< 詩篇 98 >

1 歌 新しき歌を主にむかってうたえ。主はくすしきみわざをなされたからである。その右の手と聖なる腕とは、おのれのために勝利を得られた。
Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
2 主はその勝利を知らせ、その義をもろもろの国民の前にあらわされた。
Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
3 主はそのいつくしみと、まこととをイスラエルの家にむかって覚えられた。地のもろもろのはては、われらの神の勝利を見た。
Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
4 全地よ、主にむかって喜ばしき声をあげよ。声を放って喜び歌え、ほめうたえ。
Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
5 琴をもって主をほめうたえ。琴と歌の声をもってほめうたえ。
mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
6 ラッパと角笛の音をもって王なる主の前に喜ばしき声をあげよ。
kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
7 海とその中に満ちるもの、世界とそのうちに住む者とは鳴りどよめけ。
Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
8 大水はその手を打ち、もろもろの山は共に主のみ前に喜び歌え。
Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
9 主は地をさばくために来られるからである。主は義をもって世界をさばき、公平をもってもろもろの民をさばかれる。
vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.

< 詩篇 98 >