< 詩篇 114 >
1 イスラエルの民エジプトをいで ヤコブのいへ異言の民をはなれしとき
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 ユダはヱホバの聖所となりイスラエルはヱホバの所領となれり
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 山は牡羊のごとくをどり小山はこひつじのごとく躍れり
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 海よなんぢ何とてにぐるやヨルダンよなんぢ何とて後にしりぞくや
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 山よなにとて牡羊のごとくをどるや小山よなにとて小羊のごとく躍るや
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 主はいはを池にかはらせ石をいづみに變らせたまへり
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.