< 2 Utassalonikawa 1 >
1 Usuro u Bulus, Silas nan Timoti uhana anu tarsa Asere u Tasolonika anyimo Ugomo Asere acoo aru Yeso.
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
2 Ca ubura nan iriba irum ya Asere icukuno anyimo ashi me.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Ya wuna uri ti bezi Ugomo Asere aru iriba irum iru konde uya uwui, imum sa ya wuna uri uni ni henu, barki nikara nishi me ni kingizi kang, uhem ace uri aje.
Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka.
4 Ti boo tize ti wetere barki shi ahira anu tarsa Asere, ti boo abanga usheu ushi nan nikara nishi anyimo una upolzino ushi me, ti boo abanga ati mumum ti buri me sa yi ri nikara ni tini.
Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
5 Igeme ya bezi uzinz Asere ani kira ususo ukadudura, umara me adi ringin shi anyimo ati gomo ta Asere sa ya si ijasi barki ini.
Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
6 Ugomo Asere ma ira ya wuna uri ma garza imum iburi ahira andesa wa wuza shi imum iburi.
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7 Nan uvenke ahira ashi sa ya ribe ijasi nan haru, madi wuzi imum igeme uganiya u aye u Yeso vana Ugomo Asere usuro asesere nan ibe ikadura wani kara ni meme.
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
8 Anyimo anilem ni ura madi garza anice nanu sa wa ga me ukunna utize ta Asere nan Yeso.
Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
9 Wadi si upazaza anyimo ijasi sarki umarsa a hira Ugomo Asere barki nikara ni meme. (aiōnios )
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
10 Madi wuzi imum igeme inki ma aye roni igino me anu me sa wazi amam wadi nya me ninonzo, anu tarsa umeme wadi kuri wa kunna biyau a hira andesa wa hem, imum i buka uru ahira ashi ine ini uhem.
siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
11 Barki ani me, ti zin biringira sarki umarsa barki shi tizin biringira bati Ugomo Asere ma ringi in shi, unu tita ushi me, tizinbiringara bati ma myinca unu ara iriba iriri nan katuman kani kara.
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
12 Tizin in biringara, barki shi me, barki uhem Ugomo Asere aru Yeso.
Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.