< Ugalatiyawa 1 >
1 Bulus, Una kadure daki wa nu ba anyimo anu ba, senke anyimo Yeso vana Asere nan Asere acoo sa ma hirza nan me mu cau.
Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
2 Vat anu henu me nan me, a ti denge ta Asere agalatiya.
na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
3 Urunta nan ti cukum ti humā u watu ugomo Asere acoo aru nan Yeso vana Asere.
Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
4 Sama nya nice ni meme barki madini maru barki ma buri duru anyimo uganiya uburu ugeme guu a beki wa Asere nan acoo. (aiōn )
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
5 Ahira amame ni nonzo na vat, ni cukuno anime. (aiōn )
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
6 Makunna imum ibiya saya kumi ceki me debe sa ma titi shi anyimo una Asere. Ma kunna biyau saya gamirka atize tiso sas.
Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
7 Adake agu dire tize tiso tini tige ba, senke aye sa wa nyara duru abanga, u niyara u gamirka tize ta Asere.
ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
8 Ko haru nani u katuma ka sere anyimo asesere madi buki si tire tizo satizi sas nan tiru me, na ma curno me.
Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
9 Gu ubuka uru me anna me makuri ma guna, ''inka uye ma buka si tire tize tiso sa tizi sas nan tige sa ya kabi, na ma curno me,''
Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
10 Barki mi in zinnu nyara anabu nani Asere? in zinni nyara anu wa kunna urunta? inka in daza unnu nya anu cas, mi urere wa Asere mani ba.
Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
11 Barki in nyara irusi nihenu, tize tiso sa ma nya dāti nubu tini ba.
Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
12 Daki ma kem in ahira annu ba, nani ma bezizi si barki anime, apaki mani a tari ti Yeso tini.
Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
13 Ya kunna tanta dumo anyimo uyahudanci, gu uhuza anu tarsa tize ta Asere sa dake a bative ba, ma zin nu sō in cari ini vat.
Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
14 Ma kem ure age ahira ayahudawa, anu gwardang anyimo u cara um, anu sa wazo me anyimo ba. Iney ya wuna izin ni eru ni gwarndag, mazi uwatu u tanda wa coo am.
Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
15 Senke Asere sama in kim awatu u indei anyimo apuru urizo umeme.
Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
16 Ma kunna urunta ma paaki vana umeme anyimo am, barki anime indi bezi si Asere anyimo anu ta'ame Asere, daa ma dusa ini wuza imum anipum nan maye ba.
alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
17 Daa ma nyene urshalima ahira anu sa wa agizan ba, barki anime mahaa u arabiya in benne ma kuriudamaskus.
wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
18 Sa tiwe ti taru ta aki ma dusa urshalima barki inka iso kepas makuri in cukuno nan me, tiye tinu akurin annu ciibi.
Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
19 Ira barki Asere inda wuza we moco ba, eh mi ge sa man nyetike um ba.
Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20 Ma nyetitke shi, ma buka shi a muhenu ma Asere, daki ma buki mocho.
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
21 Sa maha a manyanga mu siriya nan silisiya.
Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
22 Daki a rusim anyimo a tidenge ta Asere u yahudiya anyimo u vana Asere.
Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
23 Wa kunna ini cas, ''unu sa ma yomo duru mazin, ana mazin nu bezi tize ta Asere, sama nyara u cara me.
Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
24 Wa nonzo Asere barki mi.
Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.