< 詩篇 108 >
1 神よわが心はさだまれり われ謳ひまつらん 稱まつらん わが榮をもてたたへまつらん
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 ヱホバよ我もろもろの民のなかにてなんぢに感謝し もろもろの國のなかにてなんぢをほめうたはん
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 そは汝のあはれみは大にして天のうへにあがり なんぢの眞實は雲にまでおよぶ
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 神よねがはくはみづからを天よりもたかくし榮光を全地のうへに擧たまへ
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 ねがはくは右の手をもて救をほどこし われらに答をなして愛しみたまふものに助をえしめたまへ
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 神はその聖をもていひたまへり われ甚くよろこばん我シケムをわかちスコテの谷をはからん
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 ギレアデはわがものマナセはわが有なりエフライムも亦わが首のまもりなりユダはわが杖
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 モアブはわが足盥なりエドムにはわが履をなげんペリシテよわが故によりて聲をあげよと
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 誰かわれを堅固なる邑にすすましめんや 誰かわれをみちびきてエドムにゆきしや
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 神よなんぢはわれらを棄たまひしにあらずや 神よなんぢはわれらの軍とともに出ゆきたまはず
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 ねがはくは助をわれにあたへて敵にむかはしめたまへ 人のたすけは空しければなり
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 われらは神によりて勇しくはたらかん われらの敵をふみたまふものは神なればなり
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.