< ヨブ 記 22 >
Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
2 人神を益する事をえんや 智人も唯みづから益する而已なるぞかし
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
3 なんぢ義かるとも全能者に何の歡喜かあらん なんぢ行爲を全たふするとも彼に何の利益かあらん
Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
4 彼汝の畏懼の故によりて汝を責め汝を鞫きたまはんや
“Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?
5 なんぢの惡大なるにあらずや 汝の罪はきはまり無し
Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
6 即はち汝は故なくその兄弟の物を抑へて質となし 裸なる者の衣服を剥て取り
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7 渇く者に水を與へて飮しめず 饑る者に食物を施こさず
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9 なんぢは寡婦に手を空しうして去しむ 孤子の腕は折る
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
10 是をもて網羅なんぢを環り 畏懼にはかに汝を擾す
Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
11 なんぢ黑暗を見ずや 洪水のなんぢを覆ふを見ずや
ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
12 神は天の高に在すならずや 星辰の巓ああ如何に高きぞや
“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!
13 是によりて汝は言ふ 神なにをか知しめさん 豈よく黑雲の中より審判するを得たまはんや
Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?
14 濃雲かれを蔽へば彼は見たまふ所なし 唯天の蒼穹を歩みたまふ
Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi atembeapo juu ya anga la dunia.
15 なんぢ古昔の世の道を行なはんとするや 是あしき人の踐たりし者ならずや
Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
16 彼等は時いまだ至らざるに打絶れ その根基は大水に押流されたり
Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
17 彼ら神に言けらく我儕を離れたまへ 全能者われらのために何を爲ことを得んと
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
18 しかるに彼は却つて佳物を彼らの家に盈したまへり 但し惡人の計畫は我に與する所にあらず
Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,
20 曰く我らの仇は誠に滅ぼされ 其盈餘れる物は火にて焚つくさる
‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’
21 請ふ汝神と和らぎて平安を得よ 然らば福祿なんぢに來らん
“Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
22 請ふかれの口より敎晦を受け その言語をなんぢの心に藏めよ
Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
23 なんぢもし全能者に歸向り且なんぢの家より惡を除き去ば 汝の身再び興されん
Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
24 なんぢの寳を土の上に置き オフルの黄金を谿河の石の中に置け
kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
25 然れば全能者なんぢの寳となり汝のために白銀となりたまふべし
ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
26 而してなんぢは又全能者を喜び且神にむかひて面をあげん
Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.
27 なんぢ彼に祈らば彼なんぢに聽たまはん 而して汝その誓願をつくのひ果さん
Utamwomba yeye, naye atakusikia, nawe utazitimiza nadhiri zako.
28 なんぢ事を爲んと定めなばその事なんぢに成ん 汝の道には光照ん
Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.
29 其卑く降る時は汝いふ昇る哉と 彼は謙遜者を拯ひたまふべし
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
30 かれは罪なきに非ざる者をも拯ひたまはん 汝の手の潔淨によりて斯る者も拯はるべし
Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”