< Umarkus 7 >
1 Afarisawa wa e anu nyetike i hori imumsa wa e a Yesu wasuri Urushelima wa e urunu a Yesu me.
Mafarisayo na baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu wakakusanyika mbele ya Yesu.
2 Wa ti ka inu guna are ahana a kadura ka meme waze inare imumu yare sareke ukpicu utare, barke utanda uwe wa Yahudawa, inke uno maze uru, nanitanu nani ahira tijamani madake mare imumu ini me ba sai makpico iso na iharu menanu ulaidayi me upatu utari tumeme maduku rimumare.
Wakawaona baadhi ya wanafunzi wake wakila chakula kwa mikono iliyo najisi, yaani, bila kunawa kama ilivyotakiwa na sheria ya dini ya Wayahudi.
3 We Afisawa nanu kasu ayahudawa indaki wazi warize imumu yare sarki ukpico utareba barki utanda uwe wananu awe me.
(Kwa kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za wazee wao.
4 Utanda uwe me inka waze usuro atanu nani ahira tijamani unume makama zuri ma kpico tare muharu nan muso ulaidayi indaki a kura unume mazoro tihihira timeme lau ma dukuri imumu yare.
Wanapotoka sokoni hawawezi kula pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe, vyungu na vyombo vya shaba.)
5 A Yahudawa anu nyatike ihori i Musa we wani wazi Yesume wa iki inuguna aneni ahana kadura kawame wazome inu tarsa utanda wananu ashimeba wanu ware imumu yare intari.
Kwa hiyo wale Mafarisayo na walimu wa sheria wakamuuliza Yesu, “Mbona wanafunzi wako hawafuati desturi za wazee, na badala yake wanakula kwa mikono najisi?”
6 Monno ma kabirkawe maguwe ane ani Ishaya mabuki tize inu guna shime izi muruba mubit shi wono igusa aki tarsa tize ta Asere eni me mucumani izini no wasa me ikirze tarsa utize tum.
Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki. Kama ilivyoandikwa: “‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
7 Izee wuza eni sarke uguna indake imumusa indake ma tarsi tishime eze tarsa utanda wana abu ino gunasa agi wasiri.
Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’
8 Ya ceki imumbesa agoshi iwozi shibe izi inuweza yanabu.
Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
9 Munu magu awe eni me ane ani ya ceki imumsa Ugomo Asere magu awozume eni shiwono izi shi be ezi ino utanda.
Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya kukataa amri za Mungu ili mpate kuyashika mapokeo yenu!
10 Musa magu kati izogi aco uweme nan kaino uweme ba desa mawuza enime aduhume.
Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
11 Kaniya iceki aco ushime aka anu ashime imumu ikaye wazi enime vat imumbe yaze idikem amu aye aze eni.
Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia ni Korbani’ (yaani kimewekwa wakfu kwa Mungu),
12 Anime ani ya karti me ma benki aco me nan ka inome.
basi hawajibiki tena kumsaidia baba yake au mama yake.
13 Enime ya gusi tize ta Asere iza ini mumu ini ba barki atanda ani ize inu bezizi ahana ashime ene eni izinnu wuza timumu timadini.
Kwa njia hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyojiwekea. Nanyi mnafanya mambo mengi ya aina hiyo.”
14 Yesu be makurzi sake utita anabu magu awe kunanimime ikuri irusi mimeru kuma kai.
Yesu akaita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na mwelewe jambo hili.
15 Imumusa yaribe a puronu amatara indaki ineini ya cara kuma madiniba ahira Asere imumusayesuro anyo unu ineeni madinime ma dandang ahira Asere.
Hakuna kitu kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi. [
16 Vati da sa mazi intutui kini makunna.
Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]”
17 Madusa maribe akura ahana akatuma kameme wa wuzi u ukon inu guna nyanini imumubesa wa buka enime.
Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuingia ndani, wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano ule.
18 Mabuka awe inu guna indaki irusa inu guna imumusa yaribe apuru unobu inze ine eni idaki ene eni madini ba.
Akawajibu, “Je, hata nanyi hamwelewi? Je, hamfahamu kwamba kitu kimwingiacho mtu hakimtii unajisi?
19 Aguna imumu yaribe anyu iriba nabu ine yakuri ya suro ine apuru nome Yesu muno magu iza ine ini madinimeba.
Mtu akila kitu hakiingii moyoni mwake bali tumboni, na baadaye hutolewa nje ya mwili wake.” (Kwa kusema hivi, Yesu alivihalalisha vyakula vyote kuwa ni “safi.”)
20 Mano marege mabuki imumbesa yasuro apuromo ine eni yake icukuno madini munu.
Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21 Ayemu irebe unovu abini ani akazi ubasu tize ta Asere a iriba unobu kasi mikara uchara umadini uhuza anabu akenzi ayeme iri imumu.
Kwa maana kutoka ndani ya moyo wa mtu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi,
22 Okolomo katuma ka zenzen uhem ache ureme ibabana unyarume uni henu ukuna urunta udara umeme.
tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, matukano, kiburi na upumbavu.
23 Vati timumu tiginome tisuso a hira iruba inu vat tekati cera unu meni.
Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”
24 Madusa ma heri ma ribe ma akura sadaki manyari arusuba Tarya, u Sidon barki kati anu wa ruse ba inime anu wa ruse.
Ndipo Yesu akaondoka hapo akaenda sehemu za Tiro. Akaingia katika nyumba moja, naye hakutaka mtu yeyote ajue kwamba yuko humo. Lakini hakuweza kujificha.
25 Uru uni sama invana uce sama unu koni uzenze sa ma kunna abanga Yesume mawu masi maka rizo atibuna.
Mara mwanamke mmoja, ambaye binti yake mdogo alikuwa na pepo mchafu, akaja na kumpigia magoti miguuni pake.
26 Eni me u Bahiliniya mani maze ageme u Finikiya a Yome a Yeh Yemo Mayega masuri maha maka tirame tari masusome abergeme avaname.
Basi huyo mwanamke alikuwa Myunani, aliyezaliwa Foinike ya Siria. Akamsihi Yesu amtoe binti yake huyo pepo mchafu.
27 Yesu ma gwa we cekinime ahana wari indaki ya wuna riba akabi mumu mare ya hana anya ani iwoci.
Yesu akamwambia, “Waache watoto washibe kwanza, kwa maana si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
28 Kuma unume ma kabirka ma buu anenime ani unu yataki iharo iwuci inke yare mumu yare ake tizi adizi utu buru.
Lakini yule mwanamke akamjibu, “Bwana, hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya chakula cha watoto.”
29 Magu ame barki tize tigeme sawa buka teni dusa akura agirome waceki anu wuza me.
Ndipo Yesu akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”
30 Madusa makori akura makyem vana me ma ribe wakem a bergeneme wa chekime wa mahuma.
Akaenda zake nyumbani akamkuta binti yake amelala kitandani, yule pepo mchafu akiwa amemtoka.
31 Ma Yesu ma dusa ma ceke ahira me Tarya madusa uhana u Sodom ma eni wani dandang uGalili aname ma e atari tipem tinu kawe.
Kisha Yesu akaondoka sehemu za Tiro, akapita katikati ya Sidoni, hadi Bahari ya Galilaya na kuingia eneo la Dekapoli.
32 Wa e ame inu ture madaki mabari tizeba wa tarime tari akema tarsu me mahuma me.
Huko, watu wakamletea Yesu mtu mmoja kiziwi, ambaye pia alikuwa na kigugumizi, wakamwomba aweke mkono wake juu ya huyo mtu na amponye.
33 Mhu kume akira madusa madere me utun sa bibame sa ma dusa madari me melem.
Baadaye Yesu akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.
34 Ma yiziniche ma heri Asere madusa magu ame “Ephatha” eni ene “poko!”.
Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa nguvu akamwambia, “Efatha!” (yaani, “Funguka!”)
35 Sa abuka enime madusa makem titui tumeme ta pokino imumusa ya trezeze me nilenme nume ya cekime ma dusa ukuno tize.
Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.
36 Mabuka awe inu guna katu uwe bizi ayeba sa ma kunna wa kati ubenki ubuka we ba wa ri age inu hunume.
Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia, ndivyo walivyozidi kutangaza kwa bidii.
37 Vati mumbesa ma wuza iriri ini mazino kunna tize aruhu unu ahira uhira.
Walistaajabu mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu waseme!”