< 詩篇 36 >
1 あしきものの愆はわが心のうちにかたりて その目のまへに神をおそるるの畏あることなしといふ
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 かれはおのが邪曲のあらはるることなく憎まるることなからんとて自からその目にて謟る
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 その口のことばは邪曲と虚偽となり智をこばみ善をおこなふことを息たり
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 かつその寝床にてよこしまなる事をはかり よからぬ途にたちとまりて惡をきらはず
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 ヱホバよなんぢの仁慈は天にあり なんぢの眞實は雲にまでおよぶ
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 汝のただしきは神の山のごとく なんぢの審判はおほいなる淵なり ヱホバよなんぢは人とけものとを護りたまふ
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 神よなんぢの仁慈はたふときかな 人の子はなんぢの翼の蔭にさけどころを得
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 なんぢの屋のゆたかなるによりてことごとく飽ことをえん なんぢはその歓樂のかはの水をかれらに飮しめたまはん
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 そはいのちの泉はなんぢに在り われらはなんぢの光によりて光をみん
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 ねがはくはなんぢを知るものにたえず憐憫をほどこし心なほき者にたえず正義をほどこしたまへ
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 たかぶるものの足われをふみ惡きものの手われを逐去ふをゆるし給ふなかれ
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 邪曲をおこなふ者はかしこに仆れたり かれら打伏られてまた起ことあたはざるべし
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.