< Uibraniyawa 2 >
1 Barki anime ca tinya muruba muru vat atimume sa takunna, bati kati aharin duru intini.
Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha.
2 Ingi kadurame sa ibe ika dura ka Asere ya buki ka rizi, kondi uya uhangirka utize nan uzatu kunna utize, ucobo wa Asere une uni Ukalumme.
Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,
3 Tidi wu aveni tihangirka ingi tagunduru ubura ugeme.
je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.
4 Asere aka kuri arussi unu bata nan imum ibiyau nan timum sassas tibiyau, nan nu hara ubi Bee bilan ba Asere ga U'ira ume.
Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.
5 Inzo barki Ibe ika dura ka Asere Kani Asere awu tigomo tunee ugeme sa u'eze ba.
Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.
6 Barki anime uye ma bezi a'ara hira, unu guna “Unuu nyanini, sa udi ringinme? Nan vana unuu, sa udi tarsinme?
Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
7 Wa bari ibe ika Asere inna za unubui wa wume gongon nan gbardang. Wa tara me aseseri atimum tunee.
Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
8 Vat timumme sa wa bara wa nya anyimo atibuna tume. Barki Asere anya timum vat atari tumme. Daki ma ceki ire imum inzo atari tume ba.
nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.” Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.
9 Aku ganiyu cingilin ta ira de sa ma siziki me ibe ikadura ka Asere, memani Yeso, barki ijassi imeme nan ni wono abari me gongon nan nu bari. Aname barki ubura wa Asere mawi barki kondevi.
Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.
10 Barki sa yazi memmerum ahira Asere, bati kondi nyani icukuno barki me ahira ame, bati aburi ahan gbardang. Bati amassirka ubura uwe una ijassi.
Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.
11 Unuu visa nan de sa avisa me vat nitin nuwe ni'inde nini. Barki anime mada kunname mu'i matitiwe anuu henu ba.
Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.
12 Ma gu “Indi buu niza nuweme ahira anu henu um, Indi wuzi ire unonzo uwe atii awe.
Yeye husema, “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”
13 Indi kuri, “Ihem inme”. Indi kuri “Ira, mi be nan na huname sa Asere anyam.”
Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”
14 Barki anime tunsa ahana Asere wa pata inama nan maye, Yeso cangi ma pata imum inde nan we bati ahira iwono ma hu de sa nikara niwono nira ahira ame, unuu ubur.
Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,
15 Ya cukuno anime bati ma buri vat ande sa datti uyoo uwe waziri nirere barki biyau biwono.
na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.
16 Inzo barki Ibe ikadura ka Asere ini mazin nu benki uwe ba, barki bisana bi Ibrahim bini.
Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu.
17 Barki anime ya cukuno me gbas ma'e kasi anu henume atinaa sassas, bati ma cukuno unu gogoni nan una kadure unu udandang ukatuma ka Asere atimum ta Asere, nan urete ucara wa nabun.
Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.
18 Barki sa Yeso ma si ijassi amansa me, madi barki ande sa mansa we.
Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.