< Katuma 26 >
1 Agrippa ma gun Bulus buu tize ini ce ni we me. Ba Bulus ma witino ma tubi boo tize uni ce ni meme.
Ndipo Agripa akamwambia Paulo, “Unayo ruhusa kujitetea.” Hivyo Paulo akawaashiria kwa mkono wake, akaanza kujitetea, akasema:
2 In zini uruba irum in ni ce num, ugomo Agippa, in e in tize tum nan na Ayudawa ageme in malim mam.
“Mfalme Agripa, najiona kuwa na heri kusimama mbele yako leo ninapojitetea kuhusu mashtaka yote ya Wayahudi,
3 Barki urusa imum me sa u wuza anyimo Ayahudawa nan nu utanda uweme, ane ani in igizo me u kunam seke.
hasa kwa sababu unajua vyema desturi zote za Kiyahudi na ya kuwa wewe unajua kwa undani mila na masuala ya mabishano. Kwa hiyo, nakusihi unisikilize kwa uvumilivu.
4 Kadure kani va Ayahudawa wa rusa ta hana dati ani pin num uhana Ushalima.
“Wayahudi wote wanajua jinsi nilivyoishi tangu nilipokuwa mtoto, kuanzia mwanzo wa maisha yangu katika nchi yangu na pia huko Yerusalemu.
5 Wa rusa utuba um mi unanu Farisawa mani anyimo ati gomo ti dang tiru.
Wao wamefahamu kwa muda mrefu na wanaweza kushuhudia kama wakipenda, ya kwamba kutokana na misimamo mikali sana ya dhehebu letu kwenye dini yetu, niliishi nikiwa Farisayo.
6 Ana me in the aje ashime azini u igizo um tizee, barki sa a nyara in myinca imum sa Asere ugomo ma wu ak coo aru.
Nami sasa ni kwa sababu ya tumaini langu katika kile ambacho Mungu aliwaahidi baba zetu, ninashtakiwa leo.
7 Barki anime in turi tilem ukirau inti re sa wa tarsa Asere niye nan uwui, ta wuna ire ubuka imum me sa ira iruba iru. Barki ane ani Ayahudawa wuzum malim, ugomo.
Hii ndiyo ahadi ambayo makabila yetu kumi na mawili yanatarajia kuiona ikitimizwa wanapomtumikia Mungu kwa bidii usiku na mchana. Ee mfalme, ninashtakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hili.
8 Nyanini u ira uwee me ingi Asere ahira de be sa maa wono.
Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?
9 Uganiya u inde in gun nice num indi wuzi imum gbardang ahira ani za ni Yesu unu Nazaret.
“Mimi pia nilikuwa nimeshawishika kwamba imenipasa kufanya yote yale yaliyowezekana kupinga Jina la Yesu wa Nazareti.
10 Ma wuzi anime Aurshalima, inkurzuzo anu aka tuma kasere anyimo udenge ukorsuzo wanu, ma wuzi anime in nikara ahira unu adngdang aka tuma uenge Asere nan aye ma sa ma huzi we me bezi nice num inda nyara ura uwenba.
Nami hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Kwa mamlaka ya viongozi wa makuhani, niliwatia wengi wa watakatifu gerezani na walipokuwa wakiuawa, nilipiga kura yangu kuunga mkono.
11 Ma wuzi we imum iburi inyizi uzatu ukadure inkunzina iruba in we, ine ini ya wu wa ziti atari tum.
Mara nyingi nilikwenda kutoka sinagogi moja hadi ingine nikiamuru waadhibiwe, nami nilijaribu kuwalazimisha wakufuru. Katika shauku yangu dhidi yao, hata nilikwenda miji ya kigeni ili kuwatesa.
12 Sa ma zin uni wuza anime, indusa Udimaska in nikara sa ma kem ahira unu dang.
“Siku moja nilipokuwa katika mojawapo ya safari hizi nikiwa ninakwenda Dameski, nilikuwa na mamlaka na agizo kutoka kwa kiongozi wa makuhani.
13 Una um uhana me in nati ana ti uwui, in iri masaa sa ma teki uwui haru nan an desa tazin nigo me.
Ilikuwa yapata adhuhuri, ee mfalme, nilipokuwa njiani, niliona nuru kutoka mbinguni kali kuliko jua, ikingʼaa kunizunguka pande zote mimi na wale niliokuwa pamoja nao.
14 Ti rizi vat uru adizi, ba in dusa in kunna ni myira ni gusam in ni lem na Ibraniyawa, shawulu, shawulu nyanini ya wuna uwuzam ani me, ya wuna ani me?
Wote tulipokuwa tumeanguka chini, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, ‘Sauli, Sauli, mbona unanitesa? Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo.’
15 Ba in iki ingu hu aveni ugomo Asere? Ba ugomo Asere ma kabirka, imani Yesu sa gaa me.
“Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’ “Naye Bwana akajibu, ‘Ni Mimi Yesu unayemtesa.
16 Ma dusa ma gun me hira tonno in ti buna ti we me, barki ma bezi mu henu mum ahira aweme, ma zauka we a nyimo akatuma kam u buu imum me sa u rusa ani ce num nan ige sa indi buki we.
Sasa inuka usimame kwa miguu yako. Nimekutokea ili nikuteue uwe mtumishi na shahidi wa mambo ambayo umeyaona, na yale nitakayokuonyesha.
17 In di zi nigome nan huu barki an desa wada rusa mi ba an desa indi tumi we ahira awe.
Nitakuokoa kutoka kwa watu wako na watu wa Mataifa ambao ninakutuma kwao,
18 Uka poko aje ugamirka we usuro umaree uhana amasaa nan ni kara, nan ni kara ni nu uburi uhana ni kara na Asere. Barki wa kabi ukpico uma dini maweme wan unu kaba sa indi kabi we barki uhem iruba im.
uyafumbue macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni, na kutoka kwenye nguvu za Shetani wamgeukie Mungu, ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’
19 Barki ani me, ugomo Agrippa, daki ma game imum me sa ya su ri aseser ba.
“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni,
20 Andesa wa e Udimaska unu tuba, atarsi una Urishalima wan vat nipin nu Judiya wan an desa wa tawe Asere ba, ma buu we tize ta Asere inu guna wa suri amaree uhana amsaa, wa ceki uwuza imum ibur wa tarsi Asere.
bali niliyatangaza kwanza kwa wale wa Dameski, kisha Yerusalemu na katika vijiji vyote vya Uyahudi na pia kwa watu wa Mataifa, kwamba inawapasa kutubu na kumgeukia Mungu na kuthibitisha toba yao kwa matendo yao.
21 Ine ini ya wuu Ayahudawa wa mekum anyimo udengenAsere wa nyari uhuna um.
Ni kwa sababu hii Wayahudi walinikamata nilipokuwa Hekaluni, wakataka kuniua.
22 Asere a benkum u aye ukani me, in turi unu boo anu acinci wan na dandang.
Hadi leo nimepata msaada kutoka kwa Mungu, na hivyo nasimama hapa nikishuhudia kwa wakubwa na wadogo. Sisemi chochote zaidi ya yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia:
23 Unu bura uru uginome madi si nirere, memani madi zi unu tuba uhira anyimo ani wono mabezi masaa ahira Ayahudawa wan na nu uzatu rusa ta Asere.
kwamba Kristo atateswa, na kwamba yeye atakuwa wa kwanza kufufuka kutoka kwa wafu, na atatangaza nuru kwa watu wake na kwa watu wa Mataifa.”
24 Bulus ma mari ubura uni ce ni meme, Festus magu inimyira aseser Bulus uzin nice ba urusa uwe me wa wuna iranzaa.
Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, “Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!”
25 Ba Bulus magun me in zini iranza ba unudang Festus sede in buu tize tikadure anyimo ni za ni desa in tarsa me.
Lakini Paulo akajibu, “Mimi sijarukwa na akili, mtukufu sana Festo, bali nanena kweli nikiwa na akili zangu timamu.
26 Ugomo cangi ma rusa ini mum me, barki ane ani indi buu tize in ni kara sarki biyau, mi in rusa ada hunzize me imum ba, daki amu wuna ani ba vat.
Naam, Mfalme anajua kuhusu mambo haya yote, nami nasema naye kwa uhuru. Kwa sababu nina hakika kwamba hakuna hata mojawapo ya mambo haya asilolijua, kwa kuwa hayakufanyika mafichoni.
27 Wa hem unu nu kurzuzo tize, ugomo Agrippa? “In rusa wa hem”.
Mfalme Agripa, je, unaamini manabii? Najua kuwa unaamini.”
28 Agrippa magun in Bulus” anyimo aku ganiya kucin u nyara ukurzom unu tarsa Asere.”
Agripa akamwambia Paulo, “Je, unanishawishi kwa haraka namna hii niwe Mkristo?”
29 Bulus magu “maringirka ani me anyimo ani za na Asere anyimo kuganiya kuci nan ujoko, da huucasba, nan an desa wa kunnam kani me, wadi cukuno kasi mi, we wada sa me nirere ba. “
Paulo akasema, “Ikiwa ni kwa haraka au la, namwomba Mungu, si wewe peke yako bali pia wale wote wanaonisikiliza leo, wawe kama mimi nilivyo, kasoro minyororo hii.”
30 Sa wa kunna ani me, Ugomo ma hiri ma tonno wan desa a zauka me ani pin me, nan andesa wa raa ahira me cangi.
Baada ya kusema hayo, mfalme akainuka pamoja na mtawala na Bernike na wale waliokuwa wameketi pamoja nao.
31 Sa wa suri ani kubu me, wa gamirka acece aweme wagu”unu ugeme daki ma wuna imum me sa adi hu me ba nani atirzi me”.
Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kufa au kufungwa.”
32 Agrippa magu in Festus, “Ada ceki me unu geme ba in daki ma yeze tize me uhana uwatu kaisar ba “.
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”