< 詩篇 129 >
1 今イスラエルはいふべし彼等はしばしば我をわかきときより惱めたり
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2 かれらはしばしば我をわかきときより惱めたり されどわれに勝ことを得ざりき
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
3 耕すものはわが背をたがへしてその畎をながくせり
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
5 シオンをにくむ者はみな恥をおびてしりぞかせらるべし
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
7 これを刈るものはその手にみたず 之をつかぬるものはその束ふところに盈ざるなり
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8 かたはらを過るものはヱホバの惠なんぢの上にあれといはず われらヱホバの名によりてなんぢらを祝すといはず
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”