< 詩篇 61 >
1 ああ神よねがはくはわが哭聲をききたまへ わが祈にみこころをとめたまへ
Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
2 わが心くづほるるとき地のはてより汝をよばん なんぢ我をみちびきてわが及びがたきほどの高き磐にのぼらせたまへ
Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
3 なんぢはわが避所われを仇よりのがれしむる堅固なる櫓なればなり
Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
4 われ永遠になんぢの帷幄にすまはん我なんぢの翼の下にのがれん (セラ)
Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
5 神よなんぢはわがもろもろの誓をきき名をおそるるものにたまふ嗣業をわれにあたへたまへり
Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
6 なんぢは王の生命をのばし その年を幾代にもいたらせたまはん
Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
7 王はとこしへに神のみまへにとどまらん ねがはくは仁慈と眞實とをそなへて彼をまもりたまへ
Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
8 さらば我とこしへに名をほめうたひて日ごとにわがもろもろの誓をつくのひ果さん
Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.