< 詩篇 83 >
1 神よもだしたまふなかれ神よものいはで寂靜たまふなかれ
Wimbo. Zaburi ya Asafu. Ee Mungu, usinyamaze kimya, usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.
2 視よなんぢの仇はかしがきしき聲をあげ汝をにくむものは首をあげたり
Tazama watesi wako wanafanya fujo, jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.
3 かれらはたくみなる謀略をもてなんぢの民にむかひ相共にはかりて汝のかくれたる者にむかふ
Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
4 かれらいひたりき 來かれらを斷滅してふたたび國をたつることを得ざらしめイスラエルの名をふたたび人にしられざらしめんと
Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
5 かれらは心を一つにしてともにはかり互にちかひをなしてなんぢに逆ふ
Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,
6 こはエドムの幕屋にすめる人イシマエル人モアブ、ハガル人
mahema ya Edomu na Waishmaeli, ya Wamoabu na Wahagari,
7 ゲバル、アンモン、アマレク、ペリシテおよびツロの民などなり
Gebali, Amoni na Amaleki, Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.
8 アッスリヤも亦かれらにくみせり 斯てロトの子輩のたすけをなせり (セラ)
Hata Ashuru wameungana nao kuwapa nguvu wazao wa Loti.
9 なんぢ曩にミデアンになしたまへる如くキションの河にてシセラとヤビンとに作たまへるごとく彼等にもなしたまへ
Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani, na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini hapo kijito cha Kishoni,
10 かれらはエンドルにてほろび地のために肥料となれり
ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.
11 かれらの貴人をオレブ、ゼエブのごとくそのもろもろの侯をゼバ、ザルムンナのごとくなしたまへ
Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,
12 かれらはいへり われら神の草苑をえてわが有とすべしと
ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”
13 わが神よかれらをまきあげらるる塵のごとく風のまへの藁のごとくならしめたまへ
Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Kama vile moto uteketezavyo msitu au mwali wa moto unavyounguza milima,
15 なんぢの暴風をもてかれらを追ひなんぢの旋風をもてかれらを怖れしめたまへ
wafuatilie kwa tufani yako na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16 かれらの面に恥をみたしめたまへ ヱホバよ然ばかれらなんぢの名をもとめん
Funika nyuso zao kwa aibu ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.
17 かれらをとこしへに恥おそれしめ惶てまどひて亡びうせしめたまへ
Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele, na waangamie kwa aibu.
18 然ばかれらはヱホバてふ名をもちたまふ汝のみ全地をしろしめす至上者なることを知るべし
Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana, kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.