< Afisawa. 4 >
1 Barki anime mi sa a korson barki ni zaa ni Ugomo Asere, inyara shi iwuzi tanu me sa tawuna rep nan u titta wa Asere sa ma litta shi.
Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
2 Cukunoni sheew, nan u tuzo ace wanmu riba mu runta, i hem wa cece.
Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
3 Ini kara nishi inkonee upata cee me sa bibee ba muta shi biti cukum ti maan.
Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
4 Ni pum ni inde, nan bibee bi inde u inko iriba i inde a hira ade sa a litta shi barki me.
Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
5 Ugomo Asere a inde, u heem u inde u zoro u inde.
Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
6 Asere inde nan acoo u vat, dee memani Asesere u vat nan Asesere uvat nan anyumo uvati.
na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
7 A nya kondevii katuma rep nan katuma kirsti.
Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
8 Ka si ubuka uti zee ta Asere, sa ma nyene Asesere, ma zika ande sa ma zika nan mee, ma nya wee katuma sassas.
Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
9 Nyanini abasa in, “ma nyenee” a adizi.
Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
10 Unu me sa maa tuu memani maa nyene pii Asesere, bati ma myenca vat ti mum.
Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
11 Kirsti maa nya katuma kasi ana, ana ka dura, anu kirzuzo uyi zee, anu boo utize ta Asesere anu dungara nan anu bezizi utize taAsesere.
Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
12 Batu wa bari ande sa wa zin katuma kasere, wa suu ni pum ni kirsti.
Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
13 See ta kabiki u pata cee uheem nan wan urusa uvana Asere nan vat una u kirsti.
Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
14 Izi ani me kati i ri aje kasi a hana nan an de sa azinu harsa uwe muriba unu bezizi u sassas, a rangizi we a cari wen.
Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
15 Ti da cukunon duru anu boo ukadura a nyimo uhem nan anu u hana an de sa ma ra ana aza a Yesu.
Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
16 A hira an de sa a pata anu kaba u tize ta Asere nan ande sa wa bari a cece anyimo u hem.
Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
17 In boo shi kati i wuzi ti cukun kasi anu zatu u rusa Asere ana mu riba mu zezen.
Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
18 Barki u ge be sa Yesu ma nya we uge sa Asere a nyinza, mu riba mu weme ma myenca in maree, barki u zatu urusa sa ura ace a we me.
Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
19 Wa in ko mu riba u wuza imum ima dini nan nu dira umu ieh.
Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
20 In ka ya zika iri imum kasi i Yesu, kati icukuno kasi me ba.
Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
21 Ana sa ya kuna a banga a Yesu kasi sa ma boo shi, irusa una umeme u riri sa idi cukuno ni.
Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
22 Yesu magu iceki ti cukum ti ge be sa a nya shi i ciki kasi mukizi mu ge sa ma wicizo ya zinu ranga very ace ashi ini mum be sa i nyara.
Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
23 Bati ucukuno usso a bibe bi riba i we me.
Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
24 Iziki tanu tu su ti ge sa ta wuna reb nan ta Asere, wan ti cukuno be huma sa idi iri.
Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
25 Barki ani me cekini macico, i boo ni acece kadure.
Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
26 Kati i hem u cornome u riba mu shi me u eh shi unn caran, kati u corno me iriba u biki uwijoro.
Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
27 Kati i nya bibe bibur masaa.
Msimpe Ibilisi nafasi.
28 Ukari be ma ceki nikari ca ukari ma nyari imum sa madi benki de sa ma dira.
Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
29 Tize sa tidi suri a nyimo a shi me ca ti cukunon ti ge sa tidi benki shi kati a kuna shi inzin ti zezen a nyimo a shi me.
Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
30 Kati i cari i cari bibe biriri ba Asere iriba, barki sa bine bini ma saa ma Asere ahira aru ronu bura uru.
Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
31 Cekini me riba mu biti, nan nu cara iriba wa nu curzuno me umuriba.
Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
32 I wuzi a cece imum iririn, i kura ugogoni wa cece, i versee u puzo sa ti wuza acece kasi Asere in Yesu.
Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.