti'a kini ne'mofo feno nontera kegava hu'ne. Hagi Uzia nemofo Jonatani'a Israeli agu'afima afete'ma me'nea feno nontaminte'ene, rankumatmimpi me'nea feno nontaminte'ene, neone kumatmimpima me'nea feno nontaminte'ene, zaza nontaminte'ene kegava hu'ne.
Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
26 Kalubi nemofo Ezri hoza eri'zama eri vahetera kegava huzmante'ne.
Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
27 Hagi waini hozaramintera Rama kumateti ne' Simei kegava hu'ne. Hagi nomofo agu'afima keri asentene'za wainima vasagenentaza nontera, Sefamu kumateti ne' Zabdi kegava hu'ne.
Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
28 Hagi agupofima me'nea olivi zafaraminte'ene, sikamo zafaramintera Gederi kumateti ne' Ba'al-Hanani kegava hu'ne. Hagi Joasi olivi masavema ante nontera kegava hu'ne.
Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
29 Hagi Saroni kumateti ne' Sitrai Saroni agupofi bulimakao afutamintera kegava hu'ne. Hagi mago'a agupofima mani'nea bulimakao afutamintera Adlai nemofo Safati kegava hu'ne.
Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
30 Hagi Ismaeli nagapinti ne' Obili maka kemoli afutamintera kegava hu'ne. Hagi Meronoti kumateti ne' Jedeia donki afutamintera kegava hu'ne.
Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
31 Hagi Hagri nagapinti ne' Jazizi maka sipisipi afutamintera kegava hu'ne. E'i ama ana maka vahera Kini ne' Deviti fenonte'ma kegavama hutere hu'naza vahetami mani'naze.
Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
32 Hagi Devitina anenta nafa'amo Jonatani'a maka avoma kre'zana antahi ani' hu'neankino, agra knare antahi'zama Devitima ami' nera mani'ne. Hagi kini ne'mofo ne' mofavreramima rempi huzami nera Hakmoni nemofo Jehieli mani'ne.
Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
33 Hagi Ahitofeli'a kini ne'mofoma knare antahintahima nemia ne' mani'ne. Hagi Aka nagapinti ne' Husai'a kini ne'mofo avate rone'a mani'ne.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
34 Hagi Ahitofeli'ma frigeno'a, Benaia nemofo Jehoiata'ene Abiatake agri nona eri'na'e. Hagi Joapu maka sondia vahetamina kegava hu'ne.
Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.

< 1 Kroniku 27 >