< エズラ記 2 >
1 バビロンの王ネブカデネザルに捕えられて、バビロンに移された者のうち、捕囚をゆるされてエルサレムおよびユダに上って、おのおの自分の町に帰ったこの州の人々は次のとおりである。
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 彼らはゼルバベル、エシュア、ネヘミヤ、セラヤ、レエラヤ、モルデカイ、ビルシャン、ミスパル、ビグワイ、レホム、バアナと共に帰ってきた。そのイスラエルの民の人数は次のとおりである。
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
6 パハテ・モアブの子孫すなわちエシュアとヨアブの子孫は二千八百十二人、
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
16 アテルの子孫すなわちヒゼキヤの子孫は九十八人、
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Wanaume wa Anathothi: 128.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 キリアテ・ヤリム、ケピラおよびベエロテの子孫は七百四十三人、
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Wanaume wa Magbishi: 156.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 ロド、ハデデおよびオノの子孫は七百二十五人、
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 祭司は、エシュアの家のエダヤの子孫九百七十三人、
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
40 レビびとは、ホダヤの子孫すなわちエシュアとカデミエルの子孫七十四人。
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 門衛の子孫は、シャルムの子孫、アテルの子孫、タルモンの子孫、アックブの子孫、ハテタの子孫、ショバイの子孫合わせて百三十九人。
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 宮に仕えるしもべたちは、ヂハの子孫、ハスパの子孫、タバオテの子孫、
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
45 レバナの子孫、ハガバの子孫、アックブの子孫、
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 ハガブの子孫、シャルマイの子孫、ハナンの子孫、
Hagabu, Salmai, Hanani
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
50 アスナの子孫、メウニムの子孫、ネフシムの子孫、
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 バクブクの子孫、ハクパの子孫、ハルホルの子孫、
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 バヅリテの子孫、メヒダの子孫、ハルシャの子孫、
Basluthi, Mehida, Barsha:
55 ソロモンのしもべたちの子孫は、ソタイの子孫、ハッソペレテの子孫、ペリダの子孫、
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 ヤアラの子孫、ダルコンの子孫、ギデルの子孫、
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 シパテヤの子孫、ハッテルの子孫、ポケレテ・ハッゼバイムの子孫、アミの子孫。
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 宮に仕えるしもべたちとソロモンのしもべたちの子孫とは合わせて三百九十二人。
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 次にあげる人々はテル・メラ、テル・ハレサ、ケルブ、アダンおよびインメルから上って来た者であったが、彼らはその氏族とその血統とを示して、そのイスラエルの者であることを明らかにすることができなかった。
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 すなわちデラヤの子孫、トビヤの子孫、ネコダの子孫で合わせて六百五十二人。
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 祭司の子孫のうちにはハバヤの子孫、ハッコヅの子孫、バルジライの子孫があった。バルジライはギレアデびとバルジライの娘たちのうちから妻をめとったので、その名で呼ばれることになった。
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 これらの者は系譜に載った者たちのうちに自分の名を尋ねたが見いだされなかったので、汚れた者として、祭司の職から除かれた。
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 総督は彼らに告げて、ウリムとトンミムを身につける祭司の興るまでは、いと聖なる物を食べてはならないと言った。
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
65 このほかに、しもべおよびはしため合わせて七千三百三十七人、また歌うたう男女二百人あった。
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 その馬は七百三十六頭、その騾馬は二百四十五頭、
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 そのらくだは四百三十五頭、そのろばは六千七百二十頭あった。
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 氏族の長数人はエルサレムにある主の宮の所にきた時、神の宮をもとの所に建てるために真心よりの供え物をささげた。
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 すなわち、その力に従って工事のために倉に納めたものは、金六万一千ダリク、銀五千ミナ、祭司の衣服百かさねであった。
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 祭司、レビびと、および民のある者はエルサレムおよびその近郊に住み、歌うたう者、門衛および宮に仕えるしもべたちはその町々に住み、一般のイスラエルびとは自分たちの町々に住んだ。
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.