< 詩篇 16 >

1 神よねがはくは我を護りたまへ 我なんぢに依賴む
Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
2 われヱホバにいへらくなんぢはわが主なり なんぢのほかにわが福祉はなしと
Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
3 地にある聖徒はわが極めてよろこぶ勝れしものなり
Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
4 ヱホバにかへて他神をとるものの悲哀はいやまさん 我かれらがささぐる血の御酒をそそがず その名を口にとなふることをせじ
Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
5 ヱホバはわが嗣業またわが酒杯にうくべき有なり なんぢはわが所領をまもりたまはん
Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
6 準繩はわがために樂しき地におちたり 宜われよき嗣業をえたるかな
Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
7 われは訓諭をさづけたまふヱホバをほめまつらん 夜はわが心われををしふ
Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
8 われ常にヱホバをわが前におけり ヱホバわが右にいませばわれ動かさるることなかるべし
Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
9 このゆゑにわが心はたのしみ わが榮はよろこぶ わが身もまた平安にをらん
Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
10 そは汝わがたましひを陰府にすておきたまはず なんぢの聖者を墓のなかに朽しめたまはざる可ればなり (Sheol h7585)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
11 なんぢ生命の道をわれに示したまはん なんぢの前には充足るよろこびあり なんぢの右にはもろもろの快樂とこしへにあり
Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”

< 詩篇 16 >