< ヨブ 記 7 >
1 それ人の世にあるは戰鬪にあるがごとくならずや 又其日は傭人の日のごとくなるにあらずや
Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
2 奴僕の暮を冀がふが如く傭人のその價を望むがごとく
Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
3 我は苦しき月を得させられ 憂はしき夜をあたへらる
hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
4 我臥ば乃はち言ふ 何時夜あけて我おきいでんかと 曙まで頻に輾轉ぶ
Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
5 わが肉は蟲と土塊とを衣服となし 我皮は愈てまた腐る
Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
6 わが日は機の梭よりも迅速なり 我望む所なくし之を送る
Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
7 想ひ見よ わが生命が氣息なる而已 我目は再び福祉を見ること有じ
Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
8 我を見し者の眼かさねて我を見ざらん 汝目を我にむくるも我は已に在ざるべし
Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
9 雲の消て逝がごとく陰府に下れる者は重ねて上りきたらじ (Sheol )
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol )
10 彼は再びその家に歸らず 彼の郷里も最早かれを認めじ
Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
11 然ば我はわが口を禁めず 我心の痛によりて語ひ わが神魂の苦しきによりて歎かん
Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
12 我あに海ならんや鰐ならんや 汝なにとて我を守らせおきたまふぞ
Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
13 わが牀われを慰め わが寢床わが愁を解んと思ひをる時に
Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
14 汝夢をもて我を驚かし 異象をもて我を懼れしめたまふ
halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
15 是をもて我心は氣息の閉んことを願ひ 我この骨よりも死を冀がふ
ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
16 われ生命を厭ふ 我は永く生るをことを願はず 我を捨おきたまへ 我日は氣のごときなり
Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
17 人を如何なる者として汝これを大にし 之を心に留
Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
18 朝ごとに之を看そなはし 時わかず之を試みたまふや
na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
19 何時まで汝われに目を離さず 我が津を咽む間も我を捨おきたまはざるや
Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
20 人を鑒みたまふ者よ我罪を犯したりとて汝に何をか爲ん 何ぞ我を汝の的となして我にこの身を厭はしめたまふや
Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
21 汝なんぞ我の愆を赦さず我罪を除きたまはざるや 我いま土の中に睡らん 汝我を尋ねたまふとも我は在ざるべし
Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”