< 詩篇 147 >

1 ヱホバをほめたたへよ われらの神をほめうたふは善ことなり樂しきことなり 稱へまつるはよろしきに適へり
Msifuni Yahwe, kwa maana ni vyema kumwimbia sifa Mungu wetu, ni kuzuri, kusifu kwa faa sana.
2 ヱホバはヱルサレムをきづきイスラエルのさすらへる者をあつめたまふ
Yahwe huijenga tena Yerusalemu, huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanyika.
3 ヱホバは心のくだけたるものを醫しその傷をつつみたまふ
Huponya mioyo iliyopondeka na kuganga majeraha yao.
4 ヱホバはもろもろの星の數をかぞへてすべてこれに名をあたへたまふ
Huzihesabu nyota, naye huzipa majina zote.
5 われらの主はおほいなりその能力もまた大なりその智慧はきはまりなし
Ukuu ni wa Bwana wetu na nguvu zake ni za kutisha, ufahamu wake hauwezi kupimika.
6 ヱホバは柔和なるものをささへ惡きものを地にひきおとし給ふ
Yahwe huwainua wanyonge, huwashusha chini wenye jeuri.
7 ヱホバに感謝してうたへ琴にあはせてわれらの神をほめうたヘ
Mwimbieni Yahwe kwa shukurani, mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi.
8 ヱホバは雲をもて天をおほひ地のために雨をそなへ もろもろの山に草をはえしめ
Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
9 くひものを獣にあたへ並なく小鴉にあたへたまふ
Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
10 ヱホバは馬のちからを喜びたまはず 人の足をよみしたまはず
Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11 ヱホバはおのれを畏るるものと おのれの憐憫をのぞむものとを好したまふ
Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
12 ヱルサレムよヱホバをほめたたへよ シオンよなんぢの神をほめたたへよ
Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
13 ヱホバはなんぢの門の關木をかたうし 汝のうちなる子輩をさきはひ給ひたればなり
Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
14 ヱホバは汝のすべての境にやはらぎをあたへ いと嘉麥をもて汝をあかしめたまふ
Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.
15 ヱホバはそのいましめを地にくだしたまふ その聖言はいとすみやかにはしる
Huipeleka amri yake juu ya nchi, amri zake hupiga mbio sana.
16 ヱホバは雪をひつじの毛のごとくふらせ霜を灰のごとくにまきたまふ
Huifanya theluji kama sufu, huitawanya barafu kama majivu.
17 ヱホバは氷をつちくれのごとくに擲ちたまふ たれかその寒冷にたふることをえんや
Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
18 ヱホバ聖言をくだしてこれを消し その風をふかしめたまへばもろもろの水はながる
Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
19 ヱホバはそのみことばをヤコブに示し そのもろもろの律法とその審判とをイスラエルにしめしたまふ
Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.
20 ヱホバはいづれの國をも如此あしらひたまひしにあらず ヱホバのもろもろの審判をかれらはしらざるなり ヱホバをほめたたへよ
Hajafanya hivyo kwa taifa linginelo lolote, na kama ilivyo amri zake, hawazijui. Msifuni Yahwe.

< 詩篇 147 >