< 1 Kroniku 27 >

1 Hagi ama'i vahe zamagia, Israeli vahetamimofo nagate, nagate'ma kegava hutere hu'naza vahetamine, 1 tauseni'a sondia vahete'ene, 100'a sondia vahetaminte'ma kegava hu'naza vahetamine, kini ne'mofo eri'zama erinentaza vahetamine. Hagi ana vahetmina 24tauseni'a vahe refko huntetere hu'neankino mago kevumo'a mago ikampi eri'zana eritere hu'naze.
Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
2 Hagi ese ikante'ma ese kevufima mani'naza vahe'ma eri'zama erisaza vahetmimofo kva nera Zabdieli nemofo Jasobiamu'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
3 Hagi Jasobiamu'a Perezi nagapinti fore hu'neankino, maka sondia kva vahe'taminte kegava hu'ne. Hagi agra maka ese ikampina eri'zana erigahie.
Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 Hagi namba 2 ikante'ma eri'zama erisaza vahe'ma refkoma huntea kevurera, Ahohiti nagapinti ne' Dodai kegava higeno Mikloti anante kva nera mani'ne. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
5 Hagi namba 3 ikante'ma refko'ma hunte'nea vahe kevure'ma kegavama hu'nea kva nera, ugagota pristi ne' Jehoiada nemofo Benaia mani'ne. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
6 Hagi Devitina 30'a hankavenentake sondia vahepina Benaia'a mago'zimimokino, agra ugota huno kegava huzmante'ne. Hagi Agri'ma refko'ma humiza kevurera nemofo Amizabadi nampa 2 kva nera mani'neno kegava huzmante'ne.
Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
7 Hagi namba 4 ikante'ma nampa 4 kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Joapu nagna'amo Asaheli kegava hu'ne. Hagi agri noma henka erino kegavama hu'neana, nemofo Zebadia ana vahera kegava higeno, ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
8 Hagi namba 5fu ikantema, nampa 5fu kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Izrahi nagapinti ne' Samhuti'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
9 Hagi namba 6si ikante'ma nampa 6si kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Tekoa kumateti ne' Ikesi nemofo Ira'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
10 Hagi namba 7ni ikante'ma nampa 7ni kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Peloni kumateti, Efraemi nagapinti ne' Helezi'e. Hagi ana kevufina 24 tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11 Hagi namba 8ti ikante'ma nampa 8ti kevuma refkoma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Husa kumateti, Zera nagapinti ne' Sibekai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
12 Hagi namba 9ni ikante'ma nampa 9ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Anatoti kumateti, Benzameni nagapinti ne' Abiezeri'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe' mani'naze.
Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
13 Hagi namba 10ni ikante'ma nampa 10ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Netofa kumateti, Zera nagapinti ne' Maharai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe' mani'naze.
Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
14 Hagi namba 11ni ikante'ma 11ni kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Piratoni kumateti, Efraemi nagapinti ne' Benaia'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
15 Hagi namba 12 ikante'ma 12fu kevuma refko'ma hunte'nea kevure'ma kegavama hu'nea kva nera Netofa kumateti, Otnieli nagapinti ne' Heldai'e. Hagi ana kevufina 24tauseni'a vahe mani'naze.
Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
16 Hagi Israeli vahetamimofoma mago'mago nagate'ma ugotama hu'za kegavama hu'naza vahetamina ama'ne, Zikri nemofo Eliezeri'a Rubeni nagate kva manigeno, Simioni nagatera Ma'aka nemofo Sefataia kva mani'ne.
Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
17 Kemueli nemofo Hasabia Livae naga'mofontera kva manino kegava huzmantegeno, Aroni naga'mofontera Sadoki kva manino kegava huzmante'ne.
kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
18 Hagi Deviti negana Elihu Juda nagamofo kva manigeno, Maekoli nemofo Omri Isaka naga kva mani'ne.
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
19 Hagi Obadaia nemofo Ismaia Zebuluni nagate kva mani'geno, Azerieli nemofo Jeremoti Naftali nagate kva manino kegava huzmante'ne.
kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
20 Hagi Azazaia nemofo Hosea Efraemi nagate kva manigeno, Manase nagama amunompinti'ma refkoma hu'nea nagara Pedaia nemofo Joeli kvazmia mani'ne.
kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
21 Hagi Zekaraia nemofo Ido Manase naga'ma amu'nompintima refko hu'za Giliatima nemaniza nagara kegava huzmante'ne. Hagi Ja'asieli nemofo Abna Benzameni nagamofo kva mani'ne.
kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
22 Hagi Jerohamu nemofo Azareli Dani naga kva mani'ne. Hagi ama'i Israeli vahe'mokizmima ugota huzmante'naza vahetami mani'naze.
kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
23 Hagi kafu'amo'ma 20reti'ma erami'nea vahera Deviti'a ohampri'ne. Na'ankure Ra Anumzamo'a huvempa huno Israeli vahera azeri rama'a hanugeno monafi ofugna hugahie, huno hu'ne.
Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
24 Hagi Zeruia nemofo Joapu'a agafa huno vahera hampri'neanagi, ana eri'zana eri vagaore'ne. Hagi e'i ana zankura Anumzamo'a Israeli vahera tusi arimpa ahezmante'ne. E'ina higeno anama hampria nambana kini ne' Deviti'ma eri'zama eri'nea agenkema krente'nea avontafepina kre onte'naze.
Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
25 Hagi Adieli nemofo Azmaveti'a kini ne'mofo feno nontera kegava hu'ne. Hagi Uzia nemofo Jonatani'a Israeli agu'afima afete'ma me'nea feno nontaminte'ene, rankumatmimpi me'nea feno nontaminte'ene, neone kumatmimpima me'nea feno nontaminte'ene, zaza nontaminte'ene kegava hu'ne.
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
26 Kalubi nemofo Ezri hoza eri'zama eri vahetera kegava huzmante'ne.
Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
27 Hagi waini hozaramintera Rama kumateti ne' Simei kegava hu'ne. Hagi nomofo agu'afima keri asentene'za wainima vasagenentaza nontera, Sefamu kumateti ne' Zabdi kegava hu'ne.
Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
28 Hagi agupofima me'nea olivi zafaraminte'ene, sikamo zafaramintera Gederi kumateti ne' Ba'al-Hanani kegava hu'ne. Hagi Joasi olivi masavema ante nontera kegava hu'ne.
Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
29 Hagi Saroni kumateti ne' Sitrai Saroni agupofi bulimakao afutamintera kegava hu'ne. Hagi mago'a agupofima mani'nea bulimakao afutamintera Adlai nemofo Safati kegava hu'ne.
Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
30 Hagi Ismaeli nagapinti ne' Obili maka kemoli afutamintera kegava hu'ne. Hagi Meronoti kumateti ne' Jedeia donki afutamintera kegava hu'ne.
Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
31 Hagi Hagri nagapinti ne' Jazizi maka sipisipi afutamintera kegava hu'ne. E'i ama ana maka vahera Kini ne' Deviti fenonte'ma kegavama hutere hu'naza vahetami mani'naze.
Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
32 Hagi Devitina anenta nafa'amo Jonatani'a maka avoma kre'zana antahi ani' hu'neankino, agra knare antahi'zama Devitima ami' nera mani'ne. Hagi kini ne'mofo ne' mofavreramima rempi huzami nera Hakmoni nemofo Jehieli mani'ne.
Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
33 Hagi Ahitofeli'a kini ne'mofoma knare antahintahima nemia ne' mani'ne. Hagi Aka nagapinti ne' Husai'a kini ne'mofo avate rone'a mani'ne.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
34 Hagi Ahitofeli'ma frigeno'a, Benaia nemofo Jehoiata'ene Abiatake agri nona eri'na'e. Hagi Joapu maka sondia vahetamina kegava hu'ne.
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.

< 1 Kroniku 27 >