< Umatiyu 11 >
1 Sa yeso ma mara ubo anu tarsa ume me tize tigeme anu belum, ma tarsi tipinpin tuwe me unu dungara anu.
Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
2 Ugzniya me yahona unu baptisima ma rani akura ani rere. Sa mamunna timum me sa yeso mazi unu wuza me matumi ara nutarsa ume me ahira me.
Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake
3 Wa ikki me “Ho mani unu aye me na nii tibe?”
ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4 Yeso ma kabirka ma gun we “Kuroni i ka buka yohana imum be sa ya ira nan ige sa ya kunna.
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
5 Arubo wa kem u ira, anu zati uti buna wazin tanu, anu koni kunna unawa mapum wa humza, aluri wa kunna tize, azin unu vangizi umu kizi azin unu bezizi anu tize turunta.
Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
6 Unu rinbirka mani de sa ma hem ime.”
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 Sa wa dusa yeso ma ri aji unu bo anu tizi anice ni yohana magu, “Ya aye ani ja i iri nyanin i iri tikpe ti jojoko sa upebu uzun unu hurse mee?
Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo?
8 Ya suro i iri nyanini i bassa idi iri de sa ma kokki tirunga tiririn? Ana kura ugomo wani wa sonsi tirunga tiririn.
Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme.
9 Ya suro i iri nyanini? Unu kurzo utize ta Asere? Eh, in bo shi mateki unu kurzuzo utize ta Asere.
Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
10 Me mani sa a nyirtike anice nume me inu guna.” Imbe ma tuma una kadura ma aggize we aje, de sa madi barka we una sa udi eh.
Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa: “‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako.’
11 Kadundara in bo shi daki amu yoo uye sa ma biki yohana unu baptisma unu gbardang unee ugeme ba. Vat ani me unu cin ati gomo ta sere ma takki me.
Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana.
12 Datti uganiya u yohana unu baptisma u aye ukani ti gomo ta Asere tizin unu kenzi ijunguta, ani junguta wa nyara wa buri ti gomo ta Asere in ni kara.
Tangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka.
13 Anyumo udungara u musa nan anu kurzuzo utize ta Asere vat wa buu abanga ati gomo me yohana ma duku eh in na dummu.
Kwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
14 Ingi izin niruba ukaba me, Elesha ma zigeme, de sa maazi ma di eh.
Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.
15 Una ti tui tu kunna ma kunna.
Yeye aliye na masikio, na asikie.
16 Nyarini indi batti ucara ugemen? Ka si ahana ani buji ni bi ranzan unu gusa in na roni awe me.
“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,
17 'Ta hurse shi ishiriwa ya game morso ta wuza shi alali iwono ya game aso.'
“‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkuomboleza.’
18 Sa yohana ma eh sarki are sarki usa wa gu mazin na gbergene.
Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’
19 Sa vana unu ma aye ma ri a ma sizi wa gu ma zin tire kang nan bisizasiza, uroni wa nu kabsa ikirfi ima uyanga nan anu caran, vattin ani me tanu tunu tiki bezi urusa Asere.
Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nao wanasema, ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.”’ Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli kwa matendo yake.”
20 Yeso ma wuzi kubung ati pinpin me sa ma wuzi ti mum ti dandang barki sa wa game ubarka.
Ndipo Yesu akaanza kushutumu miji ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu.
21 “Wadi hu Ukorasin! Wadi hu Ubetsaida! Dagi ti mum ti dandang sa a wuzi anyumo ashime ani a wuzi utaya nan Usidon wada barka datti wa tiri mapori wa hummi muto apum awe me.
“Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
22 In booshi ahira ugomo Asere adi kunna ugogoni wanu Utaya nan Usidon sarki shi.
Lakini nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
23 Hu ukatarnahum ubassa adi nonzo we uhana Asere? Um-um adi kaska we uhana ahira ati cukum tani wono. (Hadēs )
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs )
24 Daagi ti mum tidandang sa awuzi we tini. Adi teki unu kunna ugogoni wanu Usodom nan shi.”
Lakini nakuambia kwamba, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ya hukumu kuliko wewe.”
25 Uganiya uni yeso ma gu. “Ma wuna apuru, arum aco, ugomo Asere wa seseri nan unee, barki sa wa hunze anu rusa nan anu poko aje timum tigeme wa kuri wa bezi ahana acicin.
Wakati huo Yesu alisema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo.
26 Anime ani hu aco, barki sa imum me sa ya wuna we reb ya zigenne me.
Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
27 Aco um ma nyam timum vat, aco me mani ma rusa vana me cass vana me marusi aco me cass nan de sa vana me mahem ma bezi me.
“Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu: Hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.
28 Aye ni ahira am, shi an de sa izin nijassi nan ucira ugittak indi nya shi u venke.
“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29 Nyani ace ashi me atize tum barki me unu gongoni mani nan iruba ishew, idi kuri ikem uvenke amuruba mu shi me.
Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
30 Barki tize tum tizi shew, ucira um uzome gittak ba.”
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”