< 2 Uyohana 1 >
1 Usuro unanu sa azauka me anyimo udenge Asere uhana ahira une akura nan ahana ameme an desa wa ram iriba, da mi cas ba nan an desa wa rusa in kadure.
Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
2 Barki kadure sa raa anyimo aru kadi ri aje anyimo aru sarki ibinani. (aiōn )
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
3 Usanzi, ugoggoni, iriba irum wa cukuno anyimo aru, barki Asere aco aru nan Yesu unu bura uru inka kadure.
Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
4 Ma wuza iriba irum kan barki ma kem aye ashi me wa haka in kadure, kasi sa ta kunna ugbarika wa coo.
Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
5 Ana me izini tira uwe tari une wa kura, daki ya cukuno gusi tize ti soo tini in zini nyetike me ba, ti ge tini sa usa rusani, ca ti hem in ni henu.
Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
6 Uhem in nihenu ine ini utarsa tize ta Asere, tize ta Asere sa ya kunna unu tuba, tarsa ni tini.
Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
7 Anu rangiza wa suro gbardan anyimo unee, an desa daki wa hem agi Yesu ma e anyimo ani pum ba, anu agino me we wani anu uranga, anu game Uyesu.
Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Inta ni ace ashi me merum kati i vete imum me sa ya mu wuza, barki i kem imum me sa Asere adi gunshi ankwai.
Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
9 Vat desa ma hana piit da ma tarsa tize ta Asere ba, daki ma cukuno anyimo udungura wa Asere ba, Asere azo me nan me ba, desa ma turi udungurabwa Asere ma zini in kaco nan vana me.
Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
10 Desa ma aye ahira ashi daa ma aye unu dungura ugee ba, kati i kabi me ati kura tishi me ba, kati ba wuna ni me mahabi ba.
Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
11 Vat desa ma iso me, me ma ma cukuno una katuma kaburi.
Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
12 In zin tize gbardan sa indi nyertike shi nin inda nyara in nyertike utakarda nan ni bairo, in wuza iriba u aye ahira ashi me ti buu tize aje unu hira aje, barki iriba iru i myinca.
Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
13 A hana uhenu sa azauka wa iso shi.
Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.