< 詩篇 16 >
1 神よねがはくは我を護りたまへ 我なんぢに依賴む
Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
2 われヱホバにいへらくなんぢはわが主なり なんぢのほかにわが福祉はなしと
Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
3 地にある聖徒はわが極めてよろこぶ勝れしものなり
Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
4 ヱホバにかへて他神をとるものの悲哀はいやまさん 我かれらがささぐる血の御酒をそそがず その名を口にとなふることをせじ
Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
5 ヱホバはわが嗣業またわが酒杯にうくべき有なり なんぢはわが所領をまもりたまはん
Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
6 準繩はわがために樂しき地におちたり 宜われよき嗣業をえたるかな
Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
7 われは訓諭をさづけたまふヱホバをほめまつらん 夜はわが心われををしふ
Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
8 われ常にヱホバをわが前におけり ヱホバわが右にいませばわれ動かさるることなかるべし
Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
9 このゆゑにわが心はたのしみ わが榮はよろこぶ わが身もまた平安にをらん
Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
10 そは汝わがたましひを陰府にすておきたまはず なんぢの聖者を墓のなかに朽しめたまはざる可ればなり (Sheol )
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol )
11 なんぢ生命の道をわれに示したまはん なんぢの前には充足るよろこびあり なんぢの右にはもろもろの快樂とこしへにあり
Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”