< Ufihbyawa 1 >

1 Bulus nan Timoti arere Ugomo Asere Yeso, uhana ande sa a inko we anyimo Ugomo-Asere Yeso sa wa raa u Filibi, nigo nan ana katuma kadenge me.
Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
2 Caa uronta Ugomo -Asere ucukuno nigo nan haru.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
3 In wuza iriba irom vat uganiya sa ma ringin shi.
Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
4 Ko ya uganiya sa in zin biringira barki shime, in wuza anyimo iriba irom ini. In wuza iriba irom vat uganiya sa ma ringin shi.
Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
5 Ko ya uganiya sa in zin biringira barki shime, in wuza anyimo iriba irom ini. In zin in iriba irom bariki upatti acce sa izin unu bezizi utize ta sere datti anu wui utuba uhana kani me.
kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
6 Ma hem in na ginome, mede sa matuma ka re-re anyimo ashime madi ree aje ma biki umaska me uhana rono sa Yeso Ugomo-Asere madi ē.
Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
7 Irezi anime ikunna vat ushime barki iraa iriba lin vat ushi ana tanu tum tini anyimo uronta Asere ahira utirza um nan nu karti uboo utize ta sere, wanu tonno atize ta sere me.
Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
8 Barki Asere marusan in na ginome, unu guna in nyara shi kang anyimo iriba lim unu hem Ugomo-Asere Yeso.
Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
9 In zin in biringira bigeme, uhem ushi me ucukuno ure aje urusa nan tanu ti rusa abanga.
Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
10 Inzin in biringara bigino barki i batti tiron-roga tire-re, in zin in biringara barki i cukuno anu be sa kunnan in we azo me ande adi jori a rono Ugomo-Asere.
ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
11 Agino me barki agminca shi anyimo ahana wa re-re sa akemzu we ahira Ugomo-Asere Yeso, uhana uni nonzo na Asere.
mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
12 Ana me inyara iruzi, ni henu, unu guna imum besa ya kem ya cukuno unaa wa re aje atize ta sere kang.
Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
13 Anyo anime, inyang line anyimo Ugomo-Asere ya cukuno imumu i rusa ahira masoja mani kobbo nan anabu vat.
Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
14 Ya cukuno maroo manihenu anyimo Ugomo-Asere wa tonno kangang barki inyang imme, wa suro amasaa wa bezizi tize ta sere in iriba i inde.
Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
15 Ine ini aye ashime wazin in tize ta Asere anyimo ani eru nan nugursuna ahira, aye barki katuma kare-re.
Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
16 Ana tize ti ugomo-Asere barki uhem wa rusa uguna ana a inkom barki in tonno atize ta Asere tini.
Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
17 Abanna me aye wazin in tize ti ugomo -Asere barki u suu uni ue nan nu zatu kadura. Wanno wa bassa wazinu zito in mi anyimo inyang im.
Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
18 Ine ini nyani? Ako uya unaa, nyani unu rusa, nyani in kadura, tize ti ugomo-Asere tini tizinu wuza me, in zin iniruba irom in na gino me: Ee, indi wuu iraba irom.
Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
19 Barki in rusa igion me idi hammi unaa u suburka. Agino acukuno anime usuro abi ringara bi shi me, wannu benki ubibe bi yeso ugonon-Asere.
kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
20 Azezsere imum nan nu inko iriba in bassa nan inko iriba inda kunna mu eh ba. Anyo anime, vat in iriba ihūu gusi kodi umaya, nan ana me in zinu inso iriba u ayen in ninonzo ni ugomo-Asere anyimo anipum num.
Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
21 In be ugomo-Asere ma kem ninonzo anyimo anipum num nyani anyimo aticukum, nyani anyimo iwono. Barki ahira am ivai I ugomo-Asere ini, Iwono Imum I uhana aje ini.
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
22 Abanna me vat ini ihungo uzina ume.
Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
23 In inso iriba uguna in ceki abann ame in cukuno nan ugomo-Asere, igino Itekum inu iraa!
Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
24 Vat ina agino ti cukum tum anyimo anipum izi gbas ini barki shime.
Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
25 Barki in sa rusa inna ginome mā kuri marusa indi vengize, in re aje in ti cukum nan shi barki are aje ashi me, nan aburu irom ashi me, anyimo akadura.
Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
26 Anyo anime, utira ubigiri bi shi me anyimo ugomo-Asere yeso udi re aje barki uze um ahira ashi me.
Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
27 Hakanin ini mum be iwuza gasi imum be sa ugomo-Asere yeso ma nyara, wuzan ni ani me barki in ma aye in iri shi, anyimo Ibibe bire-re bi inde. In kuri nyara in kunna nun gura itira apum nigo me barki uhem ukadura ka gino katize ta Asere.
Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
28 Kati ikunna biyyau bi ire imu ahira ande. Wazi anu ishina ishi me wazi nu wuzame ire imum ini sa idi huze uce.
wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
29 Abanna shi me ire imum ini ibura ushi me, aginome usuro ahira Asere ani.
Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
30 Ayenne awuza shi imum ire-re barki ugomo-Asere, azo uguna uhem unu ugomo-Asere uzi cas ba, wanu saa uzito barki meme.
kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.

< Ufihbyawa 1 >