< 詩篇 23 >
1 ダビデの歌 主はわたしの牧者であって、わたしには乏しいことがない。
Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
2 主はわたしを緑の牧場に伏させ、いこいのみぎわに伴われる。
Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
3 主はわたしの魂をいきかえらせ、み名のためにわたしを正しい道に導かれる。
Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
4 たといわたしは死の陰の谷を歩むとも、わざわいを恐れません。あなたがわたしと共におられるからです。あなたのむちと、あなたのつえはわたしを慰めます。
Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
5 あなたはわたしの敵の前で、わたしの前に宴を設け、わたしのこうべに油をそそがれる。わたしの杯はあふれます。
Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
6 わたしの生きているかぎりは必ず恵みといつくしみとが伴うでしょう。わたしはとこしえに主の宮に住むでしょう。
Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!