< 詩篇 98 >

1 歌 新しき歌を主にむかってうたえ。主はくすしきみわざをなされたからである。その右の手と聖なる腕とは、おのれのために勝利を得られた。
Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya, kwa kuwa ametenda mambo ya ajabu; mkono wake wa kuume na mkono wake mtakatifu vimempa ushindi.
2 主はその勝利を知らせ、その義をもろもろの国民の前にあらわされた。
Yahwe ameufanya wokovu wake ujulikane; ameidhihirisha haki yake kwa mataifa yote.
3 主はそのいつくしみと、まこととをイスラエルの家にむかって覚えられた。地のもろもろのはては、われらの神の勝利を見た。
Hukumbuka uaminifu wa agano lake na uaminifu kwa ajili ya nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia itauona ushindi wa Mungu wetu.
4 全地よ、主にむかって喜ばしき声をあげよ。声を放って喜び歌え、ほめうたえ。
Mshangilieni Yahwe, nchi yote; pazeni sauti kwa wimbo, imbeni kwa furaha, na imbeni sifa.
5 琴をもって主をほめうたえ。琴と歌の声をもってほめうたえ。
Mwimbieni Yahwe sifa kwa kinubi, kwa kinubi na wimbo wenye muiki wa kupendeza.
6 ラッパと角笛の音をもって王なる主の前に喜ばしき声をあげよ。
Kwa panda na sauti ya baragumu, fanyeni kelele za shangwe mbele ya Mfalme, Yahwe.
7 海とその中に満ちるもの、世界とそのうちに住む者とは鳴りどよめけ。
Bahari na ipige kelele na vyote vilivyomo, ulimwengu na wale wakaao ndani yake!
8 大水はその手を打ち、もろもろの山は共に主のみ前に喜び歌え。
Mito na ipige makofi, na milima ipige kelele kwa furaha.
9 主は地をさばくために来られるからである。主は義をもって世界をさばき、公平をもってもろもろの民をさばかれる。
Yahwe anakuja kuihukumu nchi; naye ataihukumu dunia kwa haki na mataifa kwa adili.

< 詩篇 98 >