< ヨブ 記 5 >
1 請ふなんぢ龥びて看よ 誰か汝に應ふる者ありや 聖者の中にて誰に汝むかはんとするや
Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
2 夫愚なる者は憤恨のために身を殺し 癡き者は嫉媢のために己を死しむ
Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
3 我みづから愚なる者のその根を張るを見たりしがすみやかにその家を詛へり
Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
4 その子等は助援を獲ることなく 門にて惱まさる 之を救ふ者なし
Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
5 その穡とれる物は飢たる人これを食ひ 荊棘の籬の中にありてもなほ之を奪ひいだし 羂をその所有物にむかひて口を張る
Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
7 人の生れて艱難をうくるは火の子の上に飛がごとし
Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
8 もし我ならんには我は必らず神に告求め 我事を神に任せん
Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
9 神は大にして測りがたき事を行ひたまふ 其不思議なる事を爲たまふこと數しれず
yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
11 卑き者を高く擧げ 憂ふる者を引興して幸福ならしめたまふ
Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
12 神は狡しき者の謀計を敗り 之をして何事をもその手に成就ること能はざらしめ
Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
13 慧き者をその自分の詭計によりて執へ 邪なる者の謀計をして敗れしむ
Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
14 彼らは晝も暗黒に遇ひ 卓午にも夜の如くに摸り惑はん
Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
15 神は惱める者を救ひてかれらが口の劍を免かれしめ 強き者の手を免かれしめたまふ
Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
17 神の懲したまふ人は幸福なり 然ば汝全能者の儆責を輕んずる勿れ
Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
18 神は傷け又裹み 撃ていため又その手をもて善醫したまふ
Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
19 彼はなんぢを六の艱難の中にて救ひたまふ 七の中にても災禍なんぢにのぞまじ
Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
20 饑饉の時にはなんぢを救ひて死を免れしめ 戰爭の時には劍の手を免れしめたまふ
Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
21 汝は舌にて鞭たるる時にも隱るることを得 壞滅の來る時にも懼るること有じ
Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
22 汝は壞滅と饑饉を笑ひ地の獸をも懼るること無るべし
Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
24 汝はおのが幕屋の安然なるを知ん 汝の住處を見まはるに缺たる者なからん
Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
25 汝また汝の子等の多くなり 汝の裔の地の草の如くになるを知ん
Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
26 汝は遐齡におよびて墓にいらん 宛然麥束を時にいたりて運びあぐるごとくなるべし
Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
27 視よ我らが尋ね明めし所かくのごとし 汝これを聽て自ら知れよ
Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”