< 詩篇 3 >

1 ダビデがその子アブサロムを避けてのがれたときの歌 主よ、わたしに敵する者のいかに多いことでしょう。わたしに逆らって立つ者が多く、
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 「彼には神の助けがない」と、わたしについて言う者が多いのです。 (セラ)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 しかし主よ、あなたはわたしを囲む盾、わが栄え、わたしの頭を、もたげてくださるかたです。
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 わたしが声をあげて主を呼ばわると、主は聖なる山からわたしに答えられる。 (セラ)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 わたしはふして眠り、また目をさます。主がわたしをささえられるからだ。
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 わたしを囲んで立ち構えるちよろずの民をもわたしは恐れない。
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 主よ、お立ちください。わが神よ、わたしをお救いください。あなたはわたしのすべての敵のほおを打ち、悪しき者の歯を折られるのです。
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 救は主のものです。どうかあなたの祝福があなたの民の上にありますように。 (セラ)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.

< 詩篇 3 >