< 詩篇 102 >

1 ヱホバよわが祈をききたまへ 願くはわが號呼のこゑの御前にいたらんことを
Sikia maombi yangu, Ee Yahwe; sikia kulia kwangu kwako.
2 わが窮苦の日みかほを蔽ひたまふなかれ なんぢの耳をわれにかたぶけ 我がよぶ日にすみやかに我にこたへたまへ
Usiufiche uso wako mbali nami wakati wa shida. Unisikilize. Nikuitapo, unijibu upesi.
3 わがもろもろの日は煙のごとくきえ わが骨はたきぎのごとく焚るるなり
Kwa maana siku zangu zinapita kama moshi, na mifupa yangu kama moto.
4 わがこころは草のごとく撃れてしほれたり われ糧をくらふを忘れしによる
Moyo wangu umeumizwa na niko kama majani yaliyo kauka. Ninasahau kula chakula chochote.
5 わが歎息のこゑによりてわが骨はわが肉につく
Kwa muendelezo wa kuugua kwangu, nimekonda sana.
6 われは野の鸅鸕のごとく荒たる跡のふくろふのごとくになりぬ
Niko kama mwali wa jangwani; nimekuwa kama bundi magofuni.
7 われ醒てねぶらず ただ友なくして屋蓋にをる雀のごとくなれり
Ninalala macho kama shomoro faraghani, pekeyake juu ya paa.
8 わが仇はひねもす我をそしる 猖狂ひて我をせむるもの我をさして誓ふ
Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; wale wanao nidhihaki hutumia jina langu katika laana.
9 われは糧をくらふごとくに灰をくらひ わが飮ものには涙をまじへたり
Ninakula majivu kama mkate na kuchanganya kinywaji changu kwa machozi.
10 こは皆なんぢの怒と忿恚とによりてなり なんぢ我をもたげてなげすて給へり
Kwa sababu ya hasira yako kali, umeniinua juu kunitupa chini.
11 わが齡はかたぶける日影のごとし またわれは草のごとく萎れたり
Siku zangu ni kama kivuli kanachofifia, na ninanyauka kama majani.
12 されどヱホバよなんぢは永遠にながらへ その名はよろづ世にながらへん
Lakini wewe, Yahwe, unaishi milele, na kumbukumbu lako ni kwa vizazi vyote.
13 なんぢ起てシオンをあはれみたまはん そはシオンに恩惠をほどこしたまふときなり そのさだまれる期すでに來れり
Wewe utasimama na kuirehemu Sayuni. Sasa ni wakati wa mkurehemu yeye. Wakati ulio teuliwa umefika.
14 なんぢの僕はシオンの石をもよろこび その塵をさへ愛しむ
Maana watumishi wako wameyaridhia mawe yake pendwa na kuyaonea huruma mavumbi ya magofu yake.
15 もろもろの國はヱホバの名をおそれ 地のもろもろの王はその榮光をおそれん
Mataifa wataliheshimu jina lako, Yahwe, na wafalme wote wa nchi watauheshimu utukufu wako.
16 ヱホバはシオンをきづき榮光をもてあらはれたまへり
Yahwe ataijenga tena Sayuni na ataonekana katika utukufu wake.
17 ヱホバは乏しきものの祈をかへりみ彼等のいのりを藐しめたまはざりき
Wakati huo, atajibu maombi ya fukara; hatayakataa maombi yao.
18 來らんとするのちの世のためにこの事をしるさん 新しくつくられたる民はヤハをほめたたふべし
Hii itaandikwa kwa ajili ya vizazi vijavyo, na watu ambao bado hawajazaliwa watamsifu Yahwe.
19 ヱホバその聖所のたかき所よりみおろし天より地をみたまへり
Maana ametazama chini toka mahali pa juu patakatifu;
20 こは俘囚のなげきをきき死にさだまれる者をときはなち
Toka mbinguni Yahwe ameiangalia nchi, ili kusikia kuugua kwa wafungwa, kuwafungua waliohukumiwa kufa.
21 人々のシオンにてヱホバの名をあらはしヱルサレムにてその頌美をあらはさんが爲なり
Kisha watu watalitangaza jina la Yahwe katika Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu
22 かかる時にもろもろの民もろもろの國つどひあつまりてヱホバに事へまつらん
pindi mataifa na falme watakapokusanyika pamoja kumtumikia Yahwe.
23 ヱホバはわがちからを途にておとろへしめ わが齢をみじかからしめ給へり
Amechukua nguvu zangu katikati ya siku zangu za kuishi, amezifupisha siku zangu.
24 我いへりねがはくはわが神よわがすべての日のなかばにて我をとりさりたまふなかれ 汝のよはひは世々かぎりなし
Nilisema, “Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu; wewe uko hapa hata kizazi chote.
25 汝いにしへ地の基をすゑたまへり 天もまたなんぢの手の工なり
Tangu zama za kale wewe uliiweka nchi mahali pake; mbingu ni kazi ya mikono yako.
26 これらは亡びん されど汝はつねに存らへたまはん これらはみな衣のごとくふるびん 汝これらを袍のごとく更たまはん されば彼等はかはらん
Mbingu na nchi zitaangamia lakini wewe utabaki; zitachakaa kama mavazi; utaziondoa kama watu waondoavyo mavazi yaliyo chakaa, nazo hazitaonekana tena.
27 然れども汝はかはることなし なんぢの齢はをはらざるなり
Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitakuwa na mwisho.
28 汝のしもべの子輩はながらへん その裔はかたく前にたてらるべし
Watoto wa watumishi wako wataendelea kuishi, na uzao wao utaishi katika uwepo wako.

< 詩篇 102 >