< 歴代誌Ⅰ 1 >

1 アダム、セツ、エノス、
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 ケナン、マハラレル、ヤレド、
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 エノク、メトセラ、ラメク、
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 ノア、セム、ハム、ヤペテ。
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 ヤペテの子らはゴメル、マゴグ、マダイ、ヤワン、トバル、メセク、テラス。
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 ゴメルの子らはアシケナズ、デパテ、トガルマ。
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 ヤワンの子らはエリシャ、タルシシ、キッテム、ロダニム。
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 ハムの子らはクシ、エジプト、プテ、カナン。
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 クシの子らはセバ、ハビラ、サブタ、ラアマ、サブテカ。ラアマの子らはシバとデダン。
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 クシはニムロデを生んだ。ニムロデは初めて世の権力ある者となった。
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 エジプトはルデびと、アナムびと、レハブびと、ナフトびと、
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 パテロスびと、カスルびと、カフトルびとを生んだ。カフトルびとからペリシテびとが出た。
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 カナンは長子シドンとヘテを生んだ。
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 またエブスびと、アモリびと、ギルガシびと、
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 ヒビびと、アルキびと、セニびと、
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 アルワデびと、ゼマリびと、ハマテびとを生んだ。
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 セムの子らはエラム、アシュル、アルパクサデ、ルデ、アラム、ウズ、ホル、ゲテル、メセクである。
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 アルパクサデはシラを生み、シラはエベルを生んだ。
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 エベルにふたりの子が生れた。ひとりの名はペレグ彼の代に地の民が散り分れたからであるその弟の名はヨクタンといった。
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 ヨクタンはアルモダデ、シャレフ、ハザル・マウテ、エラ、
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 ハドラム、ウザル、デクラ、
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 エバル、アビマエル、シバ、
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 オフル、ハビラ、ヨバブを生んだ。これらはみなヨクタンの子である。
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 セム、アルパクサデ、シラ、
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 エベル、ペレグ、リウ、
Eberi, Pelegi, Reu,
26 セルグ、ナホル、テラ、
Serugi, Nahori, Tera,
27 アブラムすなわちアブラハムである。
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 アブラハムの子らはイサクとイシマエルである。
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 彼らの子孫は次のとおりである。イシマエルの長子はネバヨテ、次はケダル、アデビエル、ミブサム、
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 ミシマ、ドマ、マッサ、ハダデ、テマ、
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 エトル、ネフシ、ケデマ。これらはイシマエルの子孫である。
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 アブラハムのそばめケトラの子孫は次のとおりである。彼女はジムラン、ヨクシャン、メダン、ミデアン、イシバク、シュワを産んだ。ヨクシャンの子らはシバとデダンである。
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 ミデアンの子らはエパ、エペル、ヘノク、アビダ、エルダア。これらはみなケトラの子孫である。
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 アブラハムはイサクを生んだ。イサクの子らはエサウとイスラエル。
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 エサウの子らはエリパズ、リウエル、エウシ、ヤラム、コラ。
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 エリパズの子らはテマン、オマル、ゼピ、ガタム、ケナズ、テムナ、アマレク。
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 リウエルの子らはナハテ、ゼラ、シャンマ、ミッザ。
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 セイルの子らはロタン、ショバル、ヂベオン、アナ、デション、エゼル、デシャン。
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 ロタンの子らはホリとホマム。ロタンの妹はテムナ。
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 ショバルの子らはアルヤン、マナハテ、エバル、シピ、オナム。ヂベオンの子らはアヤとアナ。
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 アナの子はデション。デションの子らはハムラン、エシバン、イテラン、ケラン。
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 エゼルの子らはビルハン、ザワン、ヤカン。デシャンの子らはウズとアラン。
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 イスラエルの人々を治める王がまだなかった時、エドムの地を治めた王たちは次のとおりである。ベオルの子ベラ。その都の名はデナバといった。
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 ベラが死んで、ボズラのゼラの子ヨバブが代って王となった。
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 ヨバブが死んで、テマンびとの地のホシャムが代って王となった。
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 ホシャムが死んで、ベダテの子ハダデが代って王となった。彼はモアブの野でミデアンを撃った。彼の都の名はアビテといった。
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 ハダデが死んで、マスレカのサムラが代って王となった。
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 サムラが死んで、ユフラテ川のほとりのレホボテのサウルが代って王となった。
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 サウルが死んで、アクボルの子バアル・ハナンが代って王となった。
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 バアル・ハナンが死んで、ハダデが代って王となった。彼の都の名はパイといった。彼の妻はマテレデの娘であって、名をメヘタベルといった。マテレデはメザハブの娘である。
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 ハダデも死んだ。エドムの族長は、テムナ侯、アルヤ侯、エテテ侯、
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 アホリバマ侯、エラ侯、ピノン侯、
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 ケナズ侯、テマン侯、ミブザル侯、
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 マグデエル侯、イラム侯。これらはエドムの族長である。
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 歴代誌Ⅰ 1 >