< 詩篇 38 >

1 記念のためにうたったダビデの歌 主よ、あなたの憤りをもってわたしを責めず、激しい怒りをもってわたしを懲らさないでください。
Yahwe, usinikemee katika hasira yako; usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 あなたの矢がわたしに突き刺さり、あなたの手がわたしの上にくだりました。
Kwa kuwa mishale yako hunichoma, na mkono wako huniangusha chini.
3 あなたの怒りによって、わたしの肉には全きところなく、わたしの罪によって、わたしの骨には健やかなところはありません。
Mwili wangu wote unaumwa kwa sababu ya hasira yako; kwa sababu ya dhambi zangu mifupa yangu haina afya.
4 わたしの不義はわたしの頭を越え、重荷のように重くて負うことができません。
Kwa maana maovu yangu yamenielemea; yamekuwa mzigo mzito kwangu.
5 わたしの愚かによって、わたしの傷は悪臭を放ち、腐れただれました。
Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6 わたしは折れかがんで、いたくうなだれ、ひねもす悲しんで歩くのです。
Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
7 わたしの腰はことごとく焼け、わたしの肉には全きところがありません。
Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.
8 わたしは衰えはて、いたく打ちひしがれ、わたしの心の激しい騒ぎによってうめき叫びます。
Nimedhohofika na kulemewa sana; ninaugua kwa sababu ya dhiki yangu.
9 主よ、わたしのすべての願いはあなたに知られ、わたしの嘆きはあなたに隠れることはありません。
Bwana, wewe unaielewa shauku ya ndani kabisa ya moyo wangu, na kuugua kwangu hakujifichika kwako.
10 わたしの胸は激しく打ち、わたしの力は衰え、わたしの目の光もまた、わたしを離れ去りました。
Moyo wangu unapwita pwita, nguvu zangu zinaniisha, macho yangu yanafifia.
11 わが友、わがともがらはわたしの災を見て離れて立ち、わが親族もまた遠く離れて立っています。
Marafiki na ndugu zangu wamenitenga kwa sababu ya hali; majirani zangu hukaa mbali nami.
12 わたしのいのちを求める者はわなを設け、わたしをそこなおうとする者は滅ぼすことを語り、ひねもす欺くことをはかるのです。
Wale wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego kwa ajili yangu. Wao ambao hutafuta kunidhuru huongea maneno ya uharibifu na husema maneno ya uongo siku nzima.
13 しかしわたしは耳しいのように聞かず、おしのように口を開きません。
Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
14 まことに、わたしは聞かない人のごとく、議論を口にしない人のようです。
Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.
15 しかし、主よ、わたしはあなたを待ち望みます。わが神、主よ、あなたこそわたしに答えられるのです。
Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
16 わたしは祈ります、「わが足のすべるとき、わたしにむかって高ぶる彼らにわたしのことによって喜ぶことをゆるさないでください」と。
Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
17 わたしは倒れるばかりになり、わたしの苦しみは常にわたしと共にあります。
Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.
18 わたしは、みずから不義を言いあらわし、わが罪のために悲しみます。
Ninatubu makosa yangu; ninahuzunika kwa dhambi zangu.
19 ゆえなく、わたしに敵する者は強く、偽ってわたしを憎む者は多いのです。
Lakini maadui zangu ni wengi; wale wanichukiao ni wengi.
20 悪をもって善に報いる者は、わたしがよい事に従うがゆえに、わがあだとなります。
Wao wananilipa mabaya kwa mema; wanavurumiza shutuma kwangu ingawa nimefuata lililo jema.
21 主よ、わたしを捨てないでください。わが神よ、わたしに遠ざからないでください。
Usinitelekeze, Yahwe, Mungu wangu, usikae mbali nami.
22 主、わが救よ、すみやかにわたしをお助けください。
Njoo haraka unisaidie, Bwana, wokovu wangu.

< 詩篇 38 >