< 詩篇 119 >

1 おのが道をなほくしてヱホバの律法をあゆむ者はさいはひなり
Wamebarikiwa wale ambao njia zao hazina lawama, waenendao katika sheria ya Yahwe.
2 ヱホバのもろもろの證詞をまもり 心をつくしてヱホバを尋求むるものは福ひなり
Wamebarikiwa wale wazishikao amri zake thabiti, wamtafutao kwa moyo wao wote.
3 かかる人は不義をおこなはずしてヱホバの道をあゆむなり
Hawatendi makosa; wanaenenda katika njia zake.
4 ヱホバよなんぢ訓諭をわれらに命じてねんごろに守らせたまふ
Wewe umetuamuru kuyashika maagizo yako ili tuyachunguze kwa umakini.
5 なんぢわが道をかたくたててその律法をまもらせたまはんことを
Oh, ningependa njia zangu ziwe thabiti nizitii amri zako!
6 われ汝のもろもろの誡命にこころをとむるときは恥ることあらじ
Ndipo sitaaibika nizifikiripo amri zako zote.
7 われ汝のただしき審判をまなばば 直き心をもてなんぢに感謝せん
Nitakushukuru wewe kwa unyofu wangu wa moyo nijifunzapo amri za haki yako.
8 われは律法をまもらん われを棄はてたまふなかれ
Nitazitii amri zako; usiniache peke yangu. BETH.
9 わかき人はなにによりてかその道をきよめん 聖言にしたがひて愼むのほかぞなき
Ni jinsi gani kijana aweza kuendelea kuishi katika njia yake ya utakatifu? Ni kwa kulitii neno lako.
10 われ心をつくして汝をたづねもとめたり 願くはなんぢの誡命より迷ひいださしめ給ふなかれ
Kwa moyo wangu wote ninakutafuta wewe; Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
11 われ汝にむかひて罪ををかすまじき爲になんぢの言をわが心のうちに蔵へたり
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako ili nisije nikakutenda dhambi.
12 讃べきかなヱホバよねがはくは律法をわれに敎へたまへ
Umetukuka, Yahwe; unifundishe amri zako.
13 われわが口唇をもてなんぢの口よりいでしもろもろの審判をのべつたへたり
Kwa kinywa changu nimetangaza amri ya haki yako yote ambayo umeifunua.
14 我もろもろの財貨をよろこぶごとくに汝のあかしの道をよろこべり
Ninafurahi katika njia ya amri za agano lako zaidi kuliko katika utajiri.
15 我なんぢの訓諭をおもひ汝のみちに心をとめん
Nitayatafakari maagizo yako na kuzitilia maanani njia zako.
16 われは律法をよろこび聖言をわするることなからん
Ninafurahia katika amri zako; sitalisahau neno lako. GIMEL.
17 ねがはくは汝のしもべを豊にあしらひて存へしめたまへ さらばわれ聖言をまもらん
Uwe mwema kwa mtumishi wako ili niweze kuishi na kulishika neno lako.
18 なんぢわが眼をひらき なんぢの法のうちなる奇しきことを我にみせたまへ
Ufungue macho yangu ili niweze kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.
19 われは世にある旅客なり 我になんぢの誡命をかくしたまふなかれ
Mimi ni mgeni katika nchi; usizifiche amri zako mbali nami.
20 斷るときなくなんぢの審判をしたふが故にわが霊魂はくだくるなり
Moyo wangu unauma kwa kutamani sana kuzijua amri zako za haki wakati wote.
21 汝はたかぶる者をせめたまへり なんぢの誡命よりまよひづる者はのろはる
Wewe huwakemea wenye kiburi, waliolaaniwa, wanao tanga-tanga mbali na amri zako.
22 我なんぢの證詞をまもりたり 我より謗とあなどりとを取去たまへ
Uniokoe dhidi ya aibu na udhalilishaji, maana nimezitii amri za agano lako.
23 又もろもろの侯は坐して相語りわれをそこなはんとせり 然はあれど汝のしもべは律法をふかく思へり
Ingawa watawala wanapanga njama na kunikashfu, mtumishi wako huzitafakali amri zako.
24 汝のもろもろの證詞はわれをよろこばせわれをさとす者なり
Amri za agano lako ni furaha yangu, na washauri wangu. DALETH.
25 わが霊魂は塵につきぬ なんぢの言にしたがひて我をいかしたまへ
Uhai wangu unashikamana na mavumbi! nipe uhai kwa neno lako.
26 我わがふめる道をあらはししかば汝こたへを我になしたまへり なんぢの律法をわれに敎へたまへ
Nilikuambia mapito yangu, na ulinijibu; nifundishe sheria zako.
27 なんぢの訓諭のみちを我にわきまへしめたまへ われ汝のくすしき事跡をふかく思はん
Unifahamishe njia ya maagizo yako, ili niweze kutafakari juu ya mafundisho yako ya ajabu.
28 わがたましひ痛めるによりてとけゆく ねがはくは聖言にしたがひて我にちからを予へたまへ
Nimelemewa na huzuni! Nitie nguvu kwa neno lako.
29 願くはいつはりの道をわれより遠ざけ なんぢの法をもて我をめぐみたまへ
Uiondoe kwangu njia ya udanganyifu; kwa wema wako unifundishe sheria yako.
30 われは眞實のみちをえらび 恒になんぢのもろもろの審判をわが前におけり
Nimechagua njia ya uaminifu; siku zote nimeweka amri za haki yako mbele yangu.
31 我なんぢの證詞をしたひて離れず ヱホバよねがはくは我をはづかしめ給ふなかれ
Ninashikamana na amri za agano lako; Yahwe, usiniache niaibike.
32 われ汝のいましめの道をはしらん その時なんぢわが心をひろく爲たまふべし
Nitakimbia katika njia ya amri zako, kwa sababu wausukuma moyo wangu kufanya hivyo. HE
33 ヱホバよ願くはなんぢの律法のみちを我にをしへたまへ われ終にいたるまで之をまもらん
Unifundishe, Yahwe, njia za sheria yako, nami nitazishika hadi mwisho.
34 われに智慧をあたへ給へ さらば我なんぢの法をまもり心をつくして之にしたがはん
Unipe uelewa, nami nitazishika sheria zako; nitazitii kwa moyo wangu wote.
35 われに汝のいましめの道をふましめたまへ われその道をたのしめばなり
Uniongoze katika njia ya amri zako, maana ninafurahi kuenenda katika hizo.
36 わが心をなんぢの證詞にかたぶかしめて 貪利にかたぶかしめ給ふなかれ
Uelekeze moyo wangu kuzielekea amari za agano lako na uniweke mbali na matendo yasiyo haki tena.
37 わが眼をほかにむけて虚しきことを見ざらしめ 我をなんぢの途にて活し給へ
Uyageuze macho yangu dhidi ya kutazama mambo yasiyofaa; unihuishe katika njia zako.
38 ひたすらに汝をおそるる汝のしもべに 聖言をかたくしたまへ
Umtendee mtumishi wako ahadi ambayo uliifanya kwa wale wanaokuheshimu wewe.
39 わがおそるる謗をのぞきたまへ そはなんぢの審判はきはめて善し
Uniondolee shutumu niiogopayo, maana hukumu zako za haki ni njema.
40 我なんぢの訓諭をしたへり 願くはなんぢの義をもて我をいかしたまへ
Tazama, nimeyatamani maagizo yako; unihuishe katika haki yako. VAV.
41 ヱホバよ聖言にしたがひてなんぢの憐憫なんぢの拯救を我にのぞませたまへ
Ee Yahwe, unipe upendo wako usiokwisha na wokovu wako kulingana na ahadi yako;
42 さらば我われを謗るものに答ふることをえん われ聖言によりたのめばなり
ndipo nitakuwa na jibu kwa ajili ya yule anayenidhihaki.
43 又わが口より眞理のことばをことごとく除き給ふなかれ われなんぢの審判をのぞみたればなり
Usiliondoe neno la kweli mdomoni mwangu, maana nimesubiri kwa ajili ya amri zako za haki.
44 われたえずいや永久になんぢの法をまもらん
Nitazitii sheria zako siku zote, milele na milele.
45 われなんぢの訓諭をもとめたるにより障なくしてあゆまん
Nitaenenda salama, maana ninayatafuta maagizo yako.
46 われまた王たちの前になんぢの證詞をかたりて恥ることあらじ
Nitazinena amri zako thabiti mbele ya wafalme nami sitaaibika.
47 我わが愛するなんぢの誡命をもて己をたのしましめん
Ninafurahia katika amri zako, nizipendazo sana.
48 われ手をわがあいする汝のいましめに擧げ なんぢの律法をふかく思はん
Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49 ねがはくは汝のしもべに宣ひたる聖言をおもひいだしたまへ 汝われに之をのぞましめ給へり
Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50 なんぢの聖言はわれを活ししがゆゑに 今もなほわが艱難のときの安慰なり
Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.
51 高ぶる者おほいに我をあざわらへり されど我なんぢの法をはなれざりき
Wenye kiburi wamenicheka, lakini sijaiacha sheria yako.
52 ヱホバよわれ汝がふるき往昔よりの審判をおもひいだして自から慰めたり
Nimezitafakari amri zako za haki tangu zamani, Yahwe, nami ninajifariji mwenyewe.
53 なんぢの法をすつる惡者のゆゑによりて 我はげしき怒をおこしたり
Hasira kali imenishikilia kwa sababu ya waovu wanaoikataa sheria yako.
54 なんぢの律法はわが旅の家にてわが歌となれり
Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu katika nyumba ninayoishi kwa muda.
55 ヱホバよわれ夜間になんぢの名をおもひいだして なんぢの法をまもれり
Ninalifikiria jina lako wakati wa usiku, Yahwe, na kuzishika sheria zako.
56 われ汝のさとしを守りしによりてこの事をえたるなり
Hili limekuwa zoezi langu kwa sababu nimeyatii maagizo yako. HETH.
57 ヱホバはわがうくべき有なり われ汝のもろもろの言をまもらんといへり
Yahwe ni sehemu yangu; nimeamua kuyatii maneno yake.
58 われ心をつくして汝のめぐみを請求めたり ねがはくは聖言にしたがひて我をあはれみたまへ
Kwa bidii ninaomba neema yako kwa moyo wangu wote; unihurumie, kama neno lako lilivyo ahidi.
59 我わがすべての途をおもひ 足をかへしてなんぢの證詞にむけたり
Nilizichunguza njia zangu na kugeuzia miguu yangu kwenye amri za agano lako.
60 我なんぢの誡命をまもるに速けくしてたゆたはざりき
Naharakisha na sichelewi kuzishika amri zako.
61 惡きものの繩われに纏ひたれども 我なんぢの法をわすれざりき
Kamba za waovu zimenifunga; nami sijaisahau sheria yako.
62 我なんぢのただしき審判のゆゑに 夜半におきてなんぢに感謝せん
Katikati ya usiku ninaamka kukushukuru wewe kwa sababu ya amri za haki yako.
63 われは汝をおそるる者 またなんぢの訓諭をまもるものの侶なり
Ninaurafiki na wale wanao kuabudu wewe, wale wote watiio maagizo yako.
64 ヱホバよ汝のあはれみは地にみちたり 願くはなんぢの律法をわれにをしへたまへ
Yahwe, nchi, imejaa uaminifu wa agano lako; unifundishe sheria zako. TETH.
65 ヱホバよなんぢ聖言にしたがひ惠をもてその僕をあしらひたまへり
Wewe umemtendea mema mtumishi wako, Yahwe, sawasawa na neno lako.
66 われ汝のいましめを信ず ねがはくはわれに聡明と智識とををしへたまへ
Unifundishe utambuzi sahihi na uelewa, kwa kuwa nimeamini katika amri zako.
67 われ苦しまざる前にはまよひいでぬ されど今はわれ聖言をまもる
Kabla sijateswa nilipotea, lakini sasa nimelitii neno lako.
68 なんぢは善にして善をおこなひたまふ ねがはくは汝のおきてを我にをしへたまへ
Wewe ni mwema, na ndiye yule utendaye mema; unifundishe sheria zako.
69 高ぶるもの虚偽をくはだてて我にさからへり われ心をつくしてなんぢの訓諭をまもらん
Wenye kiburi wamenichafua kwa uongo, lakini niliyashika maagizo yako kwa moyo wangu wote.
70 かれらの心はこえふとりて脂のごとし されど我はなんぢの法をたのしむ
Mioyo yao ni migumu, lakini ninafurahia katika sheria yako.
71 困苦にあひたりしは我によきことなり 此によりて我なんぢの律法をまなびえたり
Ni vizuri kwangu kuwa nimeteseka ili niweze kujifunza sheria zako.
72 なんぢの口の法はわがためには千々のこがね白銀にもまされり
Maagizo yatokayo kinywani mwako ni ya thamani zaidi kwangu kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha. YOD.
73 なんぢの手はわれを造りわれを形づくれり ねがはくは智慧をあたへて我になんぢの誡命をまなばしめたまへ
Mikono yako imeniumba na kunitengeneza; unipe uelewa ili niweze kujifunza amri zako.
74 なんぢを畏るるものは我をみて喜ばん われ聖言によりて望をいたきたればなり
Wale wanao kucha wewe watafurahi wanionapo kwa sababu ninapata tumaini katika neno lako.
75 ヱホバよ我はなんぢの審判のただしく又なんぢが眞實をもて我をくるしめたまひしを知る
Ninajua, Yahwe, kuwa amri zako ni za haki, na kuwa katika uaminifu ulinitesa.
76 ねがはくは汝のしもべに宣ひたる聖言にしたがひて 汝の仁慈をわが安慰となしたまへ
Agano lako aminifu na linifariji, kama ulivyomwahidi mtumishi wako.
77 なんぢの憐憫をわれに臨ませたまへ さらばわれ生ん なんぢの法はわが樂しめるところなり
Unihurumie ili niweze kuishi, kwa maana sheria yako ni furaha yangu.
78 高ぶるものに恥をかうぷらせたまへ かれらは虚偽をもて我をくつがへしたればなり されど我なんぢの訓諭をふかくおもはん
Wenye kiburi na waaibishwe, maana wamenitukana; bali mimi nitayatafakari maagizo yako.
79 汝をおそるる者となんぢの證詞をしるものとを我にかへらしめたまへ
Wale wote wanao kucha wewe na wanigeukie, wale wazijuao amri za agano lako.
80 わがこころを全くして汝のおきてを守らしめたまへ さらばわれ恥をかうぶらじ
Moyo wangu uwe mkamilifu pamoja na heshima kwa sheria zako ili nisiaibike. KAPH.
81 わが霊魂はなんぢの救をしたひてたえいるばかりなり 然どわれなほ聖言によりて望をいだく
Ninazimia kwa kutamani sana kuwa wewe unaweza kuniokoa! Ninamatumaini katika neno lako.
82 なんぢ何のとき我をなぐさむるやといひつつ 我みことばを慕ふによりて眼おとろふ
Macho yangu yanatamani sana kuiona ahadi yako; ni lini utanifariji mimi?
83 我は煙のなかの革嚢のごとくなりぬれども 尚なんぢの律法をわすれず
Kwa maana nimekuwa kama kiriba katika moshi; sisahau sheria zako.
84 汝のしもべの日は幾何ありや 汝いづれのとき我をせむるものに審判をおこなひたまふや
Ni kwa muda gani gani mtumishi wako atalazimika kuyavumilia haya; ni lini utawahukumu wale wanaonitesa?
85 たかぶる者われを害はんとて阱をほれり かれらはなんぢの法にしたがはず
Wenye kiburi wamenichimbia shimo, wasiotii sheria yako.
86 なんぢの誡命はみな眞實なり かれらは虚偽をもて我をせむ ねがはくは我をたすけたまへ
Amri zako zote ni za kuaminika; wale watu walinitesa bila ya haki; unisaidie.
87 かれらは地にてほとんど我をほろぼせり されど我はなんぢの訓諭をすてざりき
karibu kunifanya nifikie mwisho juu ya nchi hii, lakini siyakatai maagizo yako.
88 願くはなんぢの仁慈にしたがひて我をいかしたまへ 然ばわれ御口よりいづる證詞をまもらん
Kwa upendo wako thabiti, uniweke hai, ili niweze kuzitii amri zako. LAMEDH.
89 ヱホバよみことばは天にてとこしえに定まり
Yahwe, neno lako linasimama milele; neno lako limefanywa imara mbinguni.
90 なんぢの眞實はよろづ世におよぶ なんぢ地をかたく立たまへば地はつねにあり
Uaminifu wako wadumu kwa ajili ya vizazi vyote; umeiimarisha nchi, nayo inadumu.
91 これらのものはなんぢの命令にしたがひ 恒にありて今日にいたる 萬のものは皆なんぢの僕なればなり
Vitu yote yaliendelea mpaka leo hii, kama vile ulivyosema katika amri zako za haki, maana vitu vyote ni watumishi wako.
92 なんぢの法わがたのしみとならざりしならば我はつひに患難のうちに滅びたるならん
Kama sheria yako isingekuwa furaha yangu, ningeangamia katika mateso yangu.
93 われ恒になんぢの訓諭をわすれじ 汝これをもて我をいかしたまへばなり
Sitayasahau kamwe maagizo yako, maana kupitia hayo umeniweka hai.
94 我はなんぢの有なりねがはくは我をすくひたまへ われ汝のさとしを求めたり
Mimi ni wako, kwa maana ninayatafuta maagizo yao.
95 惡きものは我をほろぼさんとして窺ひぬ われは唯なんぢのもろもろの證詞をおもはん
Waovu hujiandaa kuniangamiza, lakini nitatafuta kuzielewa amri za agano lako.
96 我もろもろの純全に限あるをみたり されど汝のいましめはいと廣し
Nimeona kuwa kila kitu kina mipaka, lakini amri zako ni pana, zaidi ya mipaka. MEM.
97 われなんぢの法をいつくしむこといかばかりぞや われ終日これを深くおもふ
Oh ni jinsi gani naipenda sheria yako! Ni tafakari yangu mchana kutwa.
98 なんぢの誡命はつねに我とともにありて 我をわが仇にまさりて慧からしむ
Amri zako hunifanya mwenye hekima kuliko adui zangu, maana amri zako siku zote ziko pamoja nami.
99 我はなんぢの證詞をふかくおもふが故に わがすべての師にまさりて智慧おほし
Ninauelewa zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa maana ninazitafakari amri za agano lako.
100 我はなんぢの訓諭をまもるがゆゑに 老たる者にまさりて事をわきまふるなり
Ninaelewa kuliko wale wanaonizidi umri; hii ni kwa sababu nimeyashika maagizo yako.
101 われ聖言をまもらんために わが足をとどめてもろもろのあしき途にゆかしめず
Nimeiepusha miguu yangu na kila njia ya uovu ili niweze kulitii neno lako.
102 なんぢ我ををしへたまひしによりて 我なんぢの審判をはなれざりき
Sijaenda kinyume na amri zako za haki, kwa maana wewe umenifundisha.
103 みことばの滋味はわが腭にあまきこといかばかりぞや 蜜のわが口に甘きにまされり
Ni jinsi gani maneno yako ni matamu kwenye majaribu yangu, naam, matamu kuliko asali kinywani mwangu!
104 我なんぢの訓諭によりて智慧をえたり このゆゑに虚偽のすべての途をにくむ
Kupitia maagizo yako ninapata utambuzi; kwa hiyo kila njia isiyo ya kweli.
105 なんぢの聖言はわがあしの燈火わが路のひかりなり
Neno lako ni taa ya mguu miguu yangu na mwanga wa njia yangu.
106 われなんぢのただしき審判をまもらんことをちかひ且かたくせり
Nimeapa na nimethibitisha, kuwa nitazitii amri za haki yako.
107 われ甚いたく苦しめり ヱホバよねがはくは聖言にしたがひて我をいかしたまヘ
Nimeteswa sana; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika neno lako.
108 ヱホバよねがはくは誠意よりするわが口の献物をうけて なんぢの審判ををしへたまへ
Yahwe, tafadhali pokea dhabihu yangu ya hiari ya kinywa changu, na unifundishe amri zako za haki.
109 わが霊魂はつねに危険ををかす されど我なんぢの法をわすれず
Uhai wangu ziku zote uko mkononi mwangu, lakini bado sisahau sheria yako.
110 あしき者わがために羂をまうけたり されどわれ汝のさとしより迷ひいでざりき
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijapotea mbali na maagizo yako.
111 われ汝のもろもろの證詞をとこしへにわが嗣業とせり これらの證詞はわが心をよろこばしむ
Nimezifanya amri za agano lako kama urithi wangu milele, maana hizo ni furaha ya moyo wangu.
112 われ汝のおきてを終までとこしへに守らんとて之にこころを傾けたり
Moyo wangu umewekwa kuzitii sheria zako milele mpaka mwisho kabisa. SAMEKH.
113 われ二心のものをにくみ汝のおきてを愛しむ
Ninawachukia watu wa kusita-sita, lakini naipenda sheria yako.
114 なんぢはわが匿るべき所わが盾なり われ聖言によりて望をいだく
Wewe ni ficho langu na ngao yangu; nalingoja neno lako.
115 惡きをなすものよ我をはなれされ われわが神のいましめを守らん
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao uovu, ili niweze kuzitii amri za Mungu wangu.
116 聖言にしたがひ我をささへて生存しめたまへ わが望につきて恥なからしめたまへ
Uniwezeshe kwa neno lako ili niweze kuishi na nisiaibike na matumaini yangu.
117 われを支へたまへ さらばわれ安けかるべし われ恒になんぢの律法にこころをそそがん
Unisaidie, nami nitakuwa salama; siki zote nitazitafakari sheria zako.
118 すべて律法よりまよひいづるものを汝かろしめたまへり かれらの欺詐はむなしければなり
Wewe huwakataa wale wote wapoteao mbali na sheria zako, maana watu hao ni wadanganyifu na si wakuaminika.
119 なんぢは地のすべての惡きものを渣滓のごとく除きさりたまふ この故にわれ汝のあかしを愛す
Wewe huwaondoa waovu wa nchi kama takataka; kwa hiyo ninazipenda amri zako thabiti.
120 わが肉體なんぢを懼るるによりてふるふ 我はなんぢの審判をおそる
Mwili wangu hutetemeka kwa hofu yako, na ninaziogopa amri za haki yako. AYIN.
121 われは審判と公義とをおこなふ 我をすてて虐ぐるものに委ねたまふなかれ
Ninafanya kilicho sahihi na haki; usiniache kwa watesi wangu.
122 汝のしもべの中保となりて福祉をえしめたまへ 高ぶるものの我をしへたぐるを容したまふなかれ
Uwe mdhamini wa ustawi wa mtumishi wako; usiwaache wenye kiburi wanionee.
123 わが眼はなんぢの救となんぢのただしき聖言とをしたふによりておとろふ
Macho yangu yanachoka kwa kuusubiri wokovu wako na neno lako la haki.
124 ねがはくはなんぢの憐憫にしたがひてなんぢの僕をあしらひ 我になんぢの律法ををしへたまへ
Mwoneshe mtumishi wako uaminifu wa agano lako, na unifundishe sheria zako.
125 我はなんぢの僕なり われに智慧をあたへてなんぢの證詞をしらしめたまへ
Mimi ni mtumishi wako; unipe uelewa ili niweze kuzijua amri za agano lako.
126 彼等はなんぢの法をすてたり 今はヱホバのはたらきたまふべき時なり
Ni wakati wa Yahwe kutenda, kwa maana watu wamevunja sheria yako.
127 この故にわれ金よりもまじりなき金よりもまさりて汝のいましめを愛す
Hakika ninazipenda amri zako kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi.
128 この故にもろもろのことに係るなんぢの一切のさとしを正しとおもふ 我すべてのいつはりの途をにくむ
Hivyo ninayafuata maagizo yako yote kwa makini, na ninachukia kila njia ya uongo. PE.
129 汝のあかしは妙なり かかるが故にわが霊魂これをまもる
Sheria zako ni za ajabu, ndiyo sababu ninazitii.
130 聖言うちひらくれば光をはなちて 愚かなるものをさとからしむ
Ufafanuzi wa maneno yako huleta nuru; na kumpa ufahamu mjinga.
131 我なんぢの誡命をしたふが故に わが口をひろくあけて喘ぎもとめたり
Ninafungua kinywa changu na kutweta, maana ninazitamani amri zako.
132 ねがはくは聖名を愛するものに恒になしたまふごとく身をかへして我をあはれみたまへ
Unigeukie na unihurumie, kama ufanyavyo siku zote kwa wale walipendao jina lako.
133 聖言をもてわが歩履をととのへ もろもろの邪曲をわれに主たらしめたまふなかれ
Uziongoze hatua zangu kwa neno lako; usiruhusu dhambi yeyote initawale.
134 われを人のしへたげより贖ひたまへ さらばわれ訓諭をまもらん
Unikomboe dhidi ya wanadamu waonevu ili niyatii maagizo yako.
135 ねがはくは聖顔をなんぢの僕のうへにてらし 汝のおきてを我にをしへ給へ
Uso wako umwangazie mtumishi wako, na unifundishe sheria zako.
136 人なんぢの法をまもらざるによりて わが眼のなみだ河のごとくに流る
Mito ya machozi yatiririka kutoka machoni pangu kwa sababu watu hawaitii sheria yako. TSADHE.
137 ヱホバよなんぢは義しくなんぢの審判はなほし
Wewe ni mwenye haki, Yahwe, na amri zako ni haki.
138 汝ただしきと此上なき眞實とをもて その證詞を命じ給へり
Umezipa amri za agano lako haki na uaminifu.
139 わが敵なんぢの聖言をわすれたるをもて わが熱心われをほろぼせり
Hasira imeniangamiza kwa sababu adui zangu husahau maneno yako.
140 なんぢの聖言はいときよし 此故になんぢの僕はこれを愛す
Neno lako limepimwa sana, naye mtumishi wako analipenda.
141 われは微なるものにて人にあなどらるれども汝のさとしを忘れず
Sina umuhimu na ninadharauliwa, lakini bado siyasahau maagizo yako.
142 なんぢの義はとこしへの義なり汝ののりは眞理なり
Hukumu yako ni ya haki milele, na sheria yako ni ya kuaminika.
143 われ患難と憂とにかかれども 汝のいましめはわが喜樂なり
Japo dhiki na taabu vimenipata, amri zako bado ni furaha yangu.
144 なんぢの證詞はとこしへに義し ねがはくはわれに智慧をたまへ 我ながらふることを得ん
Amri za agano lako ni za haki milele; unipe uelewa ili niweze kuishi. QOPH.
145 われ心をつくしてよばはれり ヱホバよ我にこたへたまへ 我なんぢの律法をまもらん
Nililia kwa moyo wangu wote, “Unijibu, Yahwe, nitazishika sheria zako.
146 われ汝をよばはれり ねがはくはわれを救ひ給へ 我なんぢの證詞をまもらん
Ninakuita wewe; uniokoe, nami nitazitii amri za agano lako.”
147 われ詰朝おきいでて呼はれり われ聖言によりて望をいだけり
NInaamka asubuhi kabla jua halijachomoza na kulia kwa ajili ya msaada.
148 夜の更のきたらぬに先だち わが眼はさめて汝のみことばを深くおもふ
Ninatumaini katika maneno yako. Macho yangu yako wazi usiku kucha ili niweze kutafakari juu ya neno lako.
149 ねがはくはなんぢの仁慈にしたがひてわが聲をききたまへ ヱホバよなんぢの審判にしたがひて我をいかしたまへ
Sikia sauti yangu katika uaminifu wa agano lako; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika amri zako za haki.
150 惡をおひもとむるものは我にちかづけり 彼等はなんぢの法にとほくはなる
Wale wanaonitesa wananikaribia, lakini wako mbali na sheria yako.
151 ヱホバよ汝はわれに近くましませり なんぢのすべての誡命はまことなり
Wewe uko karibu, Yahwe, na amri zako ni za kuaminika.
152 われ早くよりなんぢの證詞によりて汝がこれを永遠にたてたまへることを知れり
Muda mrefu uliopita nilijifunza kutoka katika amri za agano lako ulizoziweka katika mahali pa milele. RESH.
153 ねがはくはわが患難をみて我をすくひたまへ 我なんぢの法をわすれざればなり
Uyatazame mateso yangu na unisaidie, maana siisahau sheria yako.
154 ねがはくはわが訟をあげつらひて我をあがなひ 聖言にしたがひて我をいかしたまへ
Unitetee na kunikomboa; unihifadhi, kama ulivyo ahidi katika neno lako.
155 すくひは惡きものより遠くはなる かれらはなんぢの律法をもとめざればなり
Wokovu uko mbali na waovu, maana hawazipendi amri zako.
156 ヱホバよなんぢの憐憫はおほいなり 願くはなんぢの審判にしたがひて我をいかしたまへ
Matendo yako ya huruma ni makuu, Yahwe; uniweke hai; kama ufanyavyo siku zote.
157 我をせむる者われに敵するものおほし 我なんぢの證詞をはなるることなかりき
Watesi wangu na adui zangu ni wengi, lakini bado sijaenda mbali na amri za agano lako.
158 虚偽をおこなふもの汝のみことばを守らざるにより 我かれらを見てうれへたり
Nimewaona wasaliti wakitia kinyaa kwa sababu hawalishiki neno lako.
159 ねがはくはわが汝のさとしを愛すること幾何なるをかへりみたまへ ヱホバよなんぢの仁慈にしたがひて我をいかしたまへ
Tazama jinsi niyapendavyo maagizo yako; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika uaminifu wa agano lako.
160 なんぢのみことばの總計はまことなり 汝のただしき審判はとこしへにいたるまで皆たゆることなし
Kiini cha neno lako ni kweli; kila mmoja mwenye amri za haki hudumu milele. SHIN.
161 もろもろの侯はゆゑなくして我をせむ 然どわが心はただ汝のみことばを畏る
Wakuu hunitesa bila sababu; moyo wangu hutetemeka, ukiogopa kutolitii neno lako.
162 われ人のおほいなる掠物をえたるごとくに 汝のみことばをよろこぶ
Ninalifurahia neno lako kama apataye nyara nyingi.
163 われ虚偽をにくみ之をいみきらへども 汝ののりを愛す
Ninachukia na kudharau uongo, lakini naipenda sheria yako.
164 われ汝のただしき審判のゆゑをもて 一日に七次なんぢを讃稱ふ
Mara saba kwa siku ninakusifu wewe kwa sababu ya amri zako za haki.
165 なんぢの法をあいするものには大なる平安あり かれらには躓礙をあたふる者なし
Wana amani nyingi, waipendao sheria yako; hakuna cha kuwatia mashakani.
166 ヱホバよ我なんぢの救をのぞみ汝のいましめをおこなへり
Naungoja wokovu wako, Yahwe, na ninatii amri zako.
167 わが霊魂はなんぢの證詞をまもれり 我はいたく之をあいす
Ninazishika amri zako thabiti, na ninazipenda sana.
168 われなんぢの訓諭となんぢの證詞とをまもりぬ わがすべての道はみまへにあればなり
Ninayashika maagizo yako na amri zako thabiti, kwa maana unajua kila kitu nifanyacho. TAV.
169 ヱホバよ願くはわがよぶ聲をみまへにちかづけ 聖言にしたがひて我にちゑをあたへたまへ
Sikia kilio changu, Yahwe; unipe uelewa wa neno lako.
170 わが願をみまへにいたらせ 聖言にしたがひて我をたすけたまへ
Maombi yangu yaje mbele zako; unisaidie, kama ulivyoahidi katika neno lako.
171 わがくちびるは讃美をいだすべし 汝われに律法ををしへ給へばなり
Midomo yangu na imwage sifa, maana wewe unanifundisha sheria zako.
172 わが舌はみことばを謳ふべし なんぢの一切のいましめは義なればなり
Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, maana amri zako zote ni za haki.
173 なんぢの手をつねにわが助となしたまへ われなんぢの訓諭をえらび用ゐたればなり
Mkono wako unisaidie, maana nimechagua maagizo yako.
174 ヱホバよ我なんぢの救をしたへり なんぢの法はわがたのしみなり
Ninautamani wokovu wako, Yahwe, na sheria yako ni furaha yangu.
175 願くはわが霊魂をながらへしめたまへ さらば汝をほめたたへん 汝のさばきの我をたすけんことを
Naomba niishi na nikusifu wewe, na amri zako za haki zinisaidie.
176 われは亡はれたる羊のごとく迷ひいでぬ なんぢの僕をたづねたまへ われ汝のいましめを忘れざればなり
Nimetanga-tanga kama kondoo aliyepotea; mtafute mtumishi wako, kwa maana sijazisahau amri zako.

< 詩篇 119 >