< Umatiyu 25 >

1 Adi bati tigomo ta zesere kasi mabura manu kirau sa ma ziki mafitila maweme tantu u gura umanyani ma tiyum.
“Wakati huo, Ufalme wa Mbinguni utakuwa kama wanawali kumi waliochukua taa zao na kwenda kumlaki bwana arusi.
2 Anu chibi anyimo aweme anu zatu jinjin wani, anu ciibi anyimo aweme anu jinjin wani.
Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
3 Asenke anu zatu jinjin ugino me wada inta mani anyimo amafitila maweme ba.
Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba,
4 Anu ajinjin me wa inta aru amani nan mafitila mawe anyimo me.
lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.
5 Sa manyani matiyom made U aye watubi ugbiso moro mazikiwe.
Bwana arusi alipokawia kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala.
6 Inna tii aniye akunna utissa, agusa, manyani matiyom me maye! Suro ni iguri me!
“Usiku wa manane pakawa na kelele: ‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje mkamlaki!’
7 Vat mabura magino me mahiri mabari mafitila maweme.
“Ndipo wale wanawali wote wakaamka na kuzitengeneza taa zao.
8 Anu zatu jinjin me wagun nanu ajinjinme, nyangizi haru mani mashime cincin mafitila maru mazinni wijo!
Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, ‘Tupatieni mafuta yenu kidogo; taa zetu zinazimika.’
9 Ba anu ajinjin me wakabirka waagu mada bari haru nan shi ba, hanani ahira anu ziza me. ika kwa inna ce ashi me.
“Lakini wale wenye busara wakawajibu, ‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu.’
10 Sa wa dusa ahira ukwa me, manyani matiyom me ma e, ande sa wara ahira me waribe akorso udenge me.
“Nao walipokuwa wakienda kununua mafuta, bwana arusi akafika. Wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia ndani pamoja naye kwenye karamu ya arusi na mlango ukafungwa.
11 Sa adondonkino mabura magino ka aye, wagu Ugomo Asere pokon duru ana tukum.
“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’
12 Ma kabirka magun we, kadundere, in boshi, in tam shi ba.
“Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’
13 Barki anime, cukunoni ibe, ita shi uganiya ba.
“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
14 Kasi unu mani sa ma haza atanu, matiti arere ameme ma nya we vat imum be sa ma zinni.
“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama mtu aliyetaka kusafiri, naye akawaita watumishi wake na kuweka mali yake kwenye uangalizi wao.
15 Ma nya unu indai matelenti manu ciibi. Unu indai matelenti mare uye ma nya me u indai. ko da avi ubina ni uni kara ni meme, madusa.
Mmoja akampa talantatano, mwingine talanta mbili, na mwingine talanta moja. Kila mmoja alipewa kwa kadiri ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri.
16 Desa makaba matelenti u ciibi ma gun me ma ha maka gamara mani, makem mare.
Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.
17 Ani me ani unu kaba matelenti mare me cangi makem mare.
Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.
18 Me de sa ma kaba utelenti u indai me, maka gense adizi ma hunze ni.
Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile fedha ya bwana wake.
19 Sa adondonkino, una kura arere agino me ma zee ma basa nan we.
“Baada ya muda mrefu, yule bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.
20 Me dee sa ma kaba matelenti manu ciibi, mahaha mamu ma witi mare matelenti uciibi, magu una kura wa nyam matelenti manu ciibi, iye makem mare kaba.
Yule mtumishi aliyepokea talanta tano akaja, akaleta nyingine tano zaidi. Akasema, ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta tano. Tazama, nimepata faida ya talanta tano zaidi.’
21 Una kuraa magun me gai urere uhuma, wa wuza kadundere anyimo imum icin, indi tar we a nyimo igbardang aye cukunno uvenke.
“Bwana wake akamwambia, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache; nami nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako!’
22 Una ma telenti mani mare ma haha mamu, magu,
“Yule mwenye talanta mbili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, uliweka kwenye uangalizi wangu talanta mbili. Tazama nimepata hapa talanta mbili zaidi.’
23 Una kura, wa nyam matelenti mare. I ye makem mani mare kaba. una kura me me magu imme, gai, urere uhuma. wazauka kadundere a nyimo cin in di tariwe a nyiomo gbardang aye cukuno uvenke.
“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache; nami nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako!’
24 Me de sa maa kaba utalenti uindai me, mahaha mamu magu, Una kura min rusa hu unu nyara uziki imum ahira sa da wa inko ni ba, kaba bitelenti buweme.
“Kisha yule mtumishi aliyepokea talanta moja akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya mbegu.
25 Barki anime ani ma kunna bi yau, ma gense adizi mahunze bitalenti buwo meni kaba!
Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali yako.’
26 Ba una kura me ma kabirka magu, hu urere uburi mani, ugbara! uru sam incira ahira me sa daki ma inkoni ba.
“Bwana wake akajibu, ‘Wewe mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua kwamba ninavuna mahali nisipopanda na kukusanya mahali nisipotawanya mbegu.
27 ya wuna urii uda ayem ni kirfi me a inki ahira me sa adi kem mareu ni in kabi ire azesere me.
Vyema basi, ingekupasa kuweka fedha yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo yangu na faida yake.
28 Barki anime kaba ni bi talenti bi gino me inya una manu kirau me.
“‘Basi mnyangʼanyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.
29 Barki vat inu imum ake akinkimeni, iwu gbardangunu zatu imum akabi ini ame. Rekkini unu sa ma zoo anyo imumba a
Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
30 nyimo a mareu marumzi anyo abinime.
Nanyi mtupeni huyo mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.’
31 Inki vana unu ma aye a nyimo ani nonzo nume nan ribe ikadura kame, madi cukuno a hira adang ame.
“Mwana wa Adamu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote watakatifu pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti cha enzi cha utukufu wake.
32 Adi ori anabu vat aje ame, madi suzo we ma inki sassas, kasi unutarsa itam. Sa ma suzzo imum sas. Madi inki itam atari tinare, ma inki imani
Mataifa yote watakusanyika mbele zake, naye atawatenga kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi.
33 atari tinann gure.
Atawaweka kondoo upande wake wa kuume, na mbuzi upande wake wa kushoto.
34 Ugomo madi gu an de sa wa ra atari tinare time, aye ni shi sa acoo maringirka shi, i kabi tigomo tishi sa amu inko shini dati utuba uney.
“Ndipo Mfalme atawaambia wale walioko upande wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu; urithini Ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35 Barki ma kunna ikomo ya nyam imumare. makunna niwe nimei, ya nyani mi masa. ma aye ani genu ya kaban mi.
Kwa maana nilikuwa na njaa mkanipa chakula, nilikuwa na kiu mkaninywesha, nilikuwa mgeni mkanikaribisha,
36 In zi bihurba ya sokin mi turunga, ma wuzi ukoni i eh i irim u hira ani rebe ya issizon ni mi.
nilikuwa uchi mkanivika, nilikuwa mgonjwa mkanitunza, nami nilikuwa kifungoni mkaja kunitembelea.’
37 Abinee ani anu tanu tiriri me wadi kabirka, wagu, Ugomo Asere, ta ira we abani ta nya we imum yare, nani niwe ni mgwei ta nya we wa sa?
“Ndipo wale wenye haki watakapomjibu, ‘Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?
38 Innu maya uni ta ira we ini genu me ti kabi we nani inbihurba ti sokiwe tirunga.
Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvika?
39 Nani inniu maya ini ta iri we uzo uhuma, nan na nyimo akura ani rere me.
Tena ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa tukakutunza, au ukiwa kifungoni tukakutembelea?’
40 Ba ugomo ma kabirka we, magu, kadundere in boshi vat de sa ya wuza meni anyimo ani za num ya wuza miniminini.
“Naye Mfalme atawajibu, ‘Amin nawaambia, kwa jinsi mlivyomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.’
41 Abini ani madi gu inna na tari tinan gure, cekinni mi, a wuna shi anyo ribeni a nyimo ura nan unu uburu sa a barka barki a malaiku nan unu uburu. (aiōnios g166)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios g166)
42 Barki ma kunna ikomo daki ya nya ni mi imum are ba. ma kunna niwe ni mgwei ya nya nimi masa ba. Ma wuza nigen daki ya kaba ni ba. In zi
Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha,
43 bihurba daki ya sokin mi turunga ba. Ma wuzi ukoni daki ya aye ya gunkunom ba, mara a nyimo akura ani rere daki ya ikon mi ba.
nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha, nilikuwa uchi hamkunivika, nilikuwa mgonjwa hamkunitunza, na nilikuwa gerezani nanyi hamkuja kunitembelea.’
44 Abini me cangi wadi gu, Ugomo Asere innu maya uni ta iri we inni komo me nani inn niwe ni mgwei, nani inn ni gen, nani innu zatu turunganani uzatu nihuma, nani akura ani rere daki ta iko hu ba.
“Ndipo wao pia watajibu, ‘Bwana ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, au ukiwa mgeni au uchi, au ukiwa mgonjwa na kifungoni na hatukukuhudumia?’
45 Abini madi kabirka, magu in we, kadundere, imboshi ani me saki ya wu unu indai a nyimo anu tarsa um ni ba mi mani. A nigino wani wadi ribe a nyimo u zitto, anu tank to riri wadi venke a kura Address. (aiōnios g166)
“Naye atawajibu, ‘Amin nawaambia, kwa jinsi ambavyo hamkumtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu walio wadogo, hamkunitendea mimi.’
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)

< Umatiyu 25 >