< エズラ記 2 >
1 往昔バビロンの王ネブカデネザルに擄へられバビロンに遷されたる者のうち俘囚をゆるされてヱルサレムおよびユダに上りおのおの己の邑に歸りし此州の者は左の如し
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 是皆ゼルバベル、ヱシユア、ネヘミヤ、セラヤ、レエラヤ、モルデカイ、ビルシヤン、ミスパル、ビグワイ、レホム、バアナ等に隨ひ來れり 其イスラエルの民の人數は是のごとし
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
6 ヱシユアとヨアブの族たるパハテモアブの子孫二千八百十二人
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
25 キリアテヤリム、ケピラおよびベエロテの民七百四十三人
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
wazao wa Rama na Geba 621
watu wa Betheli na Ai 223
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
36 祭司はヱシユアの家のヱダヤの子孫九百七十三人
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 レビ人はホダヤの子等ヱシユアとカデミエルの子孫七十四人
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 門を守る者の子孫はシヤルムの子孫アテルの子孫タルモンの子孫アツクブの子孫ハテタの子孫シヨバイの子孫合せて百三十九人
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 ネテニ人はヂハの子孫ハスパの子孫タバオテの子孫
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 ソロモンの僕たりし者等の子孫すなはちソタイの子孫ハッソペレテの子孫ペリダの子孫
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 シパテヤの子孫ハッテルの子孫ポケレテハツゼバイムの子孫アミの子孫
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 ネテニ人とソロモンの僕たりし者等の子孫とは合せて三百九十二人
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 またテルメラ、テルハレサ、ケルブ、アダンおよびインメルより上り來れる者ありしがその宗家の長とその血統とを示してイスラエルの者なるを明かにすることを得ざりき
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 是すなはちデラヤの子孫トビヤの子孫ネコダの子孫にして合せて六百五十二人
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 祭司の子孫たる者の中にハバヤの子孫ハッコヅの子孫バルジライの子孫あり バルジライはギレアデ人バルジライの女を妻に娶りてその名を名りしなり
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 是等の者譜系に載たる者等の中におのが名を尋ねたれども在ざりき 是の故に汚れたる者として祭司の中より除かれたり
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 テルシヤタは之に告てウリムとトンミムを帶る祭司の興るまでは至聖物を食ふべからずと言り
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 この外にその僕婢七千三百三十七人 謳歌男女二百人あり
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
ngamia 435 na punda 6,720.
68 宗家の長數人ヱルサレムなるヱホバの室にいたるにおよびてヱホバの室をその本の處に建んとて物を誠意より獻げたり
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 即ちその力にしたがひて工事のために庫を納めし者は金六萬一千ダリク銀五千斤祭司の衣服百襲なりき
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 祭司レビ人民等謳歌者門を守る者およびネテニ人等その邑々に住み一切のイスラエル人その邑々に住り
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.