< 詩篇 96 >

1 あたらしき歌をヱホバにむかひてうたへ 全地よヱホバにむかひて謳ふべし
Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
2 ヱホバに向ひてうたひその名をほめよ 日ごとにその救をのべつたへよ
Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
3 もろもろの國のなかにその榮光をあらはし もろもろの民のなかにその奇しきみわざを顯すべし
Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
4 そはヱホバはおほいなり大にほめたたふべきものなり もろもろの神にまさりて畏るべきものなり
Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
5 もろもろの民のすべての神はことごとく虚し されどヱホバはもろもろの天をつくりたまへり
Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
6 尊貴と稜威とはその前にあり能と善美とはその聖所にあり
Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
7 もろもろの民のやからよ榮光とちからとをヱホバにあたへよヱホバにあたへよ
Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
8 その聖名にかなふ榮光をもてヱホバにあたへ 献物をたづさへてその大庭にきたれ
Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
9 きよき美しきものをもてヱホバををがめ 全地よその前にをののけ
Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
10 もろもろの國のなかにいへ ヱホバは統治たまふ世界もかたくたちて動かさるることなし ヱホバは正直をもてすべての民をさばきたまはんと
Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
11 天はよろこび地はたのしみ海とそのなかに盈るものとはなりどよみ
Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
12 田畑とその中のすべての物とはよろこぶべし かくて林のもろもろの樹もまたヱホバの前によろこびうたはん
Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
13 ヱホバ來りたまふ地をさばかんとて來りたまふ 義をもて世界をさばきその眞實をもてもろもろの民をさばきたまはん
mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.

< 詩篇 96 >