< ヨブ 記 15 >
Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
2 智者あに虚しき知識をもて答へんや豈東風をその腹に充さんや
Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
4 まことに汝は神を畏るる事を棄て その前に祷ることを止む
Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
5 なんぢの罪なんぢの口を敎ふ 汝はみづから擇びて狡猾人の舌を用ふ
kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
6 なんぢの口みづから汝の罪を定む 我には非ず汝の唇なんぢの惡きを證す
Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
7 汝あに最初に世に生れたる人ならんや 山よりも前に出來しならんや
Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
8 神の御謀議を聞しならんや 智慧を獨にて藏めをらんや
Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
9 なんぢが知る所は我らも知ざらんや 汝が曉るところは我らの心にも在ざらんや
Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
10 我らの中には白髮の人および老たる人ありて汝の父よりも年高し
Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
11 神の慰藉および夫の柔かき言詞を汝小しとするや
Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
12 なんぢ何ぞかく心狂ふや 何ぞかく目をしばたたくや
Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
13 なんぢ是のごとく神に對ひて氣をいらだて 斯る言詞をなんぢの口よりいだすは如何ぞや
ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
14 人は如何なる者ぞ 如何してか潔からん 婦の產し者は如何なる者ぞ 如何してか義からん
Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
15 それ神はその聖者にすら信を置たまはず 諸の天もその目の前には潔からざるなり
Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
16 况んや罪を取ること水を飮がごとくする憎むべき穢れたる人をや
jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
17 我なんぢに語る所あらん 聽よ 我見たる所を述ん
Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
18 是すなはち智者等が父祖より受て隱すところ無く傳へ來し者なり
vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
19 彼らに而已この地は授けられて外國人は彼等の中に往來せしこと無りき
Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
20 惡き人はその生る日の間つねに悶へ苦しむ 強暴人の年は數へて定めおかる
Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
21 その耳には常に懼怖しき音きこえ平安の時にも滅ぼす者これに臨む
Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
22 彼は幽暗を出得るとは信ぜず 目ざされて劒に付さる
Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
23 彼食物は何處にありやと言つつ尋ねありき 黑暗日の備へられて己の側にあるを知る
Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
24 患難と苦痛とはかれを懼れしめ 戰鬪の準備をなせる王のごとくして彼に打勝ん
Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
28 荒されたる邑々に住居を設けて人の住べからざる家 石堆となるべき所に居る
na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
29 是故に彼は富ず その貨物は永く保たず その所有物は地に蔓延ず
Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
30 また自己は黑暗を出づるに至らず 火燄その枝葉を枯さん 而してその身は神の口の氣吹によりて亡ゆかん
Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
31 彼は虚妄を恃みて自ら欺くべからず 其報は虚妄なるべければなり
Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
32 彼の日の來らざる先に其事成べし 彼の枝は緑ならじ
Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
33 彼は葡萄の樹のその熟せざる果を振落すがごとく 橄欖の樹のその花を落すがごとくなるべし
Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
34 邪曲なる者の宗族は零落れ 賄賂の家は火に焚ん
Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
35 彼等は惡念を孕み 虚妄を生み その胎にて詭計を調ふ
Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.