< Uyuhana 14 >
1 Kati icari mu riba mu shi ba inko ni urusa ushi ahira Asere, in kuri in ya urusa ushi ahira am.
Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu, mnamwamini Mungu, niaminini na mimi pia.
2 Akura aco am ti hira ti cukuno a rani gbardan, barki anime un boo shi indi dusa inka barka shi ahira.
Nyumbani kwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningeliwaambia. Naenda kuwaandalia makao.
3 Ingi ma dusa ma ka barka shi ahira, indi kuri ni ey in ziki shi uhana ahira am, ahira sa in rani, icukuno nan mi.
Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo.
4 Ahira sa in hazani, irusa una uname.
Ninyi mnajua njia ya kufika ninakokwenda.”
5 Toma magu me, ugomo Asere ti tame ahira sa u haza ni ba, aneni tidi rusi una me?
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
6 Yeso magu me, mi mani una, mimani kadure, mi mana urai, unu hana ahira aco mazoni, se ahira am.
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
7 Da irusam, inda rusa aco am, uhan aje idi rusi me, idi iri me ina aje ashi.
Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.”
8 Filibus magun me, ugomo Asere bezin duru aco me, ma barin guru.
Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”
9 Yeso magun me, ma dan donkino nan shi anama filibus uda rusa mi ba? desa ma iram ma ira aco, aneni i gusa akuri abezi shi aco?
Yesu akamjibu, “Filipo, nimekaa nanyi muda huu wote hata usinijue? Mtu yeyote aliyeniona mimi, amemwona Baba. Sasa wawezaje kusema, ‘Tuonyeshe Baba’?
10 Da hem imi ira anyino aco ba, aco ma kuri ma raa a nyimo am? Tize sa in boo shi azo ahira am ani ti suso ni ba, aco me sa ma ciki anyimo am me mani ma wuza timumum tume me.
Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambia siyasemi kwa ajili yangu mwenyewe, bali Baba akaaye ndani yangu ndiye atendaye hizi kazi.
11 Rusa ni ka dure kani inra anyimo aco, aco ma kuri mara anyimo am; Inke azo ane ba timumum ini ce nuwe ti hem in me.
Nisadiki mimi kwamba niko ndani ya Baba na Baba yuko ndani yangu, la sivyo, niaminini kwa sababu ya zile kazi nizitendazo.
12 Kadure kadure in gusan shi, desa ma hem in mi timumum sa in wuza me ma madi wuzi timumum sa ti tike tige sa in wuza madi wuzi, barki in haka ahira aco.
Amin, amin nawaambia, yeyote aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu mimi ninakwenda kwa Baba.
13 Barki konyanini idi inki anyimo ani za num, indi wuzi anime barki a ziko aco me ahira avana me.
Nanyi mkiomba lolote kwa Jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana.
14 Ingi ya ikom ko nyani anyimo aniza num, idi wuzi anime.
Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.
15 In ya hem in me idi tarsi tize tum.
“Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.
16 Me indi iki aco, madi nya shi unu benki ma cukuno nan shi uhana umara uneeh. (aiōn )
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn )
17 Bi be bu ugomo Asere ba boo kadure, be sa uneeh wa kabi bini ba, uneeh uda hira me ba uda rusa me ba, shi irusa me ciki nan shi madi cukuno anyimo ashi me.
Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
18 Inda ce keshi a unu ba, mi indi ey ahira ashi me.
Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.
19 U ganiya uda cingilin, sa uneeh uda kuri u irum ba, ana me shi i hiram barki mi inda vengize shi idi kem urai.
Bado kitambo kidogo ulimwengu hautaniona tena, ila ninyi mtaniona, kwa kuwa mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.
20 Anyimo uwai ugino idi rusi ira anyimo aco am, shi anyimo am mi anyimo ashi.
Wakati huo mtajua ya kuwa mimi niko ndani ya Baba na ninyi mko ndani yangu na mimi niko ndani yenu.
21 De sa ma kuna ugara um, ma tara tize tum, me mani mazin unu su um; desa mazin unu su um, madi cukuno unu su aco am, mi idi wu usu ume, in kuri bezi nice num ahira ameme.
Yeyote mwenye amri zangu na kuzishika ndiye anipendaye, naye anipendaye atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
22 Ya huda (ba iskariyoti ba) magun me, ugomo Asere nyanini ya wuna udi bezi nice nuwe me ahira aru, azo ahira unee ba?
Ndipo Yuda, siyo Iskariote, akamwambia, “Bwana, itakuwaje kwamba utajidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?”
23 Yeso ma kabirka me, magun me, ingi nu mazin unu su um, ma tarsi tize tum, aco um madi wu usu ume, ca ti ey ahira ame, ti cukuno nigo me nan me.
Yesu akamjibu, “Mtu yeyote akinipenda atalishika neno langu na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kufanya makao yetu kwake.
24 De sa mazo unu su um ba, mada tarsa tize tum ba, tize tum sa in kunna azo tum tini ba, ta co tini desa ma tumam.
Mtu yeyote asiyenipenda hayashiki maneno yangu na maneno niliyowapa si yangu bali ni ya Baba aliyenituma.
25 Tize tige sa ma boo shi, ma dazan in ti cukum nan shi.
“Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.
26 Unu benki, bibe bilau desa aco madi tuburko anyimo aniza nume me, madi bazizi shi timumum vat ma ringi shi timumum besa ma boo shi.
Lakini huyo Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
27 In cesi shi iriba rum, riba irum im in nyiza shi shi; azo u iri uniza unee sa unyiza ba, ane ani mi in nyiza shi ba, kati iriba ishi in curno me ba, ka ikuna iriba ba.
Amani nawaachia, amani yangu nawapa, amani hii niwapayo si kama ile ulimwengu utoayo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiogope.
28 Ya kunna magu na shi idi wuzi tanu, idi ey ahira ashi me. De ya wu usu um, ahira ida wuza iriba irum, barki in haza ahira aco, barki aco ma tekum unu gbardan.
“Mlinisikia nikisema, ‘Ninakwenda zangu, lakini nitarudi tena.’ Kama kweli mngelinipenda mngelifurahi kwa kuwa naenda kwa Baba, kwani Baba ni mkuu kuniliko mimi.
29 Ana ma boo ka shi ida sarku aye, uganiya sa ya aye inya mu riba.
Nimewaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini.
30 Inda kuri inboo tize gbardan na shi ana ba, barki ugomo unee ma eze, ma zo iri mum anyimo am ba.
Sitasema nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu kwangu,
31 Barki unee urusi izin nu su aco, kasi aco ma nyam katuma, ane ani in wuza, ti hiri ti dusa a birko.
lakini ulimwengu upate kujua kuwa ninampenda Baba, nami hufanya vile Baba alivyoniamuru. “Haya inukeni; twendeni zetu.