< Uromawa 6 >
1 Ani ti gu ani, tidi re aje unu cara abanga me ni, tize ta Asere ti en duru.
Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda dhambi ili neema ipate kuongezeka?
2 Kati i cukuno ani me, haru sata mu wono a yimo ucara abanga tidi kuri ti cukuno anyimo mee.
La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?
3 Ita shi guna anu gbardang azoro we anyimo aniza ni Yesu Ugomo Asere, azoro we barki iwono ime ini.
Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?
4 A vete duru nan me ahira uzoro iwono imeme ini, sa ma hiri icau, barki ni kara na co, ine ini ya wuna ti haka anyimo atanu tiso.
Kwa hiyo tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.
5 Inki ti haka nigo me nanme ahira iwono imeme ine ini tidi cukuno a inde nan me barki uhira umeme.
Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.
6 Sa ti urusa anu me, abaki ucara abanga anipum niru me nigo nan me, barki asopi abanga ubura apum arume, awu ani me kati ti cukuno arere.
Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.
7 Inki unu ma wono makem nikara asesere ucara abanga.
Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
8 In ki ta wono nigo nan me unu bura uru tidi cukuno nan me.
Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.
9 Ti rusa, ahirza Yesu anyimo icau, mada kuri ma wii, barki iwono izo me inikara asesere ame ba.
Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake.
10 Sa ma wii, ma wii ka inde kani cas sarki ukinkini, ana me maciki ti cukum ta Asere tini.
Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio nao anamwishia Mungu.
11 Ane ani shi me idi ziki ace ashime gusi mu kizi muni ahira ani kara nu cara abanga, shi be anu vingizi wani ahira Asere unu kaba sa Yesu.
Vivyo hivyo, jihesabuni wafu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
12 Kati ikabi ucara abanga ucukuno shi apum sa idi wiji, kati itarsi myai maje imu be sa idi hunguko muriba mushi me.
Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya.
13 Kati iziki ti hihira tishi me iwuzi katuma ki mumu izenzen, agino me nya na ace ashi me ahira Asere, ya wuna reb unu kara me atari ti iwono uhana ukem uvengize, ikuri iwiti tihihira tishi me ahira Asere barki katuma ka huma.
Wala msivitoe viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili yenu kwake kama vyombo vya haki.
14 Ucara abanga uda cukuno me ace ashi me, sa ida rashi anyimo ubezizi utize ti Musa ba, irani anyimo urunta Asere.
Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.
15 Nyanini ani me, barki ya cukuno ti cari abanga ni barki ubezizi utize uzome ini kara ace aru me ba, barki urunta Asere? Azo me ani ba.
Ni nini basi? Je, tutende dhambi kwa kuwa hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? La, hasha!
16 Ita shi uguna inki ya nya ace shi me ahira uye idi cukuno arere unugino me, nani icukuno arere ucara utize, imum sa idi han shi iwono, nani icukuno arere Asere sa madi han shi iwuzi imumu iriri.
Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu yeyote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii, aidha watumwa wa dhambi, ambayo matokeo yake ni mauti, au watumwa wa utii ambao matokeo yake ni haki?
17 Barki ani me, ninonzo na cukuno ahira Ugomo Asere, sa yazi anu cara abanga wani, ana me izinu tarsa vat iriba shi me usasa na ubezizi imum be sa irani anyimo ini.
Lakini Mungu ashukuriwe kwa kuwa ninyi ambao kwanza mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa.
18 Azauka shi anyimo ucara abanga, ya cukuno arere urunta.
Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.
19 Inki inboo shi tize tigeme gusi unubu mani, barki ani me usiziki me ushi me unipum u i gusi uzina sa yazi iwiro ti hihira ta pum ashi me ahira unya ace imum izenzen nan nu wuza imum ibur ige be sa ikingizi, ane ani idi witi tihihira ti shi me, ahira u nya ace urunta barki icukuno ande be sa wazi lau ahira Asere.
Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wenu wa hali ya asili. Kama vile mlivyokuwa mkivitoa viungo vya miili yenu kama watumwa wa mambo machafu na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi, hivyo sasa vitoeni viungo vyenu kama watumwa wa haki inayowaelekeza mpate kutakaswa.
20 Uganiya sa yazi arere ucara abanga, yazo shi myai in katuma kurunta.
Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.
21 Nyanini ya kem ahira imum be sa be ya cukuno imum mu eh, u maza imum igino me iwono ini.
Lakini mlipata faida gani kwa mambo hayo ambayo sasa mnayaonea aibu? Mwisho wa mambo hayo ni mauti.
22 Ana me azauka shi usuro ucara abanga, ya cukuno arere Asere imum sa ya kem ine ini ya hanan shi ati cuku m ti lau, tige be sa ta nya shi ti cukum ti zatu marsa. (aiōnios )
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios )
23 Imum sa udi hiri ucara abanga iwo o ini, imum be sa Asere anyawe, ine ini ti cukum ti zatu marsa ahira unu kaba uru Yesu Ugomo Asere. (aiōnios )
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )