< Umatiyu 5 >
1 Sa Yeso ma ira ni gura nanu gbardang, ma hiri maka nyene ani hoho ma cukunun, anu tarsa umeme wa ka kemme.
Basi Yesu alipoona makutano, alipanda mlimani akaketi chini, nao wanafunzi wake wakamjia.
Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:
3 “Anu ringirka wani an de sa wa zika a che awe anu usizikime abi bee, ti gomo ta sesere tuwe tini.
“Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
4 Anu ringirka wani anu apuru abid, adi natti we muruba.
Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
5 Anu ringirka wani anu utuzo ace, we wani wadi kem unee.
Heri walio wapole, maana hao watairithi nchi.
6 Anu ringirka wani ana mukumo nan ana mu ruba mu benki, wadi ti a sereri.
Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa.
7 Anu ringirka wani anu gogoni, adi kunna ugogoni uwee.
Heri wenye huruma, maana hao watapata rehema.
8 Anu ringirka wani ana mu ruba mu rum, wewani wadi iri Asere.
Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.
9 Anu ringirka wani anu nyara iti cukum ti hama, we wani adi titiwe a hanq Asere.
Heri walio wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu.
10 Anu ringirka wani an de sa wazin unu zito barki mu ruba mu benki, ti gomo ta sesere tuwee tini.
Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
11 Shi, unu ringirka wani an de sa ana bu wa zogizo shi, wa patti shi wa wuza shi imum iburki me.
“Heri ninyi watu watakapowashutumu, na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya aina zote kwa uongo kwa ajili yangu.
12 Zunzukani nan tipuru tirum kang idi kem ulada udandang asesere. Anu me ani, anu wa patti anu kurzo utize ta sere, sa wa eh aje ashi.
Furahini na kushangilia kwa maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu.
13 Shee, wani muhu mu nee, ingi mu ma harzina nan urunta umuni adi wu aneni a kurzo mu neen? barki sa macurnome ma dee a kponko munin anu wa pattali.
“Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena? Haifai tena kwa kitu chochote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu.
14 Shee, wani ma saa mu nee, ni piri me sa anuka nin abi koworo ni zome ni hunziba.
“Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika.
15 Aka da wuna uraa upitila, a impi ini isso ba, ani me aka tari a hira me sa udi nya masaa akurame vat.
Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli. Badala yake, huiweka kwenye kinara chake, nayo hutoa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya ile nyumba.
16 Barki ani me ca masaa mashi me ma bizi bati anu wa iri katuma. ka ririn ka shi me wa nonzuko ugomo Asere.
Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
17 Kati ibasa ma aye unu guna invisi udungura u Musa nan anu kurzuzo uyi zee ta sere. Daki ma aye uniu tubur ko ba ma ayen unu myinciza.
“Msidhani kwamba nimekuja kufuta Sheria au Manabii; sikuja kuondoa bali kutimiza.
18 Ka dundura in boo shi a sasari nan adizi adi mari, ada visame iri imum cingilin anyu mo udungara u Musa ba sadai ya myinca vat.
Kwa maana, amin nawaambia, mpaka mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yoyote kutoka kwenye Sheria, mpaka kila kitu kiwe kimetimia.
19 Barki ani me vat de sa ma vete imum icingilin inde anyumo me adi kurzo me anu ucin anyumo ati yomo ta sesere. vat de sa ma tarsa ma kuri ma dungura anu adi titi me unu udandang aseseri.
Kwa hiyo, yeyote atakayevunja mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri hizi, naye akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, lakini yeyote azitendaye na kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika Ufalme wa Mbinguni.
20 Sa in boo shi, ca muruba mu benki ushi me mu akki manu bizizi udungara u Musa na anu ubezi urusa, ida ribe shi anyumo ati gomo ta sere ba ko cinginlin.
Kwa maana nawaambia, haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo na walimu wa sheria, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
21 Ya kunna uguna aabuki a cukoro anu udatti unu guna, kati u hun uye, dee sa ma hunu uye, adi porikome.
“Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’
22 In kuri in bushi, de sa ma kunna iruba wanu hennu adi hunguko me titui de sa ma hira u hennu ma zome anyo ari mum ba ma bari a hanme ubabbana madi ribe ura. (Geenna )
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna )
23 Barki ani me inge uhaka unya usadiga wa ringe uhenu uweme mazin na puru abi nan hu.
“Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako ana kitu dhidi yako,
24 U inki usadiga me ukakeme ibarka uku eh unya usadiga me.
iache sadaka yako hapo mbele ya madhabahu. Enda kwanza ukapatane na ndugu yako; kisha urudi na ukatoe sadaka yako.
25 Inga uye ma hanan hu ani kubu wuna mass ibarka unaa, ka ti uhem ibiki ani kubu ba. In daki ani me ba madi patti we nan unu barka utize unu barka utize ma patti we nan udanduka a hennu aura ari rere aka korso we.
“Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.
26 Ka dundura inboo we, ada suso huba sede wa nya vat ikirfi me sa a tarsa we.
Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.
27 Ya kuna aa buki kati u muri nan vana u e nan uruma uge za ma zome uwe ba.
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’
28 In ani me in boo shi ingi unu ma ira vanu emma inko iruba, ma mara umura nan me.
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
29 Ingi nije ni tari tinare tuweme nidi wuwe upilko ukari nin uvetenin. Iteki udiri are ahira ani pum nuweme unu guna arekiwe uraa. (Geenna )
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna )
30 Ingi tari tina ree tuwe me tidi wuwe upilko, nyoro tini uvetten. Iteki udiri are ahira ani pum nuweme unu guna ureki nin vat uraa. (Geenna )
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna )
31 A kuri aboki uguna de sa ma gido unee umeme a ma nya mee unyertike uharzina.
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’
32 I mumme sa in kuri inboo shi i nee ini ingi unu ma gido unee umeme inzo barki upilko wa mura nan de sa inzo uruma ume mani ba, ma wuna me unaa uma dini vat de sa ma zika me, mee ma mazim ma dini.
Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini.
33 Ya kuri ya kunna abuki anu datti unu guna, kati uuwuzi itono sa we ziki huu nan Ugomo Asere.
“Tena mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiape kwa uongo, bali timiza kiapo kile ulichofanya kwa Bwana.’
34 Imum sa inkuri inbu shi, ine ini, kari iba toniko nanin na seseri, barki a hira ati cukum ti gomo Asere ani.
Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa: iwe kwa mbingu, kwa kuwa ni kiti cha enzi cha Mungu;
35 Kati itoniko inna dizi barki sa ane ani Ugomo Asere ma patala, nan Urushalima barki sa une uni nipin ni gomo dang.
au kwa dunia, kwa kuwa ndipo mahali pake pa kuwekea miguu; au kwa Yerusalemu, kwa kuwa ndio mji wa Mfalme Mkuu.
36 Kati utonikon in nice nuwe, barki sa daki wa bari ugamirka usuba u inde unice nuwe urun nan ubid ba.
Nanyi msiape kwa vichwa vyenu, kwa kuwa hamwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi.
37 In mum sa irizi ibuki ine ini ee nan um - um, ingi ya akka ani me inu ubur ini.
‘Ndiyo’ yenu iwe ‘Ndiyo,’ na ‘Hapana’ yenu iwe ‘Hapana.’ Lolote zaidi ya hili latoka kwa yule mwovu.
38 Ya kunna abuki nije ani je, ni lini ani lini.
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’
39 A ani me min boshi kati inyareshi de sa ma pilkoshi ba. Ingi unu ma vavvi we upuu utari tinare u gimirka me ukure ma vavvi
Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
40 Ingi uye ma nyara ubura uwe udibi upati me ugebtu utozo uwenme.
Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.
41 Inge unu bari ma wuna we tanu tu ukilomita u inde, hem i wuzi umakilomita ma re.
Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.
42 Ingi uye ma iko we imum u nya me. De sa ma aye unyara imum a hira awe kati ukarti me ba.
Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie kisogo yeye atakaye kukukopa.
43 Ya kunna abuki unu guna, hem de sa ma hem hu, u gaa we desa ma gaa hu.
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende jirani yako na umchukie adui yako.’
44 A anu me ingusan shi hemni an de sa wa nyareshi, i wuzi an de sa wa nyinza shi ijasi bi ringara.
Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi,
45 U wuzi anime ani udiwu i cukuno a hana aco ushi me aseseri, de sa ma wuza uwui unya ma saa ahira unu ruba uninza nan unu zati uninza. ama kuri ma tuzo uree aseseri a hira unu iruba ubenki nan unu iruba izatu ubenki.
ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu waovu na watu wema, naye huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
46 Nyanini idi kem ingi shi ya hem in an de sa wa hem shi cass? anu kabsa ikirfi ima nyanga wa wuza cangi.
Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mtapata thawabu gani? Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo?
47 Ingi i issizo si anu henu ushinwani cass, nyanini usass ushi na aye? an de sa wanzowe ayahudawa ba wa wuza ani me cangi.
Nanyi kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mnafanya nini zaidi ya wengine? Je, hata watu wasiomjua Mungu, hawafanyi hivyo?
48 Barki ani me cukuno ni gbemka si acoo ushi me wa seseri sa mazi gbem.
Kwa hiyo kuweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.