< 詩篇 46 >
1 神はわれらの避所また力なり なやめるときの最ちかき助なり
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
2 さればたとひ地はかはり山はうみの中央にうつるとも我儕はおそれじ
Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
3 よしその水はなりとどろきてさわぐとも その溢れきたるによりて山はゆるぐとも何かあらん (セラ)
Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
4 河ありそのながれは神のみやこをよろこばしめ至上者のすみたまふ聖所をよろこばしむ
Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
5 神そのなかにいませば都はうごかじ 神は朝つとにこれを助けたまはん
Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
6 もろもろの民はさわぎたち もろもろの國はうごきたり 神その聲をいだしたまへば地はやがてとけぬ
Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
7 萬軍のヱホバはわれらとともなり ヤコブの神はわれらのたかき櫓なり (セラ)
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
8 きたりてヱホバの事跡をみよ ヱホバはおほくの懼るべきことを地になしたまへり
Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
9 ヱホバは地のはてまでも戰闘をやめしめ弓ををり戈をたち戰車を火にてやきたまふ
Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
10 汝等しづまりて我の神たるをしれ われはもろもろの國のうちに崇められ全地にあがめらるべし
“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
11 萬軍のヱホバはわれらと偕なり ヤコブの神はわれらの高きやぐらなり (セラ)
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.