< Uromawa 12 >
1 In anime ni henu in zinu iko ushi barki ubardang immum iriri ya sere, wito ine ace ashime udenge wa sere barki ine ini biyau bihuma.
Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
2 Kati itarsi uganiya ugeme su zi ichiki iriba icukuno wasi isan zi muruba mu shine vat, vat barki ibezi imum be sa Asere anyara, imum iriri sa madi kabi. (aiōn )
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn )
3 Usuro imumu iriri sa awuzani ni in nya vat uru tise, kati ma ziki ni ce nume uzina sa in zi, cah marusi in nice nume, ubinani uhem sa Asere anyame.
Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa.
4 Kasi tihihira gbardang tigati ani pum ni indai, tihihira tiginome katuma ka indaime kani.
Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,
5 Ane ani haru me, ko sa ti ori, ni pum ni gafi nan vana Asere, vat uru tihihira ta ce-ce tini.
vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake.
6 Vat uru mazin ni imube sa Asere anyame inki sere a nyarawe in nu buka u ni ca ubuki ini kara nuwe sa wa hem ni.
Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani.
7 Inki utarsa in nanu, utarsi meme rum, unu dungara utize ta Sere tini a ma dungara.
Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye kufundisha na afundishe,
8 Unu bura umuruba ma cukuno ahira ubara umuruba mume, unu bengizi amanyaga tap, unu tarsa ina nu ama tarsi unu rusa abanga una katuma ku gugguni amawuzi ini iruba irum.
kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii, kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.
9 Caa uhem in nacece ucukuno sarki uhira acece. Kati iwuzi imum iburi ba, inko ni muriba ihra imum be sa irizi.
Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
10 Abanga uhem uni henu, hem ini cece kang, inya acece tinanu.
Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
11 I cukuno anu umokoro, kati i cukuno cancan ba. Abanga abibe biriri soki ni nice nin. Nonzo nin ugomo Asere.
Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.
12 Wuza nin iriba irum barki nikara niriba sa izini abanga aje ashi me. Natta nin muriba mushi ahira ijasi me izini usiza me. Cukuno nin ana biringira sarki umarsa.
Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.
13 Benki nin nihenubanyimo ijasi nacece. Kaba nin nihenu.
Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.
14 Rigirka nin andesa wa yomo shi, kati iwu we, wuza ni we biringira bati Asere ma kpici we.
Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.
15 Wuza nin iriba iru nan andesa wa zin iniriba irum, ikuri iwuzi iriba ibit nan andesa wazin imuriba mubit.
Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
16 I cukuno ni huma nan nihenu. Kati ibezi ace ashi me anu rusa wani.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.
17 Kati igarza imum iburi nan imum iburi, Wuza imum me sa anabu wadibwadi iri tinanu tishi me.
Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote.
18 Wuza nin imum me sa idi wu icukuno merum nan nihenu.
Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
19 Kati igarza imum iburi ahira imum iburi ba, wuza nin ticukum kati irizi anyimo iriba izenze yasere, amu nyertike aguna “ugarsa imum iburi ura atari ti ugomo Asere tini.”
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.
20 Barki ani me, inki aroni ishina iweme ma kunna ikomo, nya we imum ya re, inki wa kunna niwe ni mei nya we mei wa si. Inki wa wuza ani, uzini urso uwe a'ne ura ani ce ani.
Badala yake: “Kama adui yako ana njaa, mlishe; kama ana kiu, mpe kinywaji. Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.”
21 Kati iceki iwuza imum iburi ihunguko muriba mushi me, barki ca iwuza imum iriri icukuno amuriba mushi me.
Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.