< 詩篇 29 >
1 なんぢら神の子らよ ヱホバに獻げまつれ榮と能とをヱホバにささげまつれ
Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
2 その名にふさはしき榮光をヱホバにささげ奉れ きよき衣をつけてヱホバを拝みまつれ
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
3 ヱホバのみこゑは水のうへにあり えいくわうの神は雷をとどろかせたまふ ヱホバは大水のうへにいませり
Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
4 ヱホバの聲はちからあり ヱホバのみこゑは稜威あり
Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
5 ヱホバのみこゑは香柏ををりくだく ヱホバ、レバノンのかうはくを折くだきたまふ
Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
6 これを犢のごとくをどらせレバノンとシリオンとをわかき野牛のごとくをどらせたまふ
Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
8 ヱホバのみこゑは野をふるはせヱホバはカデシの野をふるはせたまふ
Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
9 ヱホバのみこゑは鹿に子をうませ また林木をはだかにす その宮にあるすべてのもの呼はりて榮光なるかなといふ
Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
10 ヱホバは洪水のうへに坐したまへり ヱホバは寳座にざして永遠に王なり
Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
11 ヱホバはその民にちからをあたへたまふ 平安をもてその民をさきはひたまはん
Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.