< 詩篇 122 >

1 人われにむかひて率ヱホバのいへにゆかんといへるとき我よろこべり
Nilifurahi waliponiambia, “Na twende kwenye Nyumba ya Yahwe.”
2 ヱルサレムよわれらの足はなんぢの門のうちにたてり
Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama ndani ya malango yako!
3 ヱルサレムよなんぢは稠くつらなりたる邑のごとく固くたてり
Ee Yerusalemu, uliojengwa kama mji uliopangiliwa kwa umakini!
4 もろもろのやから即ちヤハの支派かしこに上りきたり イスラエルにむかひて證詞をなし またヱホバの名にかんしやをなす
Makabila huenda juu Yerusalemu, makabila ya Yahwe; kama ushuhuda wa Israeli, kulishukuru jina la Yahwe.
5 彼處にさばきの寳座まうけらる これダビデの家のみくらなり
Huko viliwekwa viti vya hukumu, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
6 ヱルサレムのために平安をいのれ ヱルサレムを愛するものは榮ゆべし
Ombeni kwa ajili ya amani ya Yerusalemu! “Wote wakupendao wawe na amani.
7 ねがはくはなんぢの石垣のうちに平安あり なんぢの諸殿のうちに福祉あらんことを
Amani iwepo ndani ya kuta zako ili ikutetee, na wawe na amani ndani ya ngome zako.”
8 わが兄弟のためわが侶のために われ今なんぢのなかに平安あれといはん
Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu nitasema, “Amani iwe ndani yenu.”
9 われらの神ヱホバのいへのために我なんぢの福祉をもとめん
Kwa ajili ya Yahwe Mungu wetu, nitatafuta mema kwa ajili yako.

< 詩篇 122 >