< Umarkus 16 >
1 Sa uwui kapata wa aki, madakin nan maremu a ino yakubu wan salomi, wa kpi ti runga ti unya urunta barki waka wuna ikizi Yesu ayimo icau me
Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
2 wa hiri inisisizo uwui uladi uwui utu ba wa ha ahira sa avati Yeso ni uganiya usuro uwui.
Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini.
3 Wa gamari acece awa me aveni madi hingirkon duru nipo sa atara icau me?
Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”
4 sa wa gunkuno, wairi uye mamu hin-girko nipo me barki mazi nidandan.
Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
5 Wa ribe ayimo icau me wa iri uye ma turi ayimo me in te runga ti rum, maciki tari tina re, wa kuna biyau iriba iweme,
Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.
6 ma gun we,”kati ikunna iyau ba,”ya ira Yesu una unazaret, de sa a vati me abame. ma hiri, ma zoni abama. irani ahira me sa a nati
Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza.
7 . dusani, ika bukani anu tarsa umeme nan bitrus ma ra ajeshime uhana ugalili. abi ne ani idi iri meni kasi sa ma buki shi,”
Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’”
8 Wa suri unu sum, wa bilozo nan uganara utize. vat uwe wa myinca in bi yau.
Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Nisisizo uwui utuba ayinmo tiye sunare, natubi aye ahira
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba.
10 maremu madakin, de sa ma sussume agwergenen usunare. marenu ma ha maka buka adesa mazina na we a hira aso atiyon.
Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia.
11 sa wa kunna agi ma hira maremu ma ira me, da wa hem ba.
Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.
12 Ma e makem ana wa re ayimo aweme sa wa hazi suro a yimo ani pin me.
Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine.
13 Wa ha waka buka nihenu, ni henu cangi da wa hem ba.
Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
14 A dodonkino Yeso ma kem anj kirau unu inde, wa kete acece, ma bezi we bezi we uzatu uya iriba i weme nan ni mumme saikartiziwe uhem in me. barki sa da wa him nan adesa wa irame, sa mahiri ahira iwono imeme.
Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.
15 ma gun we,” lana ni ayimo une i boo ni henu vat.
Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 de sa mahem azoro me madi venke, de sa magame madi ribe ijassi.
Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa.
17 An desa wa hem tidi zi nigome. ayimo ni za num wadi suzzo agwerge. wadi boo ni lem ni soo.
Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya;
18 wadi mesi iwa in tari, in wa sa iri mum iti kono i da huna we ba, wadi tarsa ana ti koni tari barki wa humza
watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
19 Sa ma mari tize wan we adusa aziki me u hana aseseri maka cukuno atari tine reta asere.
Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu.
20 anu tarsa umeme wa dingi ubo abanga me vataba, ogomo asere ma tarsin in we unu wuza i mumu obasa utize.
Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]