< 詩篇 92 >
1 いとたかき者よヱホバにかんしやし聖名をほめたたふるは善かな
Ni jambo jema kumshukuru Yahwe na kuliimbia sifa jina lako, Uliye Juu,
2 あしたに汝のいつくしみをあらはし 夜々なんぢの眞實をあらはすに
kutangaza uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi na uaminifu wako kila usiku,
3 十絃のなりものと筝とをもちゐ 琴の妙なる音をもちゐるはいと善かな
kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
4 そはヱホバよ なんぢその作爲をもて我をたのしませたまへり 我なんぢの手のわざをよろこびほこらん
Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
5 ヱホバよ汝のみわざは大なるかな汝のもろもろの思念はいとふかし
Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya:
7 惡きものは草のごとくもえいで 不義をおこなふ衆庶はさかゆるとも 遂にはとこしへにほろびん
Wasio haki watakapochipuka kama nyasi, na hata watendao uovu watakapo stawi, bado wataangamizwa kwenye uharibifu wa milele.
Lakini wewe, Yahwe, utatawala milele.
9 ヱホバよ吁なんぢの仇ああなんぢの仇はほろびん 不義をおこなふ者はことごとく散されん
Hakika, watazame adui zako, Yahwe! Hakika, watazame adui zako. Wataangamia! Wale wote watendao maovu watatawanywa.
10 されど汝わが角をたかくあげて 野の牛のつののごとくならしめたまへり 我はあたらしき膏をそそがれたり
Wewe umeyainua mapembe yangu kama mapembe ya Nyati wa porini; nimepakwa mafuta safi.
11 又わが目はわが仇につきて願へることを見わが耳はわれにさからひておこりたつ惡をなすものにつきて願へることをききたり
Macho yangu yameona kuanguka kwa adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya maadui zangu waovu.
12 義しきものは棕櫚の樹のごとく榮え レバノンの香柏のごとくそだつべし
Wenye haki watastawi kama mtende; watakua kama mwerezi wa Lebanoni.
13 ヱホバの宮にうゑられしものはわれらの神の大庭にさかえん
Wamepandwa katika nyumba ya Yahwe; wakistawi katika nyua za Mungu wetu.
14 かれらは年老てなほ果をむすび豊かにうるほひ緑の色みちみちて
Wao huzaa matunda hata uzeeni; hukaa safi na wenye afya,
15 ヱホバの直きものなることを示すべし ヱホバはわが巌なりヱホバには不義なし
kutangaza kuwa Yahwe ni wa haki. Yeye ni mwamba wangu, na hakuna udhalimu ndani yake.