< 詩篇 51 >
1 聖歌隊の指揮者によってうたわせたダビデの歌、これはダビデがバテセバに通った後預言者ナタンがきたときによんだもの 神よ、あなたのいつくしみによって、わたしをあわれみ、あなたの豊かなあわれみによって、わたしのもろもろのとがをぬぐい去ってください。
Unirehemu, Mungu, kwa sababu ya uaminifu wa agano lako; kwa ajili ya wingi wa matendo yako ya rehema, uyafute makosa yangu.
2 わたしの不義をことごとく洗い去り、わたしの罪からわたしを清めてください。
Unioshe kabisa uovu wangu na unisafishe dhambi zangu.
3 わたしは自分のとがを知っています。わたしの罪はいつもわたしの前にあります。
Kwa maana ninayajua makosa yangu, na dhambi yangu iko mbele yako siku zote.
4 わたしはあなたにむかい、ただあなたに罪を犯し、あなたの前に悪い事を行いました。それゆえ、あなたが宣告をお与えになるときは正しく、あなたが人をさばかれるときは誤りがありません。
Dhidi yako, wewe pekee, nimetenda dhambi na kufanya uovu mbele ya macho yako; uko sawa usemapo; wewe uko sahahi utoapo hukumu.
5 見よ、わたしは不義のなかに生れました。わたしの母は罪のうちにわたしをみごもりました。
Tazama, nilizaliwa katika uovu; pindi tu mama yangu aliponibeba mimba, nilikuwa katika dhambi. Tazama, wewe unahitaji uaminifu ndani ya moyo wangu;
6 見よ、あなたは真実を心のうちに求められます。それゆえ、わたしの隠れた心に知恵を教えてください。
katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
7 ヒソプをもって、わたしを清めてください、わたしは清くなるでしょう。わたしを洗ってください、わたしは雪よりも白くなるでしょう。
Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8 わたしに喜びと楽しみとを満たし、あなたが砕いた骨を喜ばせてください。
Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
9 み顔をわたしの罪から隠し、わたしの不義をことごとくぬぐい去ってください。
Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
10 神よ、わたしのために清い心をつくり、わたしのうちに新しい、正しい霊を与えてください。
Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
11 わたしをみ前から捨てないでください。あなたの聖なる霊をわたしから取らないでください。
Usiniondoe uweponi mwako, na usimuondoe roho Mtakatifu ndani yangu.
12 あなたの救の喜びをわたしに返し、自由の霊をもって、わたしをささえてください。
Unirudishie furaha ya wokovu wako, na unihifadhi mimi kwa roho ya utayari.
13 そうすればわたしは、とがを犯した者にあなたの道を教え、罪びとはあなたに帰ってくるでしょう。
Ndipo nitawafundisha wakosaji jia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
14 神よ、わが救の神よ、血を流した罪からわたしを助け出してください。わたしの舌は声高らかにあなたの義を歌うでしょう。
Unisamehe kwa ajili ya umwagaji damu, Mungu wa wokovu wangu, nami nitapiga kelele za shangwe ya haki yako.
15 主よ、わたしのくちびるを開いてください。わたしの口はあなたの誉をあらわすでしょう。
Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na mdomo wangu itazieleza sifa zako.
16 あなたはいけにえを好まれません。たといわたしが燔祭をささげてもあなたは喜ばれないでしょう。
Kwa maana wewe haufurahishwi katika sadaka, vinginevyo ningekutolea sadaka; wewe hauwi radhi katika sadaka ya kuteketezwa.
17 神の受けられるいけにえは砕けた魂です。神よ、あなたは砕けた悔いた心をかろしめられません。
Sadaka ya Mungu ni roho iliyovunjika. Wewe, Mungu hautadharau moyo uliopondeka na kujutia.
18 あなたのみこころにしたがってシオンに恵みを施し、エルサレムの城壁を築きなおしてください。
Uitendee mema Sayuni katika nia yako nzuri; uzijenge tena kuta za Yerusalem.
19 その時あなたは義のいけにえと燔祭と、全き燔祭とを喜ばれるでしょう。その時あなたの祭壇に雄牛がささげられるでしょう。
Kisha wewe utafurahia sadaka yenye haki, katika sadaka za kuteketeza; ndipo watu wetu watatoa ng'ombe kwenye madhabahu yako.